Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au angewekwa kizuizini kama alivyofanywa Marehemu Aboud Jumbe.1. Mimi nadhani, my intuition kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
One of the most likely option.... (SIJUI KAMA SHERIA YA KIZUIZINI BADI IPO)....PREVENTIVE DETENTIONAu angewekwa kizuizini kama alivyofanywa Marehemu Aboud Jumbe.
very simple,1. Mimi nadhani, my intuition kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Angepigwa chini na Wabunge wa CCM Kwa Kura ya kutokua na Imani na Spika.1. Mimi nadhani, my intuition kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Does the law say so?Angepigwa chini na Wabunge wa CCM Kwa Kura ya kutokua na Imani na Spika.
exactly, sasa ni kuwa hana pa kusemaa, lkn ameshaona hitaji la katiba mpya. Kwa katiba inayopendekezwa, hakuna ambaye angelimgusaKwa Katiba ya sasa angepata tabu sana. Naamini baada ya kuwa nje sasa ameona hitaji la Katiba mpya.
Kwani alikubali kukaa bench?1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Ndugai alikuwa Spika wa bunge lipi?1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
hebu fafanua hp mdauOne of the most likely option.... (SIJUI KAMA SHERIA YA KIZUIZINI BADI IPO)....PREVENTIVE DETENTION
Rostam azizi angemmaliza1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Daktari wake wa sukari angepokea maagizo toka juu kupuliza kipenga cha msisho1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?