Chuda Kashara
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 849
- 555
Ukila weed ni furaha tupu....full kutabasamu.Life baada ya kula ngada ni tamu asikwambie mtu arifu.Unajikuta unacheka barabarani kwa vitu vidogo.Hakuna raha kama uwe umesmoke marijuana halafu uwe unaangalia movie ya comedy. Yaani utacheka mpaka una-pause movie uendelee kucheka kwanza..
Habari wana jf,leo katika pita pita mtaani nikakuta vijana wanabishana kuwa hakuna kitu kitamu duniani zaid ya sexy.je ni kweli naombeni majibu yenu
utakuwa nshomile wewe
Hakuna kitu kitamu kama bange,jaribu hiyo kitu halafu upate cha arusha halafu ulete mrejesho hapaHabari wana jf,leo katika pita pita mtaani nikakuta vijana wanabishana kuwa hakuna kitu kitamu duniani zaid ya sexy.je ni kweli naombeni majibu yenu
Anhaaa okey sorryUnazani ndio nini?sexy ni kitu gani?kajifunze kuandika pliz unaandika chenga!
Duh ngada??Ngada baba Ngadaaa....
Hahaha sawa sawaweed na puchu
Ngoja nifanye nijionee daily nasikia tusex is overrated
Sex nime wrong kuandika apo,namaanisha sexy kufanya mapenziNgada mkuu; ukikutwa chumbani na mke wa mtu unashangiliwa ila ukikutwa na msokoto unapotea mazima. Kila cha gharama ni kitamu. Watu wanaomba kuruhusiwa kuosha "Hammer" ili tu apigie picha. Sex ni nini?
Haaa naijua vizur sana kitimoto, ila kusex bado ngoja nikisha sexy nitalinganisha mkuuHivi ushakula kitimoto wewe ? Hata uje na Beyonce siwezi acha kula kitimoto.
Hahahahah mkuu wangu hata mimi bado mbonaMsije fanya watu wajaribu asee