Unabana matumizi yako Kifedha wakati wa Sikukuu hizi au tukuache na mambo yako?

Unabana matumizi yako Kifedha wakati wa Sikukuu hizi au tukuache na mambo yako?

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wakuu, pamoja na kuwa kila mtu na maisha yake na life style yake lakini ni vema kukumbushana kuwa na tahadhari kwenye matumizi ya Fedha.

Bila hivyo kuna mambo yataparangana Januari au hata miezi mitatu ya mwanzo mwaka 2024.

Tule bata ila kwa mipango
 
We chizi nini siku hizi za sikukuu ndo zakuingiza hela wewe unaongea namna gani fella
 
We chizi nini siku hizi za sikukuu ndo zakuingiza hela wewe unaongea namna gani fella
 
Back
Top Bottom