Unaazaje kumueleza Mkeo kuwa una mtoto nje ya ndoa, Mwanamke unalipokeaje kutoka kwa Mumeo?

Unaazaje kumueleza Mkeo kuwa una mtoto nje ya ndoa, Mwanamke unalipokeaje kutoka kwa Mumeo?

Kinachikufanya umthamini mtu ni historia mliyoitengeneza pamoja, hii huleta upendo. Alishindwa nini hata kunitembelea once in a while ili awe sehemu ya makuzi ya mtoto?

Kama ishu ni 'huduma alizotoa kwa usiri', aseme ni sh ngapi nimrudishie. Kama aliogopa kunitambua sababu ya mkewe, basi aendelee na mkewe. Kwani leo mkewe kafa ama kachuja hadi mie niwe na thamani ya kutambulishwa kwenye hiyo familia?
They are just strangers, na watabaki strangers milele, Ngoja nikuwekee kipande cha 2pac cha dear mama

Hapo nilipo-bold chini, unaona 2pac anaona thugs ni wa muhimu kwake, just because they showed love to him kuliko baba yake.

"No love from my daddy cause the coward wasn't there
He passed away and I didn't cry, cause my anger
wouldn't let me feel for a stranger
They say I'm wrong and I'm heartless, but all along
I was lookin for a father he was gone
I hung around with the Thugs, and even though they sold drugs"
They showed a young brother love

Mmmmmmhhh weewe huyu my dada Kongosho!!!!???????

Huwa machozi yananilenga akisema "huggin ma mama from the jail cell"..............maisha haya tuliyopitia na mama zetu acha tu !!!!!!!!!!!
 
Umeona eeh, huu wimbo ni vere dia to me, basi tu

Kweli mama ana nafasi yake, hata tutofautianeje, uhusiano wetu huwa hautetereki.

Mmmmmmhhh weewe huyu my dada Kongosho!!!!???????

Huwa machozi yananilenga akisema "huggin ma mama from the jail cell"..............maisha haya tuliyopitia na mama zetu acha tu !!!!!!!!!!!
 
Umeona eeh, huu wimbo ni vere dia to me, basi tu

Kweli mama ana nafasi yake, hata tutofautianeje, uhusiano wetu huwa hautetereki.


Acha tu hebu siku moja tafuta na Renee wa Lost Boys usikie kitu flani humo!!!!!!!
 
Imetokea kwa baba yangu Mdogo, kwa sasa mtoto wake wa nje ya ndoa yuko mwaka wa pili
Hapo UDSM lakini mkewe hajui..............

Si jambo zuri, hakika si jambo zuri, Lakini imeshatokea unafanyaje, yaani unalifikisha
vipi kwa mkeo? Unaanzaanzaje?
Na wewe Mwanamke unalipokeaje? Uko tayari kumchukulia huyo mtoto kama mwanao?
Kuwa msiri
 
Back
Top Bottom