Unaamini nini katika utafutaji katika kukimbia umasikini

Unaamini nini katika utafutaji katika kukimbia umasikini

Hi

Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa

Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
Umeanza utekelezaji, unaendelea aje?
 
Hi

Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa

Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
Naamini Tz ni ngumu sana kufanikiwa, ni sehemu isiyo na usalama (utulivu) na uhakika wa kufanya lolote, kwani hakuna utii wa sheria na taratibu.
 
Naamini Tz ni ngumu sana kufanikiwa, ni sehemu isiyo na usalama (utulivu) na uhakika wa kufanya lolote, kwani hakuna utii wa sheria na taratibu.
Yah ilo ujakosea kabisa mkuu
 
Mtu asipotoa sadaka.afanikiw
Kama hutoi sadaka mafanikio yako yatakua kawaida yaani ya kusua sua sana.

Lakini ni vema hata ukawa baridi ukamtolea sadaka shetani kupitia mawakala wake waganga wa kienyeji nako naona wanafanikiwa.

So either be hot or cool, ila usiwe neutral maana mambo mengi yanaenda kwa super natural pawer. Mwachiluwi

Kuna comment moja hapo juu anasema, utafanikiwa kwa maombi au ndumba.!
Yupo sahihi sana, cha kuongeza ni kwamba hivyo vyote vinaeda na sadaka maalaumu.

Ukitumia ndumba lazima uwe na mganga wako unampelekea sadaka ( ng'ombe, kafara, pesa n.k)
Vile vile maombi lazima utoe fungu la kumi, upeleke sadaka wa yatima n.k

Bible inasema usipotoa sadaka utakua unaweka pesa kwenye mifuko iliyotoba.
 
Hi

Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa

Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
🪓
 
Kama hutoi sadaka mafanikio yako yatakua kawaida yaani ya kusua sua sana.

Lakini ni vema hata ukawa baridi ukamtolea sadaka shetani kupitia mawakala wake waganga wa kienyeji nako naona wanafanikiwa.

So either be hot or cool, ila usiwe neutral maana mambo mengi yanaenda kwa super natural pawer. Mwachiluwi

Kuna comment moja hapo juu anasema, utafanikiwa kwa maombi au ndumba.!
Yupo sahihi sana, cha kuongeza ni kwamba hivyo vyote vinaeda na sadaka maalaumu.

Ukitumia ndumba lazima uwe na mganga wako unampelekea sadaka ( ng'ombe, kafara, pesa n.k)
Vile vile maombi lazima utoe fungu la kumi, upeleke sadaka wa yatima n.k

Bible inasema usipotoa sadaka utakua unaweka pesa kwenye mifuko iliyotoba.
Hapo sasa nmekuelewa ww unatumia nini hapo haswa
 
Kumcha Mungu, Juhudi na Bahati. Siamini kabisa katika miujiza ya kiuchumi labda ya kiroho.
 
Mimi naamini kila mtu anakitu chake ama eneo lake ambalo aanalimudu zaidi ya mwingine.
Chochote utakacho kifanya ukiweka bidii/juhudi na nidhamu, lazima ufikie malengo na mafanikio yako
Kuna vitu ukivifanya hata ufanyaje kuna sehemu hutafika...i mean kuna grade ya maisha usitarajie kabisa kufika kwa kazi fulani au biashara fulani....
 
Back
Top Bottom