Unachelewa kwenda Sudan halafu unatumia ndege ya abiria, ikibadili ratiba je?

Unachelewa kwenda Sudan halafu unatumia ndege ya abiria, ikibadili ratiba je?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Aisee hii ni hatari ya ajabu sana. Duh, mechi Jumapili wewe unaondoka Alfajiri saa kumi Jumamosi kwa ndege ya Ethiopian Airlines na kufika Sudani saa saba mchana. Heeeee!

Ikitokea la kutokea ratiba za ndege zikaingiliana mkachelewa kufika huko Sudan, mtamlaumu nani ndugu zetu? Mimi nilidhani mtakodi ndege, au tajiri mmwaga mahela kakataa? Si huwa hana ubahili wa pesa zake kama Mudi?


ethiopian.JPG
 
Halafu hili neno hujuma mbona wanalikomalia sana tena wanalitumia official kabisa kwenye page ya rais. Mfano tu wakiitwa caf kuthibitisha wataweza? Wanatafuta sababu wakikalia miko 10 huko sudani ukijumlisha na huo walionao nyuma unakuwa wa 11.
 
Halafu hili neno hujuma mbona wanalikomalia sana tena wanalitumia official kabisa kwenye page ya rais. Mfano tu wakiitwa caf kuthibitisha wataweza? Wanatafuta sababu wakikalia miko 10 huko sudani ukijumlisha na huo walionao nyuma unakuwa wa 11.
Huyo Rais wao kichwani hamnazo
 
Hii kauli ya yanga ya nyuma mwiko daima mbele inaonyesha jonsi gani hawataki mambo ya dhambi wao upande wanaoruhusu n mmoja tu
 
Aisee hii ni hatari ya ajabu sana. Duh, mechi Jumapili wewe unaondoka Alfajiri saa kumi Jumamosi kwa ndege ya Ethiopian Airlines na kufika Sudani saa saba mchana. Heeeee!

Ikitokea la kutokea ratiba za ndege zikaingiliana mkachelewa kufika huko Sudan, mtamlaumu nani ndugu zetu? Mimi nilidhani mtakodi ndege, au tajiri mmwaga mahela kakataa? Si huwa hana ubahili wa pesa zake kama Mudi?


View attachment 2384684
Timu inapata muda wa kupumzika na kufanya mazoezi uwanjani saa ngapi?

Nahisi kuna shida Yanga, wasisingizie hujuma.

Malipo ni hapahapa duniani.
Kipindi mnawahujumu Simba kwa timu ngeni mlidhani hamtaenda kimataifa. Sasa sio Simba anawahujumu mnakimbia hujuma za wahusika. Vipi sasa wangeshirikiana na Simba si mngeanza kulilia rufaa CAS.

Halafu Morrisson mliyemlilia hadi CAS Simba amewapatia. Mshindwe wenyewe tu.
 
Halafu hili neno hujuma mbona wanalikomalia sana tena wanalitumia official kabisa kwenye page ya rais. Mfano tu wakiitwa caf kuthibitisha wataweza? Wanatafuta sababu wakikalia miko 10 huko sudani ukijumlisha na huo walionao nyuma unakuwa wa 11.
Hiyo ni defence wakipigwa
 
Aisee hii ni hatari ya ajabu sana. Duh, mechi Jumapili wewe unaondoka Alfajiri saa kumi Jumamosi kwa ndege ya Ethiopian Airlines na kufika Sudani saa saba mchana. Heeeee!

Ikitokea la kutokea ratiba za ndege zikaingiliana mkachelewa kufika huko Sudan, mtamlaumu nani ndugu zetu? Mimi nilidhani mtakodi ndege, au tajiri mmwaga mahela kakataa? Si huwa hana ubahili wa pesa zake kama Mudi?


View attachment 2384684
Punguza kiherehere kwenye mambo ya watu
 
Back
Top Bottom