unaletewa barua mbili mezani, moja ya kujiuzulu ambayo imeshaandikwa inasubiri signature yako tu, nyingine ya tangazo la msiba inasubiri signature ya katibu wa bunge, hapo uamuzi ni wako.
Hawa ndugu zetu wanaoendeshwa/endesha ma V8 wengi ni wa kuonewa huruma wala sio kutamani maisha yao.