Unaazaje kumueleza Mkeo kuwa una mtoto nje ya ndoa, Mwanamke unalipokeaje kutoka kwa Mumeo?

Unaazaje kumueleza Mkeo kuwa una mtoto nje ya ndoa, Mwanamke unalipokeaje kutoka kwa Mumeo?

Inategemea huyo mtoto alipatikana kabla au baada ya mahusiano na mkeo. Kama alipatikana kabla ina ahueni kidogo ingawa ulipaswa umpe taarifa mapema pia ila kama alipatikana baada!! Lazima uone rangi zote!
Umri wa mtoto pia unahusika sana maana kama ni mdogo itabidi mjadili malezi yake na kama akilelewa na mama yake mke anaweza ahofie idadi ya hao watoto kuongezeka!!!
Ukisubiri akikua pia ule ukaribu na nduguze unakuwa mdogo sana,wata share jina tu la baba ila ukaribu baina yao huwa haupo.
Kuzaa nje ya ndoa kunaathiri wengi hasa watoto,wanandoa tuwe makini sana hasa wanaume wanaojiona wako salama kwa sababu mimba hawabebi wao. Tufikiri kabla ya kuamua.

We nikikuletea leo mchana utafanyaje???????
 
Kama ni mtoto kabla hujanioa its okey

Ila kama ni mtoto umempata kwa michepuko yako usiniambie aisee
 
Yaani mie kama ni mtoto, niachwe hadi nifikee chuo kikuu ndio nitambulishwe? Nawakataa wote baba na familia yake siwataki tena.

Wa nini hata sina nao historia, aku nabaki na wale walle wwalionilea wananitosha kabisa.
Sijui tatizo lako ni utambulisho au huduma?
maana kama umechukulia kisa cha huyo baba Mdogo yeye amekuwa akitoa
huduma zote ingawa ni kwa usiri mkubwa na kinachosaidia hapa ni kuwa huyo
mtoto kazaliwa Mkoa tofauti na ule anaoishi
 
Sijui tatizo lako ni utambulisho au huduma?
maana kama umechukulia kisa cha huyo baba Mdogo yeye amekuwa akitoa
huduma zote ingawa ni kwa usiri mkubwa na kinachosaidia hapa ni kuwa huyo
mtoto kazaliwa Mkoa tofauti na ule anaoishi

Mtu wa Mwanza hawezi ongelewa Tanga??????
 
Mtu wa Mwanza hawezi ongelewa Tanga??????
Anaweza, tatizo la Kongosho ni Kuwa ikiwa utapita muda mrefu wa kufikia chuo
hajatambulishwa hayuko tayari kujiunga na hiyo Familia sasa nikichotaka kujua
kutoka kwake ni kuwa hata akipata huduma kutoka kwa mzazi wake huyo ambaye
hajamtambulisha bado hayuko tayari?
 
Katika mambo ambayo ni magumu kwa wanawake kuelewa ni hili

Kama atakuelewa kirahisi basi huyo umri wake utakuwa umeenda sana na atakuwa hajali sana mambo ya watoto kwasababu huenda hawazi kuzaa tena au ameshachoka kurukaruka huko lakini kama ni mbichi itakuwa ngumu sana,wanawake hawakubali kirahisi kuishi na mwanaume ambae ana watoto au mtoto

Hivyo sishangai huyo baba yako mdogo kuamua kumficha mkewe kuhusiana na huyo mtoto!

Baba paroko hapo ni upande zote...

imagine mie nakuletea mtoto sasa tena nilimpata wakati tuko
kwenye ndoa...na nimekuficha muda wote sidhani ka utaelewa kwa urahisi
 
Anaweza, tatizo la Kongosho ni Kuwa ikiwa utapita muda mrefu wa kufikia chuo
hajatambulishwa hayuko tayari kujiunga na hiyo Familia sasa nikichotaka kujua
kutoka kwake ni kuwa hata akipata huduma kutoka kwa mzazi wake huyo ambaye
hajamtambulisha bado hayuko tayari?


:A S 27: :A S 27: Material sio kila kitu kwa mtu anayejitambua!!!!
 
Back
Top Bottom