Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Yaani inakuajekuaje mtu unaahirisha Sherehe za Uhuru? Uhuru? UHURU?
Sababu kubwa? Pesa ziende kwenye MAENDELEO?
Yaan Mnaacha mafisadi yanajipigia, Mnajipa masafari Kila kukicha, Mnajipa matumizi makubwa kupindukia, wafanyabiashara mmewaita wafanyabiashara wazuri, alafu from nowhere, Unazuia Sherehe za Uhuru ,Et Pesa iende Mahali Fulani?
Hivi nyie Vyombo vya Dola, Hata Nyinyi hamjui umuhimu wa Sherehe hizi? Kweli kabisa?
Kwamba, mnaomshauri mama, na nyinyi kabisa na ndevu zenu, kende na matiti Kifuani, Kabisa kabisaaa, mnaamua kumpa go ahead?
SHEREHE ZA UHURU? Hivi nyie Uhuru wa Tanganyika mnauchukuliaje?
Wakati Mataifa kama Russia, kwa sasa likipitia vita ya kulinda Tunu zake za kihistoria kwa vizazi, wakitumia mabilioni Kwa mabilioni kuazimisha Kumbukumbu za matukio yao, sisi tunakua mstari wa mbele kabisaaa kusema tunaahirisha Sherehe hizi, na hizo Pesa ziende. SHAME ON YOU!
Mnalipa majizi ya hela za walal hoi, mabilioni na mabilioni, alafu leo hii unaahirisha sherehe za UHURU kisa Pesa ziende Mahali Fulani?
Kwamba hamjui Faida ya kufanya Kumbukumbu Kila mwaka za Sherehe hizi ambazo zinasimama Kihistoria?
TENA SHEREHE ZA UHURU?
Ya kwamba mnaihirisha kutambulika na kukumbukwa Kwa juhudi za Mababu zetu walojitoa kupambana Kwa hali, mali, jasho, matone na Damu?
Ama kweli TAIFA likiongozwa na asokua Hekima, njia zake zote huelekea shimoni.
Aliyemwelewa anisaidie.
Sababu kubwa? Pesa ziende kwenye MAENDELEO?
Yaan Mnaacha mafisadi yanajipigia, Mnajipa masafari Kila kukicha, Mnajipa matumizi makubwa kupindukia, wafanyabiashara mmewaita wafanyabiashara wazuri, alafu from nowhere, Unazuia Sherehe za Uhuru ,Et Pesa iende Mahali Fulani?
Hivi nyie Vyombo vya Dola, Hata Nyinyi hamjui umuhimu wa Sherehe hizi? Kweli kabisa?
Kwamba, mnaomshauri mama, na nyinyi kabisa na ndevu zenu, kende na matiti Kifuani, Kabisa kabisaaa, mnaamua kumpa go ahead?
SHEREHE ZA UHURU? Hivi nyie Uhuru wa Tanganyika mnauchukuliaje?
Wakati Mataifa kama Russia, kwa sasa likipitia vita ya kulinda Tunu zake za kihistoria kwa vizazi, wakitumia mabilioni Kwa mabilioni kuazimisha Kumbukumbu za matukio yao, sisi tunakua mstari wa mbele kabisaaa kusema tunaahirisha Sherehe hizi, na hizo Pesa ziende. SHAME ON YOU!
Mnalipa majizi ya hela za walal hoi, mabilioni na mabilioni, alafu leo hii unaahirisha sherehe za UHURU kisa Pesa ziende Mahali Fulani?
Kwamba hamjui Faida ya kufanya Kumbukumbu Kila mwaka za Sherehe hizi ambazo zinasimama Kihistoria?
TENA SHEREHE ZA UHURU?
Ya kwamba mnaihirisha kutambulika na kukumbukwa Kwa juhudi za Mababu zetu walojitoa kupambana Kwa hali, mali, jasho, matone na Damu?
Ama kweli TAIFA likiongozwa na asokua Hekima, njia zake zote huelekea shimoni.
Aliyemwelewa anisaidie.