Unadhani ni kwanini watanzania wanaona wako salama zaidi kuongozwa na CCM chini ya uongozi madhubuti wa Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu?

Unadhani ni kwanini watanzania wanaona wako salama zaidi kuongozwa na CCM chini ya uongozi madhubuti wa Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi?

Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je, ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

Au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kuna tume huru ya uchaguzi ili tuweze kuamini bandiko lako.
Gentleman,
Tume Huru ya Uchaguzi ipo, na itawajibika kusimamia uchaguzi mkuu wa kihistoria wa haki, huru na wa wazi mapema October ya mwaka huu 2025, uchaguzi ambao upo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi 🐒
 
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Siyo tu Tanzania bali Afrika nzima wanatamani na wana kiu kubwa sana kuongozwa na Rais Samia ikiwa kama Bara la Afrika lingekuwa kama Nchi moja yenye Rais mmoja kama ilivyo Marekani.

CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kila mmoja anao uhakika wa kutimiza ndoto zake chini ya uongozi wa CCM na kila mmoja anaiona kesho iliyo njema machoni pake kutokana na sera nzuri za CCM zenye kuwawezesha watu kufikia malengo yao.
 
Tume huru ya uchaguzi....
I mean iwe huru kweli
I can confirm to you without fear of contradictions kwamba ,

Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania ni huru, na ipo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na inatekeleza wajibu wake wa kusimamia chaguzi kwa uhuru, bila shinikizo, kelele au maelekezo ya mamlaka za serikali, chama cha siasa, taasisi za kiraia, matapeli au vibaka wowote wa kisiasa nchini

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi ni huru kweli kweli ndugu mwananchi 🐒
 
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Siyo tu Tanzania bali Afrika nzima wanatamani na wana kiu kubwa sana kuongozwa na Rais Samia ikiwa kama Bara la Afrika lingekuwa kama Nchi moja yenye Rais mmoja kama ilivyo Marekani.

CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kila mmoja anao uhakika wa kutimiza ndoto zake chini ya uongozi wa CCM na kila mmoja anaiona kesho iliyo njema machoni pake kutokana na sera nzuri za CCM zenye kuwawezesha watu kufikia malengo yao.
Ama kwa hakika nia na dhamira njema ya wazi ya mipango mikakati ya maendeleo ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwa waTanzania, imebeba matumaini makubwa ya waTanzania kutimiza ndoto na matarajio yao ya maisha chini ya uongozi madhubuti wa mama huyu na kipenzi cha waTanzania wote.

God bless Dr.Samia Suluhu Hassan.
Tanzanian Trust is in you Mama 🌹
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
Ila nyinyi CHAWA mnakera sana.
Gentleman,
nini cha kukera mathalani kwenye hoja hiyo mahususi hapo jukwaani?

Infact,
ndivyo ukweli ulivyo,
una kera, una uma na kwakweli ni mchungu.

Kwanini wananchi hawaamini kabisa katika upinzani na badala yake wanahisi wapo mikono salama kuongozwa na CCM chini ya kiongozi madhubuti na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan?

why?🐒
 
Ila nyinyi CHAWA mnakera sana.
Gentleman,
nini cha kukera mathalani kwenye hoja hiyo mahususi hapo jukwaani?

Infact,
ndivyo ukweli ulivyo,
una kera, una uma na kwakweli ni mchungu.

Kwanini wananchi hawaamini kabisa katika upinzani na badala yake wanahisi wapo mikono salama kuongozwa na CCM chini ya kiongozi madhubuti na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan?

why?🐒
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Yes,
kama vijana wazalendo tupo imara kusema ukweli bila woga wala kuogopa matusi, tutapinga dhana na tabia za kuombaomba kuchangiwa pesa na daima tutahimiza kufanya kazi kwa bidii na kujitegemea.

Tutaelimisha umma dhidi ya vibaka na matapeli wa kisiasa wanaochochea fujo na kuhimiza wananchi kutotumia uhuru na haki zao za kikatiba kwa mfano kushiriki chaguzi n.k🐒
 
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi? Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je,
ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Dr.Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
QUeen of komedian au siyo
 
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi?

Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je, ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

Au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Kuhalalisha hayo mnayoyasema Mwambieni Maza aitidhe uchaguxi wa kweli tuone kama kweli Watanzania wanamuamini hivyo mnavyodai.

Kama tu ndani ya chama inabidi ajipitishe kwa mizengwe .... sijui hayo unayoyasema Yana ukweli gani.
 
Back
Top Bottom