Vizuri, muhimu ni kutembea na akiba tuMi huwa natembea na walet na kibunda chote hapo, la msingi M pesa yangu haiwezi kukosa ela ya emergency maana mimi nikifika sehemu kama umenambia nikusubiri may be lazima niingie bar kukata bia, nikirud home jioni lazima nipitie sehem iliyochangamka nipate bia, hiyo ela ya emergency ndo huwa ninaitumia kwenye bia sasa mdg mdg
Kiazi wewe, tunaaminikaKwamba ni beauty enough?
imezidi sana buku 3,
buku 2 mfuko wa kulia
buku mfuko wa kushoto wa trakisuti
Ndiyo, ikipotea/ikiibiwa hii, hii inabaki[emoji23][emoji23]
Umetenganisha kabisa mkuu
zisipotee zote kwa mpigo mkuuAh ah ah mbona buku 2 mfuko wa kulia na buku mfuko wa kushoto ah ah ah komaa
ndio ivyo, maana hakuna hela kitaaLiwalo na liwe au sio
zisipotee zote kwa mpigo mkuu
Mtaani kwetu yanaweza kunikuta yapi?😅Vp yakikukuta ssa?