Kwa vyovyote vile,iwe usiku ama mchana.Jamhuri yetu ya leo,sio ile ya miaka ya 80-95.
Anaumri gani kwa sasa,na elimu yake ameipatia katika mazingira gani.Hatutaki ujima sisi Tanzania ya leo.
Ajiulize tangu amepata huo uprofeseli ni miaka mingapi imepita.
Wazee wakae kimya,maana kwa upande wao wameshindwa kulisaidia Taifa kwenye mambo mhimu.
Siasa ni nzuri kama umeitumia vizuri,pia ni mbaya ukiitumia visivyo.Hatuna taasisi imara tangu na tangu Bali tuna taasisi sujudu kiongozi.
Hitaji LA katiba haliepukiki kwa mkitadha wa sasa.
Nijue tu,ana ndugu zake wangapi serikalini?.
Anaumri gani kwa sasa,na elimu yake ameipatia katika mazingira gani.Hatutaki ujima sisi Tanzania ya leo.
Ajiulize tangu amepata huo uprofeseli ni miaka mingapi imepita.
Wazee wakae kimya,maana kwa upande wao wameshindwa kulisaidia Taifa kwenye mambo mhimu.
Siasa ni nzuri kama umeitumia vizuri,pia ni mbaya ukiitumia visivyo.Hatuna taasisi imara tangu na tangu Bali tuna taasisi sujudu kiongozi.
Hitaji LA katiba haliepukiki kwa mkitadha wa sasa.
Nijue tu,ana ndugu zake wangapi serikalini?.