Unadhani Mwanga ndio kitu chenye spidi ya juu kushinda kila kitu? Vipi kuhusu hili jambo?

Unadhani Mwanga ndio kitu chenye spidi ya juu kushinda kila kitu? Vipi kuhusu hili jambo?

(Unahisi kipi kina spidi zaidi, Mwanga au Fikra


  • Total voters
    50
  • Poll closed .

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Imethibitishwa kuwa mwanga unasafiri kwa spidi ya km laki tatu kwa sekunde moja tu(300,000km/s), Yani kwa sekunde tu mwanga unaizunguka dunia mara Nane(08)

kuna nadharia nyingine(Hii sio yangu mimi,Lakini nimetokea kuisapoti kishingo upande)


NI HIVI:- Pengine Fikra ya mwanadamu ndio kitu chenye spidi kali kushindwa hata hup mwanga(sema imeshindikana kuthibitisha kisayansi)

Hebu chukulia mfano huu mwepesi:-

Mfano getoni kwenu mpo watatu(03) tu, na tuchukulie nyie mna mashati yakuvaa matatu tu(yaani kila mmoja wenu ana shati moja) la kuvaa {Kauka nikuvae 😁}
Sasa hapo geto kuna MTU A(shati jekundu) MTU B(Shati jeupe) MTU C(Shati la manjano)
MTU A mwenye shati jekundu akaenda kazini halafu mida mida mwenzake MTU B Mwenye shati jeupe akaja kumtembelea getto-mate mwezake:: yani ukimuona tu na shati jeupe MOJA KWA MOJA utajua getto-mate C amevaa shati la manjano

Hv mmeweza kupata picha hapo jinsi spidi ya fikra ilivyo??

Hoja mezani,(Unahisi kipi kina spidi zaidi, Mwanga(A) au Fikra(B) )
Na uzi tayar
 
Hii napingana nayo.

Ili upate speed ya kitu lazima utahitaji starting point na destination.
Kitu ambacho kwa mwanga kinawezekana ila kwa fikra ni ngumu kidogo.
Hivyo ili tuweze kumeasure thought speed itabidi tutumie speed ya fikra kuchakata taarifa mpaka pale utakapopata jibu.

Mwanga always uko na speed constant isiyobadilika.

Lakini fikra haziwezi kuwa na speed constant na sidhani kama kuna uwezekano wa kufikia light speed.

ili kujaribu kuprove hilo kwamba speed ya fikra sio constant.
Na sometimes inaweza kuwa slow zaidi ya bando la Airtel au gari lisilo na engine.

Mfano mdogo huu hapa

Unaweza ukaniambia

2,424,697,415,356 x 7,786,326,964,664= sawasawa ni ngapi?

Sidhani hata kama umesoma hizo namba, zisome kwanza.

Je fikra zako zitaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 Bila ya msaada wowote?

Bila shaka hakuna binadamu duniani anaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 kwa mara ya kwanza na ukapata jibu bila msaada wowote.

Lakini wakati huohuo ukisema 1+1= ngapi?
Bila shaka asilimia kubwa ya watu wote duniani wanaweza kujua jibu ya hiyo taarifa chini au ndani ya seconds.
Baada ya kuona tu hiyo taarifa tayari fikra zako zimeshachakata hiyo taarifa ndani ya some milliseconds.

Hivyo mpaka hapo tayari speed ya fikra sio constant.

Kuna mengi hapo katikati ila kitendo cha light kuwa na speed constant isiyobadilika under any circumstances tayari speed of light ni almost untouchable at everything.

So in my opinion speed of light wins.

Kingine ni kwamba
technically black hole haimezi mwanga.
Bali massive gravity ya blackhole inabend space.
Na mwanga unafuatisha na kuexist kwenye space hivyo black hole ikibend space then mwanga nao utabend in ili kufuata au kuendana na hiyo space curvature.

Anayeweza kuniprove wrong, kunikosoa au kunichallenge Aje.
 
Ni kweli fikra ya mwanadamu ina speed kuliko mwanga, unaweza kwenda nnje ya galaxy yetu kwa hio sekunde, labda tofauti ije kwamba mwanga ni KITU, cha kuonekana kwa macho, na fikra ni HALI, isiyoonekana kwa macho
Hapa kwenda nje ya galaxy unaongelea imagination.

Bado huwezi kupima speed ya fikra kwa imaginations.

Na technically hujasafiri kwenda nje ya galaxy bali imagination tu.

Ni sawasawa na mtu akuonyeshe picha ya Elon musk na useme umeweza kwenda USA texas na umeweza kumuona elon akiwa USA ndani ya muda mfupi hivyo wewe fikra zako zina speed kuliko zile bombardiers.
 
Hii napingana nayo.

Ili upate speed ya kitu lazima utahitaji starting point na destination.
Kitu ambacho kwa mwanga kinawezekana ila kwa fikra ni ngumu kidogo.
Hivyo ili tuweze kumeasure thought speed itabidi tutumie speed ya fikra kuchakata taarifa mpaka pale utakapopata jibu.

Mwanga always uko na speed constant isiyobadilika.

Lakini fikra haziwezi kuwa na speed constant na sidhani kama kuna uwezekano wa kufikia light speed.

ili kujaribu kuprove hilo kwamba speed ya fikra sio constant.
Na sometimes inaweza kuwa slow zaidi ya bando la Airtel au gari lisilo na engine.

Mfano mdogo huu hapa

Unaweza ukaniambia

2,424,697,415,356 x 7,786,326,964,664= sawasawa ni ngapi?

Sidhani hata kama umesoma hizo namba, zisome kwanza.

Je fikra zako zitaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 Bila ya msaada wowote?

Bila shaka hakuna binadamu duniani anaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 kwa mara ya kwanza na ukapata jibu bila msaada wowote.

Lakini wakati huohuo ukisema 1+1= ngapi?
Bila shaka asilimia kubwa ya watu wote duniani wanaweza kujua jibu ya hiyo taarifa chini au ndani ya seconds.
Baada ya kuona tu hiyo taarifa tayari fikra zako zimeshachakata hiyo taarifa ndani ya some milliseconds.

Hivyo mpaka hapo tayari speed ya fikra sio constant.

Kuna mengi hapo katikati ila kitendo cha light kuwa na speed constant isiyobadilika under any circumstances tayari speed of light ni almost untouchable at everything.

So in my opinion speed of light wins.

Anayeweza kuniprove wrong, kunikosoa au kunichallenge Aje.
GIZA JE HALINA SPEED.. KWA NINI WANAUJADILI MWANGA TUU WAKATI GIZA NA MWANGA VINAENDA PAMOJA???

nitashukuru nikielimishwa kitaalam.
 
Hapa kwenda nje ya galaxy unaongelea imagination.

Bado huwezi kupima speed ya fikra kwa imaginations.

Na technically hujasafiri kwenda nje ya galaxy bali imagination tu.

Ni sawasawa na mtu akuonyeshe picha ya Elon musk na useme umeweza kwenda USA texas na umeweza kumuona elon akiwa USA ndani ya muda mfupi hivyo wewe fikra zako zina speed kuliko zile bombardiers.
Kwahiyo tukisema imagination ina speed kuliko mwanga, tunaweza kuwa sawa?, ndio maana nilisema inawezekana tunashindanisha vitu viwili tofauti, kwa mujibu wa mtoa mada.
 
Hapa kwenda nje ya galaxy unaongelea imagination.

Bado huwezi kupima speed ya fikra kwa imaginations.

Na technically hujasafiri kwenda nje ya galaxy bali imagination tu.

Ni sawasawa na mtu akuonyeshe picha ya Elon musk na useme umeweza kwenda USA texas na umeweza kumuona elon akiwa USA ndani ya muda mfupi hivyo wewe fikra zako zina speed kuliko zile bombardiers.
Kwahiyo tukisema imagination ina speed kuliko mwanga, tunaweza kuwa sawa?, ndio maana nilisema inawezekana tunashindanisha vitu viwili tofauti, kwa mujibu wa mtoa mada.
 
...
Hv mmeweza kupata picha hapo jinsi spidi ya fikra ilivyo??

Hoja mezani,(Unahisi kipi kina spidi zaidi, Mwanga(A) au Fikra(B) )

Na uzi tayar
... nini maana ya spidi? Fikra inakuwaje na spidi? Huwezi kuzungumzia spidi bila kuzungumzia umbali; fikra inasafiri kutoka wapi kwenda wapi (source to destination)?
 
Regarding Your example naamini nervous system ndio kitu chenye speed zaidi. (Stimulus----->>>Response)

Mchakoto wake upo chini ya nano second, imagine sauti inavyopita kwenye vipengele vyote ndani ya sikio la nje hadi la ndani kisha kwenda kwenye ubongo kutafsiriwa nankutudisha majibu kua ulichosikia kinamaanisha kitu fulani. Its matter of nano second
If you look at these two things closely (light and nervous system) you find that they all either operate or in form of waves.

The nervous system works in form of waves and light travels as waves. In this sense how possible that nervous system win speed over light?
 
Mwangaza ni kitu ambacho kinaisha mwishoni mwa uwezo wa chanzo kilichoanzisha mwangaza na hauna speed wala hausafiri,kama mwangaza unasafiri ungekuwa unasafiri milele bila ya kuwa na kikomo.kwa mfano ukiwasha taa mwangaza wake hausafiri ukaenda milele unaisha mwishoni mwa uwezo wa ile bulb,kama bulb ni watt 40 uwezo na duara la mwangaza litakuwa dogo,tafauti na kama bulb litakuwa 100 watt duara na uwezo itakuwa mkubwa na hapa hio safari ya mwangaza itaonekana kama ni kubwa lakini sababu ni nguvu ya chanzo cha mwangaza tu na sio usafiri wa mwangaza.

Kwa mfano Kama mwangaza unasafiri basi hata bulb ya watt 20 mwangaza ungekuwa sawa kutoka kwenye bulb na sehemu zote zingefikiwa na mwangaza hata kama chumba kina ukubwa wa mita 50x50 mwangaza ungefika kila pahala na nguvu ile ile kama ilivyo mita mbili kutoka kwenye bulb.

Fikra vile vile hazisafiri fikra ni kitu kimefungwa ndani ya uwezo wa akili na uwezo wa akili ni information iliyo ndani ya akili tu,fikra haziwezi kufikiria vitu ambavyo havijawekwa ndani ya akili,kama fikra zinasafiri na zina speed yeyote zingekuwa zinakuja na mambo makubwa sana kwa muda mchache tu,yaani haya maendeleo yote ya dunia yangewezekana kwa pengine miaka mitano tu na sio miaka zaidi ya 5000 kama inavyosema historia,kama tukianza kupima speed ya fikrakiuhalisia basi fikra ni katika vitu vilivyo slow sana yaani slow kupita maelezo, ndio innovation yote duniani inachukua milele kukamilika,kila siku kunakuja mambo mapya ya kuongeza kwenye kila uvumbuzi duniani,kama fikra zina speed kila kitu kingekuwa kishatokea masaa machache baada ya uvumbuzi.
Chukulia mfano wa uvumbuzi wa simu,ilivumbuliwa zaidi ya miaka mia aliyopita na mpaka sasa bado tunafikiria kuongeza mabadiliko kwenye tasnia ya simu,kama fikra zina speed yote angekwisha julikana masaa tu baada ya uvumbuzi.
 
Mwangaza ni kitu ambacho kinaisha mwishoni mwa uwezo wa chanzo kilichoanzisha mwangaza na hauna speed wala hausafiri,kama mwangaza unasafiri ungekuwa unasafiri milele bila ya kuwa na kikomo.kwa mfano ukiwasha taa mwangaza wake hausafiri ukaenda milele unaisha mwishoni mwa uwezo wa ile bulb,kama bulb ni watt 40 uwezo na duara la mwangaza litakuwa dogo,tafauti na kama bulb litakuwa 100 watt duara na uwezo itakuwa mkubwa na hapa hio safari ya mwangaza itaonekana kama ni kubwa lakini sababu ni nguvu ya chanzo cha mwangaza tu na sio usafiri wa mwangaza.

Kwa mfano Kama mwangaza unasafiri basi hata bulb ya watt 20 mwangaza ungekuwa sawa kutoka kwenye bulb na sehemu zote zingefikiwa na mwangaza hata kama chumba kina ukubwa wa mita 50x50 mwangaza ungefika kila pahala na nguvu ile ile kama ilivyo mita mbili kutoka kwenye bulb.

Fikra vile vile hazisafiri fikra ni kitu kimefungwa ndani ya uwezo wa akili na uwezo wa akili ni information iliyo ndani ya akili tu,fikra haziwezi kufikiria vitu ambavyo havijawekwa ndani ya akili,kama fikra zinasafiri na zina speed yeyote zingekuwa zinakuja na mambo makubwa sana kwa muda mchache tu,yaani haya maendeleo yote ya dunia yangewezekana kwa pengine miaka mitano tu na sio miaka zaidi ya 5000 kama inavyosema historia,kama tukianza kupima speed ya fikrakiuhalisia basi fikra ni katika vitu vilivyo slow sana yaani slow kupita maelezo, ndio innovation yote duniani inachukua milele kukamilika,kila siku kunakuja mambo mapya ya kuongeza kwenye kila uvumbuzi duniani,kama fikra zina speed kila kitu kingekuwa kishatokea masaa machache baada ya uvumbuzi.
Chukulia mfano wa uvumbuzi wa simu,ilivumbuliwa zaidi ya miaka mia aliyopita na mpaka sasa bado tunafikiria kuongeza mabadiliko kwenye tasnia ya simu,kama fikra zina speed yote angekwisha julikana masaa tu baada ya uvumbuzi.
Fikira zinafanya kazi katika hali ya mawimbi. Hapa namaanisha mfumo wa fahamu. Taarifa husafiri katika mfumo wa mawimbi Pia mwanga unasafiri katika hali ya mawimbi.

Hapa kuna kitu kimoja ambacho ama ndicho tunakisema au tunachanganya katika haya mambo mawili ya mwanga na fikira.

Kitu hicho ni miale.
 
Mkuu sio kuwa mwanga unasafikiri kushinda kila kitu, ila hakuna kitu chenye mass ambacho kinaweza kufikia hiyo speed.
Sababu it will take unlimited energy kukifisha hiyo speed which is not practical.
 
Hii napingana nayo.

Ili upate speed ya kitu lazima utahitaji starting point na destination.
Kitu ambacho kwa mwanga kinawezekana ila kwa fikra ni ngumu kidogo.
Hivyo ili tuweze kumeasure thought speed itabidi tutumie speed ya fikra kuchakata taarifa mpaka pale utakapopata jibu.

Mwanga always uko na speed constant isiyobadilika.

Lakini fikra haziwezi kuwa na speed constant na sidhani kama kuna uwezekano wa kufikia light speed.

ili kujaribu kuprove hilo kwamba speed ya fikra sio constant.
Na sometimes inaweza kuwa slow zaidi ya bando la Airtel au gari lisilo na engine.

Mfano mdogo huu hapa

Unaweza ukaniambia

2,424,697,415,356 x 7,786,326,964,664= sawasawa ni ngapi?

Sidhani hata kama umesoma hizo namba, zisome kwanza.

Je fikra zako zitaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 Bila ya msaada wowote?

Bila shaka hakuna binadamu duniani anaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 kwa mara ya kwanza na ukapata jibu bila msaada wowote.

Lakini wakati huohuo ukisema 1+1= ngapi?
Bila shaka asilimia kubwa ya watu wote duniani wanaweza kujua jibu ya hiyo taarifa chini au ndani ya seconds.
Baada ya kuona tu hiyo taarifa tayari fikra zako zimeshachakata hiyo taarifa ndani ya some milliseconds.

Hivyo mpaka hapo tayari speed ya fikra sio constant.

Kuna mengi hapo katikati ila kitendo cha light kuwa na speed constant isiyobadilika under any circumstances tayari speed of light ni almost untouchable at everything.

So in my opinion speed of light wins.

Kingine ni kwamba
technically black hole haimezi mwanga.
Bali massive gravity ya blackhole inabend space.
Na mwanga unafuatisha na kuexist kwenye space hivyo black hole ikibend space then mwanga nao utabend in ili kufuata au kuendana na hiyo space curvature.

Anayeweza kuniprove wrong, kunikosoa au kunichallenge Aje.
You nail it.. IQ yako ni kubwa mzee.. Big up
 
One of my dearest mentors, alipata kuniambia kuhusu Carl Sagan+Space+Some Galaxy+Some West-African tribe, something that I am still digesting today, trying to comprehend all of its dimensions. But I digress...

Electromagnetic waves zote zinasafiri sawa na mwanga. Hakuna kitu chenye tungamo chenye kuweza kufikia mwendokasi wa mwanga -- kwa mujibu wa nadharia ya Relativity ya bwana Albert Einstein. (hii naitilia shaka).

Kwenye somo la fizikia ya kidato cha kwanza, tuliambiwa kwamba laws of physics tunazozisoma zinaweza zisiaplai kwenye skeli ya sub-atomic na kwenye gargantuan scales za kwenye space huko.
 
Back
Top Bottom