Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.

Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...

Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...

Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,

Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?

Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?

Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?

Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?🐒
 
Tupo kwenye Semina jaman acheni hizi mada tunashindwa kunyanyuka kuchangia vikao huku.
uskute ushamuwaza mchepuko A, akati una miadi na mchepuko D muonene baada ya semina...
halafu uko hot umechomekea halafu mguu wa tatu kama vile unafurikuta dah, kunyanyuka kweli ni mitihani hapo dah...

mchepuko b na c umeshawapanga uko safari, na kwenye semina umeshamuelewa mwingine dah,

na hutumiagi kondomu wala nini aise 🐒

Mungu anatuepusha na kutunusuri na Mengi sana aise katika hii dunia 🐒
 
Kondom zinaokoa na magonjwa naimani katika madem tunao pita nao wenye gono au HIV lazima tunakutana nao lakini cha kushangaza madem wanajiuza bila kusahau madem wa baa nao wanavitumbo hapo unagundua kumbe kuna watu wanatembeza fimbo kavu kwa hawa viumbe.
 
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.

Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...

Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...

Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,

Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?

Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?

Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?

Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?🐒
Wagonjwa wa ukimwi siku hizi hawaugui na kukondeana kama zamani. Hivyo watu hawaoni yale nateso waliykuwa wanayapitia ugnjwa huo ulipoingia. Wazamani hizo waliopo sio wenye mwamko wa kujamiiana kama vijana ambao hawkuona mateso ya waliougua. Watu walipuputika kondomu ikibidi unatumia mbili. Hii hali ya wagonjwa kuendelea kuishi kwa dawa huku wakijamiana inafanya woga usiwepo. Kijana anasema nina miaka 20 nikiugua napata dawa nikifika miaka 50 INATOSHA. HII DUNIA YA MAHANGAIKO HIVI. NDIO JIBU LA KUTOTUMIA KONDOMU.
 
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.

Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...

Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...

Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,

Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?

Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?

Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?

Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?🐒
Uko mkoa gani huko
Huku nilipo mimi hata bei ya kondomu tumesha sahau. Zamani ilikua hadi uende duka la dawa kununua. Siku hizi zinapatikana bure kabisa. Kuna NGO zinafanya kazi ya kusambaza hiyo bidhaa free
 
Uko mkoa gani huko
Huku nilipo mimi hata bei ya kondomu tumesha sahau. Zamani ilikua hadi uende duka la dawa kununua. Siku hizi zinapatikana bure kabisa. Kuna NGO zinafanya kazi ya kusambaza hiyo bidhaa free
je,
zinatumika?

inawezekana maambukizi ya magonjwa ya zinaa yanatisha sana eneo hilo au ustaarabu ni wa kiwango cha juu 🐒
 
Back
Top Bottom