unadeal vipi na rafiki wa kiume wa mke wako, wale wanaopenda kuwa karibu na mke utadhani chawa mpaka kupiga umbeya

unadeal vipi na rafiki wa kiume wa mke wako, wale wanaopenda kuwa karibu na mke utadhani chawa mpaka kupiga umbeya

Mabesti katika ubora wao
1000011353.jpg
 
Nimewahi kuongea siku moja humu JF kuwa wanaume ngangari wataisha siku za mbeleni watabaki wanaume wavulana..
 
dah!!..wakuu naona mmeamua kututukana umu wenye ma best wakike..ushkaji upo bana wat tumekua kama ndugu kabisa.wanawake watu wazuri sana ukiacha nyege nyuma,sio kila demu lazma umtafune wakuu.
 
Usiruhusu upuuzi wa aina hiyo kwenye ndoa yako kijana hapo lazima litokee jambo baya tu,hakuna urafiki au best wa mwanaume na mwanamke......hata wewe jipime ukiwa na ukaribu sana na mwanamke lazima ushetwani uingie hata kama hauna nia roho ya mabaya itaanza kukuhamasisha ufanye jambo.
 
dah!!..wakuu naona mmeamua kututukana umu wenye ma best wakike..ushkaji upo bana wat tumekua kama ndugu kabisa.wanawake watu wazuri sana ukiacha nyege nyuma,sio kila demu lazma umtafune wakuu.
Akishakuwa mke wa mtu sio salama kwako na kwake kuwa na ukaribu naye.
 
Ni zile type unaziona zipo na mke wako kama marafiki tangu unavyomjua na hata ukichunguza utaambiwa ni mabesti wa long time kitambo sana.

Na mara nyingi hali zao za kiuchumi zinakuwaga za kawaida maana hawana kazi maalum,
  • Mke akiumwa ratiba zote za kusalimia wagonjwa asubuhi, mchana na usiku utawakuta
  • Wapo tayari kwenda sokoni kumsaidia mke asisumbuke
  • Stori za kimbea hata kusengenya ni kawaida, Mtoto wa msanii flani hawajafanana, Kumchamba flani, n.k. hadi unajiuliza is this a man ?
  • Siku haipiti hawajaongea
Hakunaga urafiki kati ya mwanaume na mwanamke ispokuwa baba na kaka(tena wa damu moja) .

Ukiona huo urafiki ujue mtu kawekwa pending inasubiriwa muda maalum.
 
Ni zile type unaziona zipo na mke wako kama marafiki tangu unavyomjua na hata ukichunguza utaambiwa ni mabesti wa long time kitambo sana.

Na mara nyingi hali zao za kiuchumi zinakuwaga za kawaida maana hawana kazi maalum,
  • Mke akiumwa ratiba zote za kusalimia wagonjwa asubuhi, mchana na usiku utawakuta
  • Wapo tayari kwenda sokoni kumsaidia mke asisumbuke
  • Stori za kimbea hata kusengenya ni kawaida, Mtoto wa msanii flani hawajafanana, Kumchamba flani, n.k. hadi unajiuliza is this a man ?
  • Siku haipiti hawajaongea
Kwa uzoefu wangu, hapo kugongewa nje nje tu, Hakuna ursfiki Kati ya jinsia yq kike na kiume, sie madume tukiangalia hawa wadsda, tunachowaza ni kumbanjua tu, asipotongozwa na kuchapwa nao, ni Mambo ni mawili, ama mkeo Hana mvuto, anasura ngumu kama ya dingi yake, Hana msambwanda, au, huyo jamaa ni joka LA kibisa,
Chukuria Uwe rafiki na mke wa Majizo Lulu, au mke wa Gabo zigamba m bongo muvi!
Hawa, mke wa Gapo, ni toto moja jeupeee, tako hinya hinya kama limechongwa,
 
Chief usiseme hivyo,,,siku mmegombanq ujue mwamba ndio anakuwa bega lake la kuegemea
Wengi wanakuwaga machoko, style kama ya Juma Lokole au Aggrey yule huwezi kuwa na shaka nae kuwa atampiga pumbu ila shida ni wanakuwaga makuwadi
 
Ni zile type unaziona zipo na mke wako kama marafiki tangu unavyomjua na hata ukichunguza utaambiwa ni mabesti wa long time kitambo sana.

Na mara nyingi hali zao za kiuchumi zinakuwaga za kawaida maana hawana kazi maalum,
  • Mke akiumwa ratiba zote za kusalimia wagonjwa asubuhi, mchana na usiku utawakuta
  • Wapo tayari kwenda sokoni kumsaidia mke asisumbuke
  • Stori za kimbea hata kusengenya ni kawaida, Mtoto wa msanii flani hawajafanana, Kumchamba flani, n.k. hadi unajiuliza is this a man ?
  • Siku haipiti hawajaongea
Hakuna rafiki hapo

Timua wao au wote
 
Yani unatombe.wa mkeo afu unakuja kuomba ushauri huku
 
Back
Top Bottom