I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Kama utambulisho unavyoeleza, hii tabia imeonekana kuzoeleka na hata kuonekana ni jambo la kawaida kwa jamii nyingi za kiafrika na huwezi kuona vitu kama hivyo katika nchi za wenzetu kwani kwa kufanya hivyo wao wanaona ni kutokustaharabika.
Je, kwako binafsi inauchukuliaje tabia hii?
Je, ulishawahi kubeba chakula au kinywaji toka kwenye sherehe nini sababu?
Tushee maoni yetu wadau.
Je, kwako binafsi inauchukuliaje tabia hii?
Je, ulishawahi kubeba chakula au kinywaji toka kwenye sherehe nini sababu?
Tushee maoni yetu wadau.