Nyie huwa mnazengua. Habari za upotoshaji zimejaa humu mpaka karaha kabisa, na huwa zikiripotiwa huwa na hamfanyi chochote.
Mfano, kumeandikwa hapa na Daktari wenu kuwa Mtu Mweusi sio Binadamu kamili.
Kuna ukweli gani au msingi gani wa kisayansi unaosema Mtu mweusi sio binadamu kamili kama sio upotoshaji wa makusudi?
Sio hivyo tu, madhara yake kisakilojia kwa vijana ni hasi.
Vijana wanaanza kukosa self esteem, ndio mnaona wanaanza kujichubua n.k
Niseme tu, huwa mnajikoga tu humu...