NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Na pia unabii haulazimiswi!Unabii haujadiliwi,
Tusubiri.
Hakuna sehemu kwenye biblia inayoonyesha unabii ukilazimishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pia unabii haulazimiswi!Unabii haujadiliwi,
Tusubiri.
Huyo.mohamed naye haeleweki mala aitwe mtume mohaned mara nabii mohamed shida tupu na mleya mada hivyo huku nabii kule mtume.vurugu tupuNabii wa kwanza ni Aadam alayhi ssalaam
Nabii wa mwisho ni Nabii Muhammad S.A.W
Baada yake, hakuna nabii mwingine tena, full stop
Unabii , utume vyote vipo kwenye BIBLIA.Huyo.mohamed naye haeleweki mala aitwe mtume mohaned mara nabii mohamed shida tupu na mleya mada hivyo huku nabii kule mtume.vurugu tupu
KANISA la kwanza walikuwepo mitume na manabii,Wahuni na wajanja wachache walioamua kujiita manabii na mitume,
Sijui mnachukuliaje haya maneno ila hao watu anaeza asiwepo hata mmoja nchi hii
Sidhani kama utaweza kuniaminisha kuwa nchi hii kuna nabii wa kweli,labda nitajie mmojaKANISA la kwanza walikuwepo mitume na manabii,
Na katika karama Tano, unabii umo, Unatakiwa kutofautisha manabii wa Kweli na wa uongo, Si kupinga manabii.
Ubarikiwe.
Manabii wako wengi ndugu,Sidhani kama utaweza kuniaminisha kuwa nchi hii kuna nabii wa kweli,labda nitajie mmoja