Unadhani Mwanga ndio kitu chenye spidi ya juu kushinda kila kitu? Vipi kuhusu hili jambo?

Unadhani Mwanga ndio kitu chenye spidi ya juu kushinda kila kitu? Vipi kuhusu hili jambo?

(Unahisi kipi kina spidi zaidi, Mwanga au Fikra


  • Total voters
    50
  • Poll closed .
Kitu ambacho mkuu umekisahau ni 'law of concervation of energy' inayosema energy can not be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another.

Mwanga unasafiri kutoka point moja kwenda nyingine na speed yake inafahamika ni 3×10^8 m/s. Sababu ya balbu ya watt 100 kutokuweza kumulika chumba kikubwa sana ni kwamba jinsi mwanga unavyotoka point moja kwenda nyingine ile light energy inakua transformed kutoka form moja kwenda nyingine ambayo ni heat..
Ndio maana ukiwasha taa joto linaongezeka..



Kuhusu maada kuu.. ni kwamba light ndio ina speed kubwa kuliko fikra.. ukitaka kujua kwanni?

Jiulize fikra ni nini??
Mtu ukiona kitu flani inamaana kile kitu kimeenda kwnye retina ya jicho kikabadilisha kuwa electrical impulse ambazo zinasafirishwa kwenda kwenye brain na nerves.. zikifika kwenye brain zinatafsiriwa na kutunzwa.. sasa vile vitu vilivyotunzwa ndio fikra zako.. uwezo wa kuacess hizo fikra zako ni direct promotional na kasi ya hizo fikra.. ambazo zote zinategemea speed ya impulse ambayo NI NDOGO KULINGANISHA NA MWANGA. Hivyo mwanga una speed kubwa
 
Mwangaza ni kitu ambacho kinaisha mwishoni mwa uwezo wa chanzo kilichoanzisha mwangaza na hauna speed wala hausafiri,kama mwangaza unasafiri ungekuwa unasafiri milele bila ya kuwa na kikomo.kwa mfano ukiwasha taa mwangaza wake hausafiri ukaenda milele unaisha mwishoni mwa uwezo wa ile bulb,kama bulb ni watt 40 uwezo na duara la mwangaza litakuwa dogo,tafauti na kama bulb litakuwa 100 watt duara na uwezo itakuwa mkubwa na hapa hio safari ya mwangaza itaonekana kama ni kubwa lakini sababu ni nguvu ya chanzo cha mwangaza tu na sio usafiri wa mwangaza.

Kwa mfano Kama mwangaza unasafiri basi hata bulb ya watt 20 mwangaza ungekuwa sawa kutoka kwenye bulb na sehemu zote zingefikiwa na mwangaza hata kama chumba kina ukubwa wa mita 50x50 mwangaza ungefika kila pahala na nguvu ile ile kama ilivyo mita mbili kutoka kwenye bulb.

Fikra vile vile hazisafiri fikra ni kitu kimefungwa ndani ya uwezo wa akili na uwezo wa akili ni information iliyo ndani ya akili tu,fikra haziwezi kufikiria vitu ambavyo havijawekwa ndani ya akili,kama fikra zinasafiri na zina speed yeyote zingekuwa zinakuja na mambo makubwa sana kwa muda mchache tu,yaani haya maendeleo yote ya dunia yangewezekana kwa pengine miaka mitano tu na sio miaka zaidi ya 5000 kama inavyosema historia,kama tukianza kupima speed ya fikrakiuhalisia basi fikra ni katika vitu vilivyo slow sana yaani slow kupita maelezo, ndio innovation yote duniani inachukua milele kukamilika,kila siku kunakuja mambo mapya ya kuongeza kwenye kila uvumbuzi duniani,kama fikra zina speed kila kitu kingekuwa kishatokea masaa machache baada ya uvumbuzi.
Chukulia mfano wa uvumbuzi wa simu,ilivumbuliwa zaidi ya miaka mia aliyopita na mpaka sasa bado tunafikiria kuongeza mabadiliko kwenye tasnia ya simu,kama fikra zina speed yote angekwisha julikana masaa tu baada ya uvumbuzi.
... shule za wapi hizi? Wenzio wanazungumzia speed of light wewe unaleta stori za light intensity pengine bila kujua. Kwani ni lazima kitu kisafiri milele ndipo uweze kupima spidi yake? Macho yanaweza kuona kitu kwa sababu mwanga unaakisi maumbo au rangi za vitu kwenye retina za macho ndio maana bila mwanga hatuwezi kuona.

Mfano, gizani/usiku umewasha taa ni nini kinatokea ili uweze kutambua vitu vinavyokuzunguka? Mwanga umeanzia kwenye taa (source) hadi kwenye kitu (mf. meza ndani kwako), then umbo la meza likawa reflected kwenye retina ikashirikiana na ubongo kutafsiri ndipo ukaweza kujua ile ni meza, kitanda, kikombe, au chochote kile kinachokuzunguka. Hapo mwanga haujasafiri? Au ni wewe ndiye umesafiri? Kutokana kasi ya ajabu ya mwanga ndio maana unaona instantly bila kujua mwanga umesafiri given the short distance kati yako, taa/source, na vitu/destination.

Iko hivi, spidi ni umbali gawanya kwa muda ambao kitu kimesafiri umbali huo. "Umbali" haitajiki makumi au maelfu ya kilometa ili uwe umbali; nope! Umbali unaweza kuwa just a few millimeters, centimeters, or meters, to any distance. La muhimu, for whater unit of measure you choose, equivalent time should be taken bado spidi itakuwa ile ile (constant).
 
Kitu ambacho mkuu umekisahau ni 'law of concervation of energy' inayosema energy can not be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another.
...
... hiyo law nimekuwa nikii-mind sana! Kwamba, the amount of energy in the universe is constant; just the form changes! Now, sound is a form of energy; if so, sauti zote zilizowahi kutokea duniani hazijapotea, pengine zimebadilika form tu. I believe, one day, wenye brains zao kuna siku wataweza ku-reverse sauti (zilizo katika form nyingine ya energy) back to their original sounds/forms.

In that regard, kuna siku (watu/kizazi kingine) watasikia mahubiri ya Bwana Yesu Kristo (live) na manabii maana sauti zao ziko tu somewhere in another form ni suala la kuzirudisha kwenye original form tu! Hata uhalifu utaisha maana yaliyojadiliwa sirini yatawekwa wazi kwa re-wind mazungumzo! Very important law indeed!
 
Hapana.. Kitu chenye speed zaidi ni Gravity mkuu.
Gravity ina speed kuliko mwanga..ndio maana mwanga hua haukatizi kwenye black holes/wormhole. Mwanga ukifika kwenye black holes hua unamezwa maana pale kuna gravity kubwa

Time is just a speed, So ukiwa na speed kubwa unaweza kuBend muda. So scientist wengi wanajaribu kutengeneza wormhole zenye garvity kubwa kama zilizopo kwenye spaces.

Regarding Your example naamini nervous system ndio kitu chenye speed zaidi. (Stimulus----->>>Response)

Mchakato wake upo chini ya nano second, imagine sauti inavyopita kwenye vipengele vyote ndani ya sikio la nje hadi la ndani kisha kwenda kwenye ubongo kutafsiriwa na kurudisha majibu kua ulichosikia kinamaanisha kitu fulani. Its matter of nano second
ukiwa na speed kiwa unaweza kubend mudaa!! ukiwa unaelekea wapii mkuu??? Itaishia kuwa nadharia tu
 
Kivipi giza lisiwe kitu wakati tunaona ni giza? Sio kitu (nothing) does not exist

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
... ha ha ha! Anadhani kitu lazima kiwe tangible; uweze kukishikashika, kiwe na dimensions etc. ndio kiwe kitu; kumbe hata idea ni kitu. Ila mfumo wetu wa elimu umetulemaza sana; hata kwenye English (maana ni compulsory subject tofauti na Physics, etc.) angekuwa amefundishwa na kuelewa abstract nouns asingeandika hivyo!
 
Vip speed ya macho ya Binadam kuona kitu
interpretation speed. Nnilisoma kitabu kimoja kinausu mam o ya paranormals. Ni kwamba paranomal activities tunaziona zema ubongo wetu tunashinda kutafsii miale ya mwanza ilio ipata. Kwa mm speed ya mwanza na na mfumo wa fahamu ya mwadamu ni sawa
Giz ni just absence of light. Giza does not exist.
 
Giz ni just absence of light. Giza does not exist.
How sure are u? according to bible even God Creator alilikuta gizaa. Big bag there was nothing but darker. Je ubongo wetu unatafsiri iyo situation kama absence of light au kama colour yan black?
 
Kitu ambacho mkuu umekisahau ni 'law of concervation of energy' inayosema energy can not be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another.

Mwanga unasafiri kutoka point moja kwenda nyingine na speed yake inafahamika ni 3×10^8 m/s. Sababu ya balbu ya watt 100 kutokuweza kumulika chumba kikubwa sana ni kwamba jinsi mwanga unavyotoka point moja kwenda nyingine ile light energy inakua transformed kutoka form moja kwenda nyingine ambayo ni heat..
Ndio maana ukiwasha taa joto linaongezeka..



Kuhusu maada kuu.. ni kwamba light ndio ina speed kubwa kuliko fikra.. ukitaka kujua kwanni?

Jiulize fikra ni nini??
Mtu ukiona kitu flani inamaana kile kitu kimeenda kwnye retina ya jicho kikabadilisha kuwa electrical impulse ambazo zinasafirishwa kwenda kwenye brain na nerves.. zikifika kwenye brain zinatafsiriwa na kutunzwa.. sasa vile vitu vilivyotunzwa ndio fikra zako.. uwezo wa kuacess hizo fikra zako ni direct promotional na kasi ya hizo fikra.. ambazo zote zinategemea speed ya impulse ambayo NI NDOGO KULINGANISHA NA MWANGA. Hivyo mwanga una speed kubwa
Binafsi na dhan ni vyote sawa
 
... hiyo law nimekuwa nikii-mind sana! Kwamba, the amount of energy in the universe is constant; just the form changes! Now, sound is a form of energy; if so, sauti zote zilizowahi kutokea duniani hazijapotea, pengine zimebadilika form tu. I believe, one day, wenye brains zao kuna siku wataweza ku-reverse sauti (zilizo katika form nyingine ya energy) back to their original sounds/forms.

In that regard, kuna siku (watu/kizazi kingine) watasikia mahubiri ya Bwana Yesu Kristo (live) na manabii maana sauti zao ziko tu somewhere in another form ni suala la kuzirudisha kwenye original form tu! Hata uhalifu utaisha maana yaliyojadiliwa sirini yatawekwa wazi kwa re-wind mazungumzo! Very important law indeed!
Yani hapa nimekuelewa kuliko uelewa wenyewe daah!!
 
How sure are u? according to bible even God Creator alilikuta gizaa. Big bag there was nothing but darker. Je ubongo wetu unatafsiri iyo situation kama absence of light au kama colour yan black?
Mkuu source of darkness ni nini? Sidhani kama tayari kuna scientific proof ya source of darkness, ndiyo maana huwezi act on darkness kwa minajiri ya kuongeza/kupunguza giza badala yake utadil na mwanga. Ni mawazo yangu tu lakini.
 
Imethibitishwa kuwa mwanga unasafiri kwa spidi ya km laki tatu kwa sekunde moja tu(300,000km/s), Yani kwa sekunde tu mwanga unaizunguka dunia mara Nane(08)

kuna nadharia nyingine(Hii sio yangu mimi,Lakini nimetokea kuisapoti kishingo upande)


NI HIVI:- Pengine Fikra ya mwanadamu ndio kitu chenye spidi kali kushindwa hata hup mwanga(sema imeshindikana kuthibitisha kisayansi)

Hebu chukulia mfano huu mwepesi:-

Mfano getoni kwenu mpo watatu(03) tu, na tuchukulie nyie mna mashati yakuvaa matatu tu(yaani kila mmoja wenu ana shati moja) la kuvaa {Kauka nikuvae [emoji16]}
Sasa hapo geto kuna MTU A(shati jekundu) MTU B(Shati jeupe) MTU C(Shati la manjano)
MTU A mwenye shati jekundu akaenda kazini halafu mida mida mwenzake MTU B Mwenye shati jeupe akaja kumtembelea getto-mate mwezake:: yani ukimuona tu na shati jeupe MOJA KWA MOJA utajua getto-mate C amevaa shati la manjano

Hv mmeweza kupata picha hapo jinsi spidi ya fikra ilivyo??

Hoja mezani,(Unahisi kipi kina spidi zaidi, Mwanga(A) au Fikra(B) )
Na uzi tayar
Huwezi kumuona kwa speed itakayozidi speed ya mwanga, kwa sababu utahitaji mwanga kumuona.

Na hivyo mawazo yako, hayawezi kuzidi speed ya mwanga.

Pia, mawazo yako yanategemea reactions za electrochemical processes kichwani mwako,ambazo nazo zipo limited na speed ya mwanga, kwa hiyo huwezi kuwaza kwa speed ya zaidi ya speed ya mwanga.

Actually biological organs kama ubongo zina slow down speed ya mawazo kwa sehemu kubwa sana.
 
Hii napingana nayo.

Ili upate speed ya kitu lazima utahitaji starting point na destination.
Kitu ambacho kwa mwanga kinawezekana ila kwa fikra ni ngumu kidogo.
Hivyo ili tuweze kumeasure thought speed itabidi tutumie speed ya fikra kuchakata taarifa mpaka pale utakapopata jibu.

Mwanga always uko na speed constant isiyobadilika.

Lakini fikra haziwezi kuwa na speed constant na sidhani kama kuna uwezekano wa kufikia light speed.

ili kujaribu kuprove hilo kwamba speed ya fikra sio constant.
Na sometimes inaweza kuwa slow zaidi ya bando la Airtel au gari lisilo na engine.

Mfano mdogo huu hapa

Unaweza ukaniambia

2,424,697,415,356 x 7,786,326,964,664= sawasawa ni ngapi?

Sidhani hata kama umesoma hizo namba, zisome kwanza.

Je fikra zako zitaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 Bila ya msaada wowote?

Bila shaka hakuna binadamu duniani anaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 kwa mara ya kwanza na ukapata jibu bila msaada wowote.

Lakini wakati huohuo ukisema 1+1= ngapi?
Bila shaka asilimia kubwa ya watu wote duniani wanaweza kujua jibu ya hiyo taarifa chini au ndani ya seconds.
Baada ya kuona tu hiyo taarifa tayari fikra zako zimeshachakata hiyo taarifa ndani ya some milliseconds.

Hivyo mpaka hapo tayari speed ya fikra sio constant.

Kuna mengi hapo katikati ila kitendo cha light kuwa na speed constant isiyobadilika under any circumstances tayari speed of light ni almost untouchable at everything.

So in my opinion speed of light wins.

Kingine ni kwamba
technically black hole haimezi mwanga.
Bali massive gravity ya blackhole inabend space.
Na mwanga unafuatisha na kuexist kwenye space hivyo black hole ikibend space then mwanga nao utabend in ili kufuata au kuendana na hiyo space curvature.

Anayeweza kuniprove wrong, kunikosoa au kunichallenge Aje.
Umechambua kutaalamu sana bro tunaanzaje kukuchallenge
 
Mkuu source of darkness ni nini? Sidhani kama tayari kuna scientific proof ya source of darkness, ndiyo maana huwezi act on darkness kwa minajiri ya kuongeza/kupunguza giza badala yake utadil na mwanga. Ni mawazo yangu tu lakini.
Mimi nadhani kilicho na chonzo Ni mwanga, kwa sababu mwanga una mwanzo na umenzishwa na kitu.

Kitu sisicho kua na chanzo Ni kiza.

Kwa maana hio giza lipo kabla ya mwanga na ndio kusema giza ndio lenye mwendo kazi zaidi ya mwanga

Pia giza ndio asili ya ulimwengu, mwanga umekuja umelikuta giza, mwanga hukifukuza giza pindi huo mwanga ukiwepo.

Huo mwanga ukitoweka giza hurudia mahali pake kwa speed ile ya mwanga kutoweka .

Giza Ni kama maji yaliopo ndani ya ndoo, pindi uwekapo labda jiwe Yale maji hutoka na kuliachia jiwe nafasi kadiri ya ukubwa wake Hilo jiwe.

Kwa kua mwanga umekuja umelikuta giza hutumia nguvu nyingi kupata nafasi ndani ya giza na giza halitaki ubishi hulipa nafasi mwanga kwa sababu lenyewe giza linajua ndio asili ya kila kilichopo.

Kwa hio unaposema mwanga ndio wenye na kutembea kwa mwendo zaidi tusisahau giza.


Lakini bado fikra hazina uwezo wa kutembea sawa au kuzidi mwanga, kwa sababu fikra zimefungwa katika mwanga, fikra hazina uwezo wowote nje wa mwanga, so kilichotangulia kimetangulia tu. Kadhalika mwanga haufui dafu kwa giza kwa vile giza lipo kabla ya mwanga.
 
Mkuu source of darkness ni nini? Sidhani kama tayari kuna scientific proof ya source of darkness, ndiyo maana huwezi act on darkness kwa minajiri ya kuongeza/kupunguza giza badala yake utadil na mwanga. Ni mawazo yangu tu lakini.
kushidwa kukidadisi kitu au kukiona haimaanish kama kitu hiko hakipo
 
Back
Top Bottom