It seems wanawake wa kenya ni wabinafsi kwa waume zao.Hawataki wanaume zao waijikinge
Baadhi ya Wanawake katika eneo la Trans Nzoia Kenya wamelalamikia tabia ya Wanaume kukata sidiria za Wake zao na kuzigeuza barakoa(mask) kwa madai ya kukosa pesa za kununua mask ili kujikinga na corona ” Wazee wanakata Bra (sidiria) zetu na kuzivaa, tena wengine hawajawai hata kutununulia, Wamama tunateseka "
•
" Nilikata hii Bra (sidiria) ya Mke wangu kwasababbu sikuwa na uwezo wa kununua mask, Mke wangu alilia sana, natumia hii mask ili nisije kamatwa "
Chanzo Habari: NTV Kenya.
Hahahahahah kwa mantiki hiyo unamaanisha wanaume wa kenya ni mabwege kwa sababu wanashindwa kutumia uanaume wao vizuri?Kwa Afrika Mashariki yetu hii nadhani Wanawake wa nchini Kenya ndiyo Vinara ( Wanaongoza ) kwa Kuwapiga Waume zao.
Cc: MK254Baadhi ya Wanawake katika eneo la Trans Nzoia Kenya wamelalamikia tabia ya Wanaume kukata sidiria za Wake zao na kuzigeuza barakoa(mask) kwa madai ya kukosa pesa za kununua mask ili kujikinga na corona ” Wazee wanakata Bra (sidiria) zetu na kuzivaa, tena wengine hawajawai hata kutununulia, Wamama tunateseka "
•
" Nilikata hii Bra (sidiria) ya Mke wangu kwasababbu sikuwa na uwezo wa kununua mask, Mke wangu alilia sana, natumia hii mask ili nisije kamatwa "
Chanzo Habari: NTV Kenya.
Nasikia kwenu mnakufa kwa njaa!Safi sana, naona somo limeingia wananchi, hatuchukulii hiki kitu poa, tunaona video zenu kwenye mitandao na kuingiwa na hofu.
Jukwaa lenu la siasa limejaa nyuzi za tanzia...