Unabii wa Tanzania mwaka 2024 Kwa Kanisa

Unabii wa Tanzania mwaka 2024 Kwa Kanisa

6. MABADILIKO JUU YA SIKU ZA KUKUSANYIKA KWA IBADA.

KANISA la kwanza linarudi mahala pake, kuanzia 2024 na kuendelea, makusanyiko ya IBADA yatarudi Kwa wingi siku ya Saba, Jumamosi itakuwa siku kuu ya kukusanya makanisa.

Nyumba za Ibada zilizokuwa zikikusanya makanisa Siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili kama siku kuu,watarudi kukusanyika siku kuu ya Saba ya juma yaani Jumamosi,Sabato ya BWANA.
Kwingine umetiririka vizuri, hapa #6 ndo umeboronga
 
Kwingine umetiririka vizuri, hapa #6 ndo umeboronga
Rudi kusoma namba 7, imeongezwa.

No 6, ni muhimu itimie sababu tunakoelekea, viongozi wetu wataruhusu uchafu na makufuru kuingia Patakatifu, nadhani umeshasikia mashoga wanatakiwa kubarikiwa na kufungishwa NDOA wakiwa mashoga hi yo hivyo.

Solution hapo ni kurudi katika msingi.
 
Mtafaruku umeanza mapema, mnyama anatoa makucha yake halisi.

Kimbieni mapema.

Amen
 
Nataka kujua hawa wa siku ya sa
Salaam, Shalom!!

Huu ni unabii wa Nchi yetu nzuri TANZANIA Kwa mwaka 2024.

KANISA ni mtu mmoja mmoja amwaminiye Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha Yake, KANISA pia inatafsiriwa kama kikundi Cha watu wakusanyikao kuliitia Jina la BWANA.

UNABII KWA KANISA 2024, UTAGUSA YAFUATAYO.

1. WATUMISHI WA MUNGU.

Kuanzia mwaka 2021 Mungu aliinua watumishi vijana, Wachungaji, manabii na mitume wengi sana.

Mungu alikuwa akileta maonyo na makaripio Kwa Kanisa kutubu na kurudi katika utumishi mtakatifu Ili kujiandaa Kwa KAZI yake Kwa ukubwa sana, INJILI ya ufalme ya kuwaita watu kutubu ndiyo itakayohubiriwa kuanzia mwaka 2024 na kuendelea.

Mwaka ujao 2024, watumishi hao watafanya KAZI kubwa sana, Shamba ni kubwa, wataokoka watu wengi sana, ni muda mzuri sana wa watumishi kukua kihuduma, kiu ya watu kumtafuta Kumjua Mungu itaongezeka sana, wengi wataacha dhambi na kumrudia Mungu.

Watumishi wa kweli waliodharaulika, watainuliwa tena, INJILI ya ufalme ya uamsho itakuja Kwa nguvu sana, watu wa Mungu watafunuliwa Macho na kuwafuata watumishi wa Kweli na kuwakimbia manabii wa uongo na makanisa ya uongo.

2. UDHIHRISHO WA NGUVU ZA MUNGU.

Uamsho Kwa mwaka 2024, utaendana na nguvu kubwa ya utendaji KAZI wa ROHO MTAKATIFU, Mungu atajidhihirisha Kwa nguvu na mamlaka na miujiza ya Kweli katika mwaka huo ujao.

Watumishi wa Mungu, wainjilisti, Manabii, Walimu na Wachungaji watamwagiwa upako mkubwa, watu wengi watavutwa kuja kuamini, pia wengi wenye magonjwa na shida mbalimbali wataponywa. Ni katika mwaka huo 2024 watumishi wa Kweli watainuka na kupata Heshima sababu ya mvuto wa Roho mtakatifu.

3. MIUNDOMBINU YA KANISA NA NYUMBA ZA IBADA.

Zitajengwa nyumba za Ibada kubwa kubwa sana katika makanisa mengi, nyumba zilizo ndogo zitapanuliwa sababu wimbi la watu kumrudia Mungu litakuwa kubwa sana.

4. USTAWI WA KIUCHUMI.

Watu wa Mungu watastawi, waajiriwa wapenda HAKI watainuliwa na waovu kushushwa, wapenda HAKI waliosahaulika watainuliwa, wamtegemeao Mungu watastawi katika nyanja mbalimbali. Nje ya kumtegemea Mungu ,hapatakuwa na mafanikio Bali taabu.

5. NAFASI ZA KISIASA.

Waaminifu, wapenda HAKI watapata kukubalika katika nafasi mbalimbali za utumishi, Nuru ya Yesu itaangazia pia sekta mbalimbali, Waaminifu watapata KIBALI sana katika sekta mbalimbali 2024.

6. MABADILIKO JUU YA SIKU ZA KUKUSANYIKA KWA IBADA.

KANISA la kwanza linarudi mahala pake, kuanzia 2024 na kuendelea, makusanyiko ya IBADA yatarudi Kwa wingi siku ya Saba, Jumamosi itakuwa siku kuu ya kukusanya makanisa.

Nyumba za Ibada zilizokuwa zikikusanya makanisa Siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili kama siku kuu,watarudi kukusanyika siku kuu ya Saba ya juma yaani Jumamosi,Sabato ya BWANA.

Pia zitaanzishwa nyumba za Ibada mpya nyingi na siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada itakuwa siku ya Saba ya juma, jumamosi.

7. MAJANGA YA KUTENGENEZA.

Kutakuwapo na majanga ya kutengeneza katika maeneo mbalimbali duniani.

Ibilisi na Malaika walioasi, wamejipenyeza katika mataifa makubwa na kufanya magunduzi katika mifumo mbalimbali.

Tumefikia Mahali ambapo wapo viumbe katika mataifa makubwa ambao Wana uwezo wa kutengeneza Magonjwa kama Corona,Tsunami, Matetemeko, vimbunga, Tufani nk nk.

Imeandikwa, siku za mwisho, Maarifa yataongezeka, na pia hayo yameruhusiwa Kutokea sawasawa na (Mathayo 24 :3-14).

KANISA liendelee kuomba Ili majanga hayo yasitupate sisi na Mali zetu, maana majanga hayo, hayana budi Kutokea, vita ,magonjwa ya ajabu ajabu nk nk.

USALAMA ni kuingia ndani ya safina( Kumpokea na kumwamini Yesu).

Mungu awabariki.

Source: Mtume Meshack.

Ame

Salaam, Shalom!!

Huu ni unabii wa Nchi yetu nzuri TANZANIA Kwa mwaka 2024.

KANISA ni mtu mmoja mmoja amwaminiye Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha Yake, KANISA pia inatafsiriwa kama kikundi Cha watu wakusanyikao kuliitia Jina la BWANA.

UNABII KWA KANISA 2024, UTAGUSA YAFUATAYO.

1. WATUMISHI WA MUNGU.

Kuanzia mwaka 2021 Mungu aliinua watumishi vijana, Wachungaji, manabii na mitume wengi sana.

Mungu alikuwa akileta maonyo na makaripio Kwa Kanisa kutubu na kurudi katika utumishi mtakatifu Ili kujiandaa Kwa KAZI yake Kwa ukubwa sana, INJILI ya ufalme ya kuwaita watu kutubu ndiyo itakayohubiriwa kuanzia mwaka 2024 na kuendelea.

Mwaka ujao 2024, watumishi hao watafanya KAZI kubwa sana, Shamba ni kubwa, wataokoka watu wengi sana, ni muda mzuri sana wa watumishi kukua kihuduma, kiu ya watu kumtafuta Kumjua Mungu itaongezeka sana, wengi wataacha dhambi na kumrudia Mungu.

Watumishi wa kweli waliodharaulika, watainuliwa tena, INJILI ya ufalme ya uamsho itakuja Kwa nguvu sana, watu wa Mungu watafunuliwa Macho na kuwafuata watumishi wa Kweli na kuwakimbia manabii wa uongo na makanisa ya uongo.

2. UDHIHRISHO WA NGUVU ZA MUNGU.

Uamsho Kwa mwaka 2024, utaendana na nguvu kubwa ya utendaji KAZI wa ROHO MTAKATIFU, Mungu atajidhihirisha Kwa nguvu na mamlaka na miujiza ya Kweli katika mwaka huo ujao.

Watumishi wa Mungu, wainjilisti, Manabii, Walimu na Wachungaji watamwagiwa upako mkubwa, watu wengi watavutwa kuja kuamini, pia wengi wenye magonjwa na shida mbalimbali wataponywa. Ni katika mwaka huo 2024 watumishi wa Kweli watainuka na kupata Heshima sababu ya mvuto wa Roho mtakatifu.

3. MIUNDOMBINU YA KANISA NA NYUMBA ZA IBADA.

Zitajengwa nyumba za Ibada kubwa kubwa sana katika makanisa mengi, nyumba zilizo ndogo zitapanuliwa sababu wimbi la watu kumrudia Mungu litakuwa kubwa sana.

4. USTAWI WA KIUCHUMI.

Watu wa Mungu watastawi, waajiriwa wapenda HAKI watainuliwa na waovu kushushwa, wapenda HAKI waliosahaulika watainuliwa, wamtegemeao Mungu watastawi katika nyanja mbalimbali. Nje ya kumtegemea Mungu ,hapatakuwa na mafanikio Bali taabu.

5. NAFASI ZA KISIASA.

Waaminifu, wapenda HAKI watapata kukubalika katika nafasi mbalimbali za utumishi, Nuru ya Yesu itaangazia pia sekta mbalimbali, Waaminifu watapata KIBALI sana katika sekta mbalimbali 2024.

6. MABADILIKO JUU YA SIKU ZA KUKUSANYIKA KWA IBADA.

KANISA la kwanza linarudi mahala pake, kuanzia 2024 na kuendelea, makusanyiko ya IBADA yatarudi Kwa wingi siku ya Saba, Jumamosi itakuwa siku kuu ya kukusanya makanisa.

Nyumba za Ibada zilizokuwa zikikusanya makanisa Siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili kama siku kuu,watarudi kukusanyika siku kuu ya Saba ya juma yaani Jumamosi,Sabato ya BWANA.

Pia zitaanzishwa nyumba za Ibada mpya nyingi na siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada itakuwa siku ya Saba ya juma, jumamosi.

7. MAJANGA YA KUTENGENEZA.

Kutakuwapo na majanga ya kutengeneza katika maeneo mbalimbali duniani.

Ibilisi na Malaika walioasi, wamejipenyeza katika mataifa makubwa na kufanya magunduzi katika mifumo mbalimbali.

Tumefikia Mahali ambapo wapo viumbe katika mataifa makubwa ambao Wana uwezo wa kutengeneza Magonjwa kama Corona,Tsunami, Matetemeko, vimbunga, Tufani nk nk.

Imeandikwa, siku za mwisho, Maarifa yataongezeka, na pia hayo yameruhusiwa Kutokea sawasawa na (Mathayo 24 :3-14).

KANISA liendelee kuomba Ili majanga hayo yasitupate sisi na Mali zetu, maana majanga hayo, hayana budi Kutokea, vita ,magonjwa ya ajabu ajabu nk nk.

USALAMA ni kuingia ndani ya safina( Kumpokea na kumwamini Yesu).

Mungu awabariki.

Source: Mtume Meshack.

Amen
Nataka kujua hawa wa siku ya saba au jumamosi kama ulivyosema wanamwamini Yesu?
 
Nataka kujua hawa wa siku ya sa



Nataka kujua hawa wa siku ya saba au jumamosi kama ulivyosema wanamwamini Yesu?
Wasabato Si wakristo,

Wakatoliki Si wakristo.

Waislame kadhalika.

Sisi kuwa ndani ya kikundi Cha wasabato, wakatoliki au waislamu hamna wakristo, HAPANA.


Ukristo ni Imani, ni kubatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho mtakatifu. Ni Kuzaliwa UPYA, ni kuishi maisha matakatifu.

Waliookoka wengi wamejikuta wakikusanyika siku kuu ya IBADA, Jumapili sababu ya mkumbo.

Bt kuanzia 2024 na kuendelea, watarudi kujikusanya tena kama ilivyokuwa awali Kanisa la kwanza.

Amen
 
Hilo la mwisho liko wazi kabisaaa😄😄
Yani kama hujaliona aisee pole

Nenda tafuta Movie ya Leave the world behind
Au Simpson series mpya.

Uzuri wa haya mambo hayataki ubishani sana wether u like or not they happen

Walitupa movies za Quit na Silent kumbe wanatutaharisha na Lockdown ya Covid19 and they did it again waaoooh😄
 
Hilo la mwisho liko wazi kabisaaa😄😄
Yani kama hujaliona aisee pole

Nenda tafuta Movie ya Leave the world behind
Au Simpson series mpya.

Uzuri wa haya mambo hayataki ubishani sana wether u like or not they happen

Walitupa movies za Quit na Silent kumbe wanatutaharisha na Lockdown ya Covid19 and they did it again waaoooh😄
Sasa yajayo kuanzia 2024 na kuendelea ni hatari sana ikiwa hujaokoka.

USALAMA ni kuokoka na kurudi Kwa Yesu.

Janga la Manyara, la nyumba kusombwa ilhali Kanisa la tope likabaki,

Ikupe kujua wapi ulipo USALAMA.

Amen
 
Wasabato Si wakristo,

Wakatoliki Si wakristo.

Waislame kadhalika.

Sisi kuwa ndani ya kikundi Cha wasabato, wakatoliki au waislamu hamna wakristo, HAPANA.


Ukristo ni Imani, ni kubatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho mtakatifu. Ni Kuzaliwa UPYA, ni kuishi maisha matakatifu.

Waliookoka wengi wamejikuta wakikusanyika siku kuu ya IBADA, Jumapili sababu ya mkumbo.

Bt kuanzia 2024 na kuendelea, watarudi kujikusanya tena kama ilivyokuwa awali Kanisa la kwanza.

Amen
Sijauliza wakristo. Wakristo maana yake ni wale wote wanaomwamini Yesu. Hivyo wamefanyika wake.
Nimeuliza wa siku ya saba wanamwaminu Yesu?
Tuanzie hapo,
Na je waliamini neno la Mungu?
(INJILI ya Yesu)
Toa na vifungu vya biblia vinavyoonyesha wa siku ya saba kuwa na Wakristo.
 
Mungu hana upendeleo, ni sisi tu tunatumia uzoefu kumuelewa jambo ambalo ni janga kubwa la Dunia yetu. Kama alizungumza na Farao ndotoni hatuoni ni wa pekee?..

Mimi siyo nabii wala sana uhusiano na masuala hayo ila kiroho Mungu hunionesha mengi sana juu ya maisha yangu binafsi, Taifa na Dunia.
 
Kuwa mtabiri au mwonaji mara nyingi huzingatia zaidi ya kuwa na uwezo wa kibinadamu wa kuelewa mambo kwa kina. Ili kufikia kiwango hicho, watu mara nyingi hujifunza kwa miaka mingi, wakifuata mafundisho ya kiroho, utambuzi, na uelewa wa hali ya juu wa mambo yanayoendelea.

Kuwa mtabiri au mwonaji kunaweza kuhusisha mafunzo ya kiroho, kama vile meditation, kutafakari, na kujenga ufahamu wa ndani ya nafsi yako. Pia, kuna tamaduni ambazo zinaamini mchango wa maarifa ya jadi na ufahamu wa vizazi vilivyopita kwa mtu anayetaka kuwa mtabiri.

Ni muhimu kutambua kuwa njia za kufikia hali ya kuwa mtabiri au mwonaji zinatofautiana sana katika tamaduni mbalimbali ulimwenguni. Kwa wengine, hii inaweza kuwa sehemu ya mafundisho ya kidini au kiroho, wakati kwa wengine inaweza kuwa ni njia ya kujifunza na kuboresha uelewa wa mambo kupitia mafunzo ya kujitegemea na uzoefu wa maisha.

Kujenga ufahamu wa kina na uhusiano wa kiroho na mazingira ni hatua muhimu katika safari ya kuelekea kuwa mtabiri au mwonaji.
 
Sijauliza wakristo. Wakristo maana yake ni wale wote wanaomwamini Yesu. Hivyo wamefanyika wake.
Nimeuliza wa siku ya saba wanamwaminu Yesu?
Tuanzie hapo,
Na je waliamini neno la Mungu?
(INJILI ya Yesu)
Toa na vifungu vya biblia vinavyoonyesha wa siku ya saba kuwa na Wakristo.
Unabii haujadiliwi,

Tusubiri.
 
Kuwa mtabiri au mwonaji mara nyingi huzingatia zaidi ya kuwa na uwezo wa kibinadamu wa kuelewa mambo kwa kina. Ili kufikia kiwango hicho, watu mara nyingi hujifunza kwa miaka mingi, wakifuata mafundisho ya kiroho, utambuzi, na uelewa wa hali ya juu wa mambo yanayoendelea.

Kuwa mtabiri au mwonaji kunaweza kuhusisha mafunzo ya kiroho, kama vile meditation, kutafakari, na kujenga ufahamu wa ndani ya nafsi yako. Pia, kuna tamaduni ambazo zinaamini mchango wa maarifa ya jadi na ufahamu wa vizazi vilivyopita kwa mtu anayetaka kuwa mtabiri.

Ni muhimu kutambua kuwa njia za kufikia hali ya kuwa mtabiri au mwonaji zinatofautiana sana katika tamaduni mbalimbali ulimwenguni. Kwa wengine, hii inaweza kuwa sehemu ya mafundisho ya kidini au kiroho, wakati kwa wengine inaweza kuwa ni njia ya kujifunza na kuboresha uelewa wa mambo kupitia mafunzo ya kujitegemea na uzoefu wa maisha.

Kujenga ufahamu wa kina na uhusiano wa kiroho na mazingira ni hatua muhimu katika safari ya kuelekea kuwa mtabiri au mwonaji.
Unabii na utabiri ni vitu tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom