mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
natafuta ila naamini nothing is guaranteedTafuta hela totoo acha visingizio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natafuta ila naamini nothing is guaranteedTafuta hela totoo acha visingizio
Imani na juhudi ndio msingi mkuu.natafuta ila naamini nothing is guaranteed
Ongezea bidii na nidhamuHakuna njia ya mkato katika kufanikiwa, inahitaji muda, inahitaji mipango na hatua ya utekelezaji. Kuwa tayari kupambana na kutokata tamaa.
Kama zipKuna kazi na biashara ukizifanya..hata iwe miaka 100 maendeleo ni mwendo wa kobe
Umeanza utekelezaji, unaendelea aje?Hi
Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa
Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
Naamini Tz ni ngumu sana kufanikiwa, ni sehemu isiyo na usalama (utulivu) na uhakika wa kufanya lolote, kwani hakuna utii wa sheria na taratibu.Hi
Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa
Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
Nip ivyo tangu mudaUmeanza utekelezaji, unaendelea aje?
Yah ilo ujakosea kabisa mkuuNaamini Tz ni ngumu sana kufanikiwa, ni sehemu isiyo na usalama (utulivu) na uhakika wa kufanya lolote, kwani hakuna utii wa sheria na taratibu.
Kama hutoi sadaka mafanikio yako yatakua kawaida yaani ya kusua sua sana.Mtu asipotoa sadaka.afanikiw
🪓Hi
Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa
Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
Hapo sasa nmekuelewa ww unatumia nini hapo haswaKama hutoi sadaka mafanikio yako yatakua kawaida yaani ya kusua sua sana.
Lakini ni vema hata ukawa baridi ukamtolea sadaka shetani kupitia mawakala wake waganga wa kienyeji nako naona wanafanikiwa.
So either be hot or cool, ila usiwe neutral maana mambo mengi yanaenda kwa super natural pawer. Mwachiluwi
Kuna comment moja hapo juu anasema, utafanikiwa kwa maombi au ndumba.!
Yupo sahihi sana, cha kuongeza ni kwamba hivyo vyote vinaeda na sadaka maalaumu.
Ukitumia ndumba lazima uwe na mganga wako unampelekea sadaka ( ng'ombe, kafara, pesa n.k)
Vile vile maombi lazima utoe fungu la kumi, upeleke sadaka wa yatima n.k
Bible inasema usipotoa sadaka utakua unaweka pesa kwenye mifuko iliyotoba.
Hasa ukiwa chini ya mkurugenzi,kutoboa yataka moyoKuna maeneo mengine hata ujitume vipi utabaki kuwapa credit wakuu wako wa kazi
Nasali na kutoa sadaka bila kusahau fungu la kumi.Hapo sasa nmekuelewa ww unatumia nini hapo haswa
Njia sahihi ulio tumiaNasali na kutoa sadaka bila kusahau fungu la kumi.
For sure naona mambo yakienda vzr kwa uweza wa Mungu.
Kuna vitu ukivifanya hata ufanyaje kuna sehemu hutafika...i mean kuna grade ya maisha usitarajie kabisa kufika kwa kazi fulani au biashara fulani....Mimi naamini kila mtu anakitu chake ama eneo lake ambalo aanalimudu zaidi ya mwingine.
Chochote utakacho kifanya ukiweka bidii/juhudi na nidhamu, lazima ufikie malengo na mafanikio yako
supper-night mealNaamin katika kutoa SADAKA kwa Mungu muumba mbingu na nchi.
Mambo yako lazima yawe supper.!!