OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Inategemea huyo mtoto alipatikana kabla au baada ya mahusiano na mkeo. Kama alipatikana kabla ina ahueni kidogo ingawa ulipaswa umpe taarifa mapema pia ila kama alipatikana baada!! Lazima uone rangi zote!
Umri wa mtoto pia unahusika sana maana kama ni mdogo itabidi mjadili malezi yake na kama akilelewa na mama yake mke anaweza ahofie idadi ya hao watoto kuongezeka!!!
Ukisubiri akikua pia ule ukaribu na nduguze unakuwa mdogo sana,wata share jina tu la baba ila ukaribu baina yao huwa haupo.
Kuzaa nje ya ndoa kunaathiri wengi hasa watoto,wanandoa tuwe makini sana hasa wanaume wanaojiona wako salama kwa sababu mimba hawabebi wao. Tufikiri kabla ya kuamua.
We nikikuletea leo mchana utafanyaje???????