Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasema NDIO1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Yeap alifanya uamuzi mzuri wa ku step down.Jamaa Ali stuka mapemaa.
Si ulisikia alisema Mzee malechela alimshauri ajiuzulu!hivi unajua member wa deep state anapokuambia ujiuzulu halafu ukakaidi maana take nini!!?1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Naam!Si ulisikia alisema Mzee malechela alimshauri ajiuzulu!hivi unajua member wa deep state anapokuambia ujiuzulu halafu ukakaidi maana take nini!!?
Unakumbuka sokoine alishauriwa apande ndege kurudi Dar akagoma Nini kilimtokea!!?
Asingejiuzulu tungekula wali kwenye maturibai coz alitishia kiti!!
angelitoka akasema sijajiuzulu, hiyo barua si ya kwangu. Silence means consentKwani alikubali kukaa bench?
Siyo kwamba waliandika barua kwa niaba yake na wakatangaza kuwa wamepokea barua yake?
Ilikuwa ni rahisi mno mno kumdhibiti. UFISADI. Wangemfuatilia kwenye angle ya ufisadi wangempata mapema sana. Siyo kumfuatilia tu ila pengine walikuwa na data zake kabisa.... Nasema hivi kwa sababu kuna kipindi alikuwa antuhumiwa kwa utumiaji mbaya ya fedha na ufisadi. Na hili ni kwa CCM wengi.1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Jambo kuu la kuelewa ambalo wengi awaelewi si kila ukweli unatakiwa kusemwa , mengine save for the best,1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Aseme hayo akiwa wapi na walinzi wake wakiwa wapi? Ama unadhani huyo alikuwa kocha wa Singida Big Stars?angelitoka akasema sijajiuzulu, hiyo barua si ya kwangu. Silence means consent
Hatari sn1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?
Good reasoning! Lakini wote CCM wako hivyo....but waalindana , huyu akionsha si mmoja wao wanampatilizaIlikuwa ni rahisi mno mno kumdhibiti. UFISADI. Wangemfuatilia kwenye angle ya ufisadi wangempata mapema sana. Siyo kumfuatilia tu ila pengine walikuwa na data zake kabisa.... Nasema hivi kwa sababu kuna kipindi alikuwa antuhumiwa kwa utumiaji mbaya ya fedha na ufisadi. Na hili ni kwa CCM wengi.
kuna mahali niliwahi kusoma kitabu fulani .Sikumbuki ni gani kina sentensi inayosema 'other stories must left untold forever'.Jambo kuu la kuelewa ambalo wengi awaelewi si kila ukweli unatakiwa kusemwa , mengine save for the best,
Alafu piga kimya kula mpunga wako hadi mda wako uishe si vyema kushindana na mamlaka hadharani wakati last time I check u still in payroll
Wngepigwa risasi mchana kweupe tena uwanja wa mkapa kila mtu ajione jinsi alivyokuwa katili zaidi ya hitler1. Mimi nadhani, my intuition inaniambia kuwa kufuatana na hali ya sasa ya usalama wa wananchi na yanayoendela ya utekaji, and the like, ANGELITEKWA NA KUPOTEZWA
Wewe unasemaje?