Unadhani kwanini Maandamano ya Mbeya dhidi ya DP WORLD yanaungwa mkono na watu wote

Unadhani kwanini Maandamano ya Mbeya dhidi ya DP WORLD yanaungwa mkono na watu wote

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika .

Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na Watu wote wa Mkoa huo pamoja na wa nje ya mkoa , yaani kwa Mbeya kesho ni kama Sikukuu .

Unadhani ni kwanini hali hii katika nchi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi wananchi wake wameonekana kama Mabwege , kiasi cha kudharauliwa na viongozi ?
 
Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika .

Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na Watu wote wa Mkoa huo pamoja na wa nje ya mkoa , yaani kwa Mbeya kesho ni kama Sikukuu .

Unadhani ni kwanini hali hii katika nchi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi wananchi wake wameonekana kama Mabwege , kiasi cha kudharauliwa na viongozi ?
Ninao uhakika ufipa mbeya wamepigwa mkwara na mswati!
 
Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika .

Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na Watu wote wa Mkoa huo pamoja na wa nje ya mkoa , yaani kwa Mbeya kesho ni kama Sikukuu .

Unadhani ni kwanini hali hii katika nchi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi wananchi wake wameonekana kama Mabwege , kiasi cha kudharauliwa na viongozi ?
Una uhakika watu wote wanaunga mkono hayo maandamano? Dk. Tulia, Mbunge wa Mbeya Mjini anayaunga mkono? Atahudhuria?
 
Mbeya safiiiiii
Watu wa Mbeya sio wa mchezomchezo

Natamani ningekuwa Mbeya nikaungana nao kutetea bandari zetu
 
Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika .

Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na Watu wote wa Mkoa huo pamoja na wa nje ya mkoa , yaani kwa Mbeya kesho ni kama Sikukuu .

Unadhani ni kwanini hali hii katika nchi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi wananchi wake wameonekana kama Mabwege , kiasi cha kudharauliwa na viongozi ?
Subiri yakifanyika ndio mtajua yana sapoti au la
 
Itakuwa ni heshima kubwa kwa mkoa kuonyesha mfano kwa maeneo mengine yote nchini.
 
Hii ni Nchi yetu sote yanini kuvunjana miguu?

bd6524ecfb5ce3c06118412780a42899.gif
 
Back
Top Bottom