Unaazaje kumueleza Mkeo kuwa una mtoto nje ya ndoa, Mwanamke unalipokeaje kutoka kwa Mumeo?

Unaazaje kumueleza Mkeo kuwa una mtoto nje ya ndoa, Mwanamke unalipokeaje kutoka kwa Mumeo?

Kimaubile mwanamke ndie anaekaa na watoto kwa muda mrefu na ndie mlezi kwa asilimia 80 hivyo unaweza kuuona huo ukaribu

Wanawake wanakuwa wagumu sana kwasababu za wivu yaani kila akimuona yule mtoto anakuwa anamuona kama mumewe amemsaliti na inasababisha amuone mtoto nae ni mkosaji sana na kuanza kumsumbua na kumtesa

Kwa upande wa wanaume ni wachache sana wanajali kuhusiana na watoto na mara nyingi baba yeye wala hashindi nyumbani hivyo inakuwa ngumu sana kujali kuhusiana na hilo

Wanaume wengi sana wameoa wanawake wenye watoto lakini wanawake wachache sana wameolewa na wanaume wenye watoto na hao wachache kunakuwa na sababu kama nilizozisema hapo juu

Mimi ni mmojawapo wa wanaume ambao wala sitajali sana kuhusiana na mwanamke kama akiwa na mtoto,tutalizungumza hilo na wala hicho sio kitu ambacho kitanifanya nisimuoe au kuanzisha mahusiano na mwanamke!

Dah!umenijibu kwa buusara ya hali ya juu sana, umenisababisha nijione mwenye makosa kwa kuwachukulia wanawake wenye watoto wakosefu,nareview mtazamo wangu juu ya wanawake wenye watoto
 
Wanaume ni wa ajabu kama nanii.....
wao kuwa na mwanamke mwenye watoto ni ishu ila ye anaona kuleta watoto fresh tu mxuuuuu

Rafiki inaonekana imekuuma sana! bt pole asee hii ndo Africa MUME 1 wanawake wengi! Nway hili ni jambo gumu sana!
 
Kwa generation hii hv vi2 lazma viwepo
 
kuondoka kisa mtoto wa nje ndo sln gani hiyo? Kweli mwanamke -------- hutawanya familia yake kwa mikono yake! Kwa mfano tayari wana watoto, yule wa nje alipatikana kabla hawajawa kwenye ndoa au hata kama wakiwa kwenye ndoa. Huyu mwanamke cha kumuondoa kwenye ndoa ni nini na wakati huo mapenzi yapo kati yao?

Hii case ni alipatikana akiwa ndoani sio akiwa hajaoa, upo hapo?
 
Wakuu tuache utani kuzaa NJE ya NDOA ni mateso sana! kwa watoto na pia kwa BABA Binafsi cwezi kumlaumu Mwanaume mwenzangu aliezaa NJE mambo haya yanachangiwa na vitu vingi wapo wanaoona km ni CFA kuzaa NJE lkn kwa wengine ckweli na wamebaki na MAJUTO maisha yao yote,,! Mleta mada hajasema km huyo ndg alizaa NJE B4 or Aft NDOA tungejua then tungeanzia hapo! ila kwa mwanaume anaethimini NDOA itamuuma sana!
 
nyie mimwanamke ya cku hz mbna roho mbaya km majambazi sugu?ukikaa nae utapungukiwa nn?.,yan ukatae kuish na dam yangu..,manina labda uhame ww

hapa umenigusa mnoooo kupita kimya ni big no
yaani tuchume mali afu uje ubane na pua et kama hutaki kuishi na damu yangu hama wewe
wewe na damu yako kaanzeni maisha mbele kwa mbele mniachie kila kitu
 
mimi nitamwambia wife kuna kitu nataka kukwambia ila niambie kwanza kama utanisamehe? nikiona reaction yake ni negative simwambii. kwa hiyo mpaka anipromise kuwa atanisamehe ndio namwambia.
 
Hakuna kilichoniuma ila huwa nawashangaa tu
mkuki kwa nguruwe inaaply sana kwa wanaume wakiafrica
afu jibu Lao mimi ni wanaume, mwanaume my a.s.s

Ndo hivyo Rafiki haya mambo ya Mwanamke kuwa mtu wa grade II ilikuwepo tangu Zamani kwa wakristo kwenye Bible kuna sehem inaelezea YESU kulisha MKUTANO wa wa2 elf5 Inasemekana hao elf 5 ni Wanaume tu!
 
Mtoto yuko chuo kikuu mmmmh. Kwanini huyo baba hakumjuza mkewe tangu mwanzo ili watoto wajuane. Huenda mama alisikia tetesi na alipohoji alijibiwa kwa ukali kuwa si kweli alichosikia. Wakati mwingine wamama hubebeshwa lawama za bure kwani si wabaya kiasi hicho iwapo tu wataambiwa toka mwanzo. Ni unyama sana kwa mtoto kumfanyia namna hii kwani kila mmoja anatamani kujua ndugu zake. Binafsi kama inakua imetokea hivyo nakubali matokeo na naomba watoto wafahamiane.
 
Dah!umenijibu kwa buusara ya hali ya juu sana, umenisababisha nijione mwenye makosa kwa kuwachukulia wanawake wenye watoto wakosefu,nareview mtazamo wangu juu ya wanawake wenye watoto

Mkuu ukinionea Ennie mwambie anipe buku mbili yangu namdai!
 
Last edited by a moderator:
hapa umenigusa mnoooo kupita kimya ni big no
yaani tuchume mali afu uje ubane na pua et kama hutaki kuishi na damu yangu hama wewe
wewe na damu yako kaanzeni maisha mbele kwa mbele mniachie kila kitu

kweli nmekugusa kunako miss..,ni ngum kumeza kwako bt ni simple na humany ukithink big!..,ila SIWEZ kumwacha mwanangu anagaagaa nje while ding nipo.,lazma akae na Mimi no matter what
 
kweli nmekugusa kunako miss..,ni ngum kumeza kwako bt ni simple na humany ukithink big!..,ila SIWEZ kumwacha mwanangu anagaagaa nje while ding nipo.,lazma akae na Mimi no matter what

kama hukutaka mwanao agaegae nje kwanini ulimzaaa nje
 
kama hukutaka mwanao agaegae nje kwanini ulimzaaa nje

aah miss neddy!.,kitanda hakizaagi haram.,it always happen m2 umeuza game cku1 na unapga kamoja2 bla kutarajia mimba bt mambo yanajpa mama!kwan we hu
 
aah miss neddy!.,kitanda hakizaagi haram.,it always happen m2 umeuza game cku1 na unapga kamoja2 bla kutarajia mimba bt mambo yanajpa mama!kwan we hu

hakizaagi haramu kwako tu kwangu big no tamaa zako peleka hukohuko
 
Kinachikufanya umthamini mtu ni historia mliyoitengeneza pamoja, hii huleta upendo. Alishindwa nini hata kunitembelea once in a while ili awe sehemu ya makuzi ya mtoto?

Kama ishu ni 'huduma alizotoa kwa usiri', aseme ni sh ngapi nimrudishie. Kama aliogopa kunitambua sababu ya mkewe, basi aendelee na mkewe. Kwani leo mkewe kafa ama kachuja hadi mie niwe na thamani ya kutambulishwa kwenye hiyo familia?
They are just strangers, na watabaki strangers milele, Ngoja nikuwekee kipande cha 2pac cha dear mama

Hapo nilipo-bold chini, unaona 2pac anaona thugs ni wa muhimu kwake, just because they showed love to him kuliko baba yake.

"No love from my daddy cause the coward wasn't there
He passed away and I didn't cry, cause my anger
wouldn't let me feel for a stranger
They say I'm wrong and I'm heartless, but all along
I was lookin for a father he was gone
I hung around with the Thugs, and even though they sold drugs"
They showed a young brother love


Sijui tatizo lako ni utambulisho au huduma?
maana kama umechukulia kisa cha huyo baba Mdogo yeye amekuwa akitoa
huduma zote ingawa ni kwa usiri mkubwa na kinachosaidia hapa ni kuwa huyo
mtoto kazaliwa Mkoa tofauti na ule anaoishi
 
Si muwe mnatumia condom au muache michepuko! !!!!lakin wanaume ukimzalia nje hatolala wala kupumuaa na talaka kumi utapewaaa!!!
 
Back
Top Bottom