Unabeba Pesa kiasi gani ukiwa kwenye matembezi yako?

Unabeba Pesa kiasi gani ukiwa kwenye matembezi yako?

Inategemeana na siku nipo vip lak elf 30 vichej juu maan huku unawez uktembea na milion umeshikilia usipat jam yoyot ya wahuni yan full aman ukipotez ukamjua nan ameiyokot unaipat fresh usipomjua ndo imekula kwako
Kwamba watu wamestaarabika sana au kuna reason behind?
 
5500 taslimu kwa namna upepo unavyoelekea itakuwa 1500 na tarehe zikichanganya kuanzia tarehe 11 itakuwa NIL.
 
binafsi

Kila mwezi huingia ATM na kutoa 100k

Nikitoa naingia ndani Kwa teller ,naomba chenji bukubuku yote laki

Basi zinakuwa kwenye wallet mwezi mzima

emergence yangu hiyo
Note 100 zinatosha kwenye wallet
 
Natembea kama nilivo, maana kitaa chetu huwez kuta au kumgonga mtu bahati mbaya laba ww ndo ugongwe
 
Back
Top Bottom