Unaamini katika Karma, kwamba malipo ni hapahapa duniani?

Unaamini katika Karma, kwamba malipo ni hapahapa duniani?

Mbona kama unaenda kunielewa! Safi! Self defence ni muhimu kibaya kuanza tu..lakn kumaliza mbona hata mungu anaruhusu tu?
Haha careenjibebe mbona nimekuelewa hata kabla hujasema mengi. Mungu ameweka mipaka ya namna ya kudeal na dhilima tunazotendewa na wengine. Imagine ubaya unaotenda wewe kwa wengine au kumtenda Mungu, but He always gives you nafasi ya pili! I guess umenielewa!?
 
Haha careenjibebe mbona nimekuelewa hata kabla hujasema mengi. Mungu ameweka mipaka ya namna ya kudeal na dhilima tunazotendewa na wengine. Imagine ubaya unaotenda wewe kwa wengine au kumtenda Mungu, but He always gives you nafasi ya pili! I guess umenielewa!?
Unajua mi huwa namsamehe mwanangu mara nyingi na naamin hata mamaangu huwa ananisamehe wakati mwingine bila hata kuniambia? Lakin mtoto sanyingine anamkasirikia kabisa mzazi wake bila kujali chochote? Mungu atatusamehe lakn nautumia hivo uwezo wangu doh
 
Mkuu sasa hapo kama kweli unaona umekosewa na labda nawe hauliipii makosa fulani uliyotenda lkn umetendwa na uka chukua hatua za kulipa hapo hapo hauoni tayari wewe ndo unakuwa kama Karma kwa aliekutenda??

Nacho weza kusema ni sisi kama binaadam tujitahidi kwenye matendo na kauli zetu ziwe ktk mazingira ya uchanya kuelekea wengine kinyume chake hii kanuni ya asili lazima itatuwajibisha tu labda ambacho hatujui ni muda upi na saa ipi ila kama utakuwa na ufahamu tu kiasi utaona kabisa kuna matukio yana kutokea kuja ku ‘level’ hali fulani ulizotenda kwa ubaya au wema

Nacho weza sema binaadam utalipia hapa hapa duniani chochote ulichokitoa kabla ya kulala mazima
Hiyo statement ya mwisho siyo accurate. Wapo wanaoishi hadi mwisho wa maisha yao. Wapo wanaosamehewa, na kadhalika. Wazo kuu: GOD knows His way! Tumwaminini sana tu!

cc: careenjibebe
 
Unajua mi huwa namsamehe mwanangu mara nyingi na naamin hata mamaangu huwa ananisamehe wakati mwingine bila hata kuniambia? Lakin mtoto sanyingine anamkasirikia kabisa mzazi wake bila kujali chochote? Mungu atatusamehe lakn nautumia hivo uwezo wangu doh
Najaribu kutafuta kukuelewa careenjibebe Kama unaweza kuiweka katika lugha nyingine pls
 
Aah nimekusikia lakin we acha tu mi nilipize...mtu akianza mi namaliza asee acha niwe karma tu nishaumizwa sana maisha haya kutegemea karma..kwanza tangu nianze kulipiza hata matukio ya kuonewa yamepungua kila mtu ananiogopa
careenjibebe If I can ask you some pointed questions?
 
My friend! You don't even need to believe in anything before the natural law of curses & blessings strikes you.
hivi vyote vipo kwenye furushi moja za habari za kufikirika ambazo msingi wake ni personal experience. havithibitishiki
All you need to do is go on with your life, and sure enough, you will meet it already ahead on your way, and you will definitely be repaid IN KIND -- or even much more.
weka facts kuonesha uhalisia wake kua KARMA ipo, unatak kuniambia currently KARMA haipo ila ipo siku za mbeleni.

hizi ahadi mara nyingi zinatumika kuficha uongo baada ya kuishiwa hoja za msingi kwenye madai ya kufikirika, sasa naona unaniunganisha kwenye kundi moja la watu walioambiwa yesu atarudi waendelee kusubiri
Unasema hii law inadeserve REJECTION kwa sababu eti ni imani ya Wahindu na Wabudha!
sio ina stahili kukataliwa kwa matakwa yangu mimi, bali kitu chochote kile kinaenda against biblical hakipaswi kukubaliwa na wafuasi wa biblia. na ndio maana hapo juu nimekuwekea hoja ku-support madai yangu
Give me a break! Kwenye maisha yako usikubali kamwe "kumtupa jongoo na mti wake!" Do you know how things, REALLY, everybody else believes ambazo tunashare nao, even if kiimani sisi ni tofauti!??
kwa maana hiyo ni sahihi kukubaliana na jambo lililoelezwa kwenye dini nyingine kua ni sahihi wakati jambo hilo limeelezewa negatively kwenye dini yako?
PLS think outside the box, OK?
na ndio maana nimekuambia KARMA ni imaginations zenu tu nawe umenithibitishia kwa kunipa personal experience kua ndio kigezo thabiti cha kuonesha KARMA ipo
The law of curse and blessing (commonly known as karma) haiwi ya jamii fulani, mathalani Wahindu ama Wabudha, eti tu kwa 7bb wao ndio wameipopularaiz na kuiweka frontline. No! No way!
KARMA is the result of a person's actions as well as the actions themselves. It is a term about the cycle of cause and effect. According to the theory of Karma, what happens to a person, happens because they caused it with their actions.

kwahiyo mtoto wa miaka mitatu aliyebakwa na mtu mzima wa miaka 40+ tafsiri yake ni kwamba hilo tukio la mtoto kubakwa ni kutokana na mtendo mabaya aliyoyafanya huko nyuma?

hiyo ndio mnaita KARMA?
Lastly, unaonekana kutojua jinsi principle za retribution za Mungu zinavyofanya kazi.
Ukiambiwa weka uthibitisho wa madai yako unapiga chenga unabakia kusema "itakutokea tu ipo siku" sasa kwa mtindo huo unategemea nitajuaje?
Unazungumzia retribution ama mapatilizo ama kisasi cha Mungu ama adhabu anachopewa mkosaji, eti kinafanyika tu kwenye ile adhabu ya mwisho? Very wrong conception. Adhabu ya Mungu haina lengo la kumuumiza tu mkosaji na kumwadhibu kwa sababu ya dhambi yake. Ina lengo la kumsaidia pia aone their wrong side then abadilike! Ndiyo maana hii principle iko mahali pake! Yaani hana wasiomjua Mungu wanakuzidi? Bz wanasema: Malipo ni hapahapa duniani! It means wanaamini hii kanuni inafanya kazi kabisa!
kwani we unamjua mungu?
 
hivi vyote vipo kwenye furushi moja za habari za kufikirika ambazo msingi wake ni personal experience. havithibitishiki

weka facts kuonesha uhalisia wake kua KARMA ipo, unatak kuniambia currently KARMA haipo ila ipo siku za mbeleni.

hizi ahadi mara nyingi zinatumika kuficha uongo baada ya kuishiwa hoja za msingi kwenye madai ya kufikirika, sasa naona unaniunganisha kwenye kundi moja la watu walioambiwa yesu atarudi waendelee kusubiri

sio ina stahili kukataliwa kwa matakwa yangu mimi, bali kitu chochote kile kinaenda against biblical hakipaswi kukubaliwa na wafuasi wa biblia. na ndio maana hapo juu nimekuwekea hoja ku-support madai yangu

kwa maana hiyo ni sahihi kukubaliana na jambo lililoelezwa kwenye dini nyingine kua ni sahihi wakati jambo hilo limeelezewa negatively kwenye dini yako?

na ndio maana nimekuambia KARMA ni imaginations zenu tu nawe umenithibitishia kwa kunipa personal experience kua ndio kigezo thabiti cha kuonesha KARMA ipo

KARMA is the result of a person's actions as well as the actions themselves. It is a term about the cycle of cause and effect. According to the theory of Karma, what happens to a person, happens because they caused it with their actions.

kwahiyo mtoto wa miaka mitatu aliyebakwa na mtu mzima wa miaka 40+ tafsiri yake ni kwamba hilo tukio la mtoto kubakwa ni kutokana na mtendo mabaya aliyoyafanya huko nyuma?

hiyo ndio mnaita KARMA?

Ukiambiwa weka uthibitisho wa madai yako unapiga chenga unabakia kusema "itakutokea tu ipo siku" sasa kwa mtindo huo unategemea nitajuaje?

kwani we unamjua mungu?
Haahaa lol
 
ngoja niwakumbushe hiki kisa kwa picha kilichotokea miaka ya nyumaa kidogo hapo belgium
1606747817006.png

pichani hapo ni mtoto ambaye kwa tathmini fupi tu hafiki miaka mitano akiwa ndani ya zoo cage ambapo watu walioko nje ya uzio huo wa hiyo cage wamelipia pesa ya kiingilio kwa ajili ya kumuangalia huyo mtoto ambaye walim-refer kama nyani

sasa kwa mujibu wa madai yenu kilichofanyika hapa ni KARMA kwamba kilichomkuta mtoto huyu kimetokana na matendo aliyowahi kuyafanya huko nyuma before. na kwa mantiki hiyo huyu dogo hastahili kuonwa kwa jicho la kiutu bali ni pure nyani kutokana na huko nyuma naye alishawahi kuwaona wengine kuwa ni nyani leo hii amelipwa hapa hapa duniani
 
yani personal experience ndio uthibitisho wa kuonesha KARMA is real?

Nisawa kusema kua uvutaji wa sigara sio hatari kwa afya yako na kwamba tangazo hilo kutoka wizara la afya limepotosha umma kwasababu babu yangu anavuta sigara 50 kwa siku na ana miaka 97?
Conclusion hiyo kwamba sigara haina madhara kwa sababu haikuonekana kwa the alleged smoker (your babu) ni sahihi LAKINI SIYO KAMILI. Zipo factors nyingi SANA TU za kuzingatia: genetic make up yake, mtindo wake wa maisha kijumla, aina ya vyakula, care na attention aliyokuwa akipata, special muujiza na kadhalika na kadhalika. The point is lazima ushahidi ukaribie beyond reasonable doubt ili uwe valid na utumike kwa watu wote. Control experiment ni muhimu sana! Having said that, the law of curse & blessing (Curble ama Karma) inasapotiwa na almost kila mtu ambaye amewahi kuishi duniania akiamua kuwa honest! In short, the evidence is overwhelmingly beyond threshold point!
 
ngoja niwakumbushe hiki kisa kwa picha kilichotokea miaka ya nyumaa kidogo hapo belgium
View attachment 1638520
pichani hapo ni mtoto ambaye kwa tathmini fupi tu hafiki miaka mitano akiwa ndani ya zoo cage ambapo watu walioko nje ya uzio huo wa hiyo cage wamelipia pesa ya kiingilio kwa ajili ya kumuangalia huyo mtoto ambaye walim-refer kama nyani

sasa kwa mujibu wa madai yenu kilichofanyika hapa ni KARMA kwamba kilichomkuta mtoto huyu kimetokana na matendo aliyowahi kuyafanya huko nyuma before. na kwa mantiki hiyo huyu dogo hastahili kuonwa kwa jicho la kiutu bali ni pure nyani kutokana na huko nyuma naye alishawahi kuwaona wengine kuwa ni nyani leo hii amelipwa hapa hapa duniani
The only problem inayofanya uwe wrong kwenye hii dhana ni kwamba the law of curse & blessing (curble or karma) is two sided -- inaweza kuwa positive ama negative. Halafu, whether it is positive or negative, huwa siyo mwisho wa story. It is divinely predetermined way of helping humans correct their past mistakes or reinforce their past virtues! If you did not know, every single action, however infinitely tiny it may seem to be, most definitely observes the law of curse & blessing.
 
Ulimwengu unajiendesha katika mfumo ulio balanced.kwahiyo ukitenda kitu Leo lazim kije show effect hat baadaye ili kubalance.

world is fair because is unfair to everyone
mimi Kila nikimaliza kula nyeto lazma nipate msala wwte
Lazima upate nini [emoji23][emoji23]
 
Mimi simtendei mtu mabaya kwa kudhamilia ila nalipiza kisasi na sisamehi mtu, yaani sijuwi kusamehe kwani nina amini kuwa hakuna mtu mzima anayefanya kitu bila kuwa na sababu. Hivyo basi, mtu mzima akinitendea makosa juwa kuwa amekusudia so I don't forgive, I will hurt them (awe mwanamme au mwanamke) kwa kukupa kipigo cha mwizi and move on ili liwe funzo kwake.
Ha ha ha [emoji23]
 
Do you believe in the existence of a Supernatural Being called God? How powerful is your God? Can you trust Him with your issues? How many of your things, generally, can you trust Him with, and which ones are you not willing to let Him do it for you? Do you believe in forgiveness? Can you say that unatamani na pengine huna mashaka kuwa siku moja uwepo peponi pamoja na Mungu wako?

NB: Uko free kujibu kwa namna uonavyo vyema au unaweza kuskip unayoona hauko comfortable nazo, OK? And, in case you are wondering what I am after kwa maswali haya, nahitaji kujua jambo moja tu, ikitokea umeumizwa kwa kuonewa, kama ulivyosema, halafu somehow ikasikika sauti ya Mungu wako ikisema: "Niachie huyo, nitashughulikia na kosa lake!" Then, kweli ukakubali, ukamwachia. But siku zinavyoenda, unaona yule "mbaya wako" anadunda tu mtaani, hakuna hata kinachoendelea, na Mungu wako wala hata hajakupatia feedback. Maisha yakaendelea hivyo tu hadi mwisho kila kitu seemingly kiko kama kilivyokuwa. My simple question, Would you still continue trusting your God?
 
Mimi simtendei mtu mabaya kwa kudhamilia ila nalipiza kisasi na sisamehi mtu, yaani sijuwi kusamehe kwani nina amini kuwa hakuna mtu mzima anayefanya kitu bila kuwa na sababu. Hivyo basi, mtu mzima akinitendea makosa juwa kuwa amekusudia so I don't forgive, I will hurt them (awe mwanamme au mwanamke) kwa kukupa kipigo cha mwizi and move on ili liwe funzo kwake.
Unasema humtendei mtu ubaya kwa kudhamiria, lakini unasema husamehi anayekukosea! Si ndio ubaya wenyewe huo, hata kama umekosewa wewe???
 
Do you believe in the existence of a Supernatural Being called God? How powerful is your God? Can you trust Him with your issues? How many of your things, generally, can you trust Him with, and which ones are you not willing to let Him do it for you? Do you believe in forgiveness? Can you say that unatamani na pengine huna mashaka kuwa siku moja uwepo peponi pamoja na Mungu wako?

NB: Uko free kujibu kwa namna uonavyo vyema au unaweza kuskip unayoona hauko comfortable nazo, OK? And, in case you are wondering what I am after kwa maswali haya, nahitaji kujua jambo moja tu, ikitokea umeumizwa kwa kuonewa, kama ulivyosema, halafu somehow ikasikika sauti ya Mungu wako ikisema: "Niachie huyo, nitashughulikia na kosa lake!" Then, kweli ukakubali, ukamwachia. But siku zinavyoenda, unaona yule "mbaya wako" anadunda tu mtaani, hakuna hata kinachoendelea, na Mungu wako wala hata hajakupatia feedback. Maisha yakaendelea hivyo tu hadi mwisho kila kitu seemingly kiko kama kilivyokuwa. My simple question, Would you still continue trusting your God?
Jibu lako hapo ni moja tu..naamin uwepo wa muumba naamini kuna hukumu pia!
Lakin sasa mi nimeonewa sana bila kujua..yaan god hakunishtua kama yanayonitokea ni kuonewa..mpaka nakuja kujua nishalia sana...nikakata shauri hakuna kurudi nyuma mwaa mboga nimwage ugali

Mimi ni mtoto wa mungu akiniahid inabid atekeleze ni wajibu wake kwakua mie ni mtoto wake tena naamin anayenipenda kabisa!..
 
Back
Top Bottom