Unadhani hawa Wanaume wangekosa hizi Silaha muhimu za Wanawake wangechukua Silaha zao zingine zipi wajikinge na CORONA?

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Baadhi ya Wanawake katika eneo la Trans Nzoia Kenya wamelalamikia tabia ya Wanaume kukata sidiria za Wake zao na kuzigeuza barakoa(mask) kwa madai ya kukosa pesa za kununua mask ili kujikinga na corona ” Wazee wanakata Bra (sidiria) zetu na kuzivaa, tena wengine hawajawai hata kutununulia, Wamama tunateseka "

" Nilikata hii Bra (sidiria) ya Mke wangu kwasababbu sikuwa na uwezo wa kununua mask, Mke wangu alilia sana, natumia hii mask ili nisije kamatwa "

Chanzo Habari: NTV Kenya.
 
It seems wanawake wa kenya ni wabinafsi kwa waume zao.

Kwa Afrika Mashariki yetu hii nadhani Wanawake wa nchini Kenya ndiyo Vinara ( Wanaongoza ) kwa Kuwapiga Waume zao.
 
Picha zao tafadhali maana mke wangu anazo nyingi ili na mm nipunguze gharama
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Afrika Mashariki yetu hii nadhani Wanawake wa nchini Kenya ndiyo Vinara ( Wanaongoza ) kwa Kuwapiga Waume zao.
Hahahahahah kwa mantiki hiyo unamaanisha wanaume wa kenya ni mabwege kwa sababu wanashindwa kutumia uanaume wao vizuri?
 
Cc: MK254
 

Safi sana, naona somo limeingia wananchi, hatuchukulii hiki kitu poa, tunaona video zenu kwenye mitandao na kuingiwa na hofu.
Jukwaa lenu la siasa limejaa nyuzi za tanzia...
 
Safi sana, naona somo limeingia wananchi, hatuchukulii hiki kitu poa, tunaona video zenu kwenye mitandao na kuingiwa na hofu.
Jukwaa lenu la siasa limejaa nyuzi za tanzia...
Nasikia kwenu mnakufa kwa njaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…