Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

Wagonjwa wa ukimwi siku hizi hawaugui na kukondeana kama zamani. Hivyo watu hawaoni yale nateso waliykuwa wanayapitia ugnjwa huo ulipoingia. Wazamani hizo waliopo sio wenye mwamko wa kujamiiana kama vijana ambao hawkuona mateso ya waliougua. Watu walipuputika kondomu ikibidi unatumia mbili. Hii hali ya wagonjwa kuendelea kuishi kwa dawa huku wakijamiana inafanya woga usiwepo. Kijana anasema nina miaka 20 nikiugua napata dawa nikifika miaka 50 INATOSHA. HII DUNIA YA MAHANGAIKO HIVI. NDIO JIBU LA KUTOTUMIA KONDOMU.
aise ni hatari sana,
kuungua hata kama ni malaria pana tesa na saa zingine panakatisha tamaa sana...

vijana wanapaswa kujifunza kwa undani juu ya athari za magonjwa ya zinaa katika afya na ndoto za maisha yako, waepuke kudanganya...

kuugua magonjwa ya zinaa ni fedheha sana japo unaweza usiambukizwe kwa kujamiiana 🐒
 
Kondom zinaokoa na magonjwa naimani katika madem tunao pita nao wenye gono au HIV lazima tunakutana nao lakini cha kushangaza madem wanajiuza bila kusahau madem wa baa nao wanavitumbo hapo unagundua kumbe kuna watu wanatembeza fimbo kavu kwa hawa viumbe.
ni mihumu kutumia kondomu kuepuka fedheha ya magonjwa ya zinaa 🐒
 
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.

Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...

Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...

Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,

Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?

Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?

Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?

Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?🐒
miafrica haisikiii
 
US wakituwekea vikwazo, hayo matangazo yatarudi
Ngoma ya sasa unakufa na kilo zako 100
kwamba unakufa na Afya yako, right?

lakini Nuru kuanzia usoni hua inapotea kabisaa hata upige make-up vipi inagoma 🐒
 
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.

Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...

Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...

Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,

Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?

Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?

Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?

Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?🐒
Pengine wanao watu wanaelewa au laah wanaona magonjwa yamepungua lakini si hivo,magonjwa yapo na yanazidi kuongezeka Kila kukicha
 
Nguvu zenyewe za kuvala comdom zitoke wapi; hiyo kavu yenyewe tia maji tia maji.
Mtu mlo mmoja kwa siku tena wa mashaka mashaka; madeni kibao kutakuwa na game hapo kweli.
 
Nguvu zenyewe za kuvala comdom zitoke wapi; hiyo kavu yenyewe tia maji tia maji.
Mtu mlo mmoja kwa siku tena wa mashaka mashaka; madeni kibao kutakuwa na game hapo kweli.
Aise 😳

mbona unaibua kitu kipya cha maana na muhimu sana gentleman?

kwamba upungufu wa nguvu za kijinsia hasa wanaume kunakosababisha uume kua legelege ni miongni mwa mambo muhimu yanayosababisha kupungua kwa matumizi ya kondomu? right?🐒

kwasababu kondomu ni sharti ivaliwe uume ukiwa umesimama Vizuri 🐒
 
Back
Top Bottom