GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Imetokea kwa baba yangu Mdogo, kwa sasa mtoto wake wa nje ya ndoa yuko mwaka wa pili
Hapo UDSM lakini mkewe hajui..............
Si jambo zuri, hakika si jambo zuri, Lakini imeshatokea unafanyaje, yaani unalifikisha
vipi kwa mkeo? Unaanzaanzaje?
Na wewe Mwanamke unalipokeaje? Uko tayari kumchukulia huyo mtoto kama mwanao?
Hapo UDSM lakini mkewe hajui..............
Si jambo zuri, hakika si jambo zuri, Lakini imeshatokea unafanyaje, yaani unalifikisha
vipi kwa mkeo? Unaanzaanzaje?
Na wewe Mwanamke unalipokeaje? Uko tayari kumchukulia huyo mtoto kama mwanao?