Unadhani kwanini Maandamano ya Mbeya dhidi ya DP WORLD yanaungwa mkono na watu wote

Unadhani kwanini Maandamano ya Mbeya dhidi ya DP WORLD yanaungwa mkono na watu wote

Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika .

Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na Watu wote wa Mkoa huo pamoja na wa nje ya mkoa , yaani kwa Mbeya kesho ni kama Sikukuu .

Unadhani ni kwanini hali hii katika nchi ya Tanzania ambayo kwa miaka mingi wananchi wake wameonekana kama Mabwege , kiasi cha kudharauliwa na viongozi ?
Huko kwenu Hai mtaunga mkono kwa kuandamana au mtaandamana kwenye keyboard?
 
Katika pitapita zangu humu JF. Sijakutana na Uzi hata mmoja unaodai "

"Unadhani kwanini Maandamano ya CHADEMA dhidi ya Miswada Bungeni yanaungwa mkono na watu wote'​


unadhani ni kwanini?

Hatahivyo, tunaweza kusema CHADEMA walikuwa wanafiki dhidi ya Sauti ya Watanzania.

Hakiba.
 
Back
Top Bottom