Unadhani ni kwanini watanzania wanaona wako salama zaidi kuongozwa na CCM chini ya uongozi madhubuti wa Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu?

Unadhani ni kwanini watanzania wanaona wako salama zaidi kuongozwa na CCM chini ya uongozi madhubuti wa Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu?

Kuhalalisha hayo mnayoyasema Mwambieni Maza aitidhe uchaguxi wa kweli tuone kama kweli Watanzania wanamuamini hivyo mnavyodai.

Kama tu ndani ya chama inabidi ajipitishe kwa mizengwe .... sijui hayo unayoyasema Yana ukweli gani.
Gentleman,
uchaguzi wa Tanzania hautishwi na mtu kama inavyofanyika kwenye vyama vyenu vya siasa vya kitapeli huko mtaani.

Uchaguzi wa Tanzania unafanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi kila baada ya miaka mi5.

hata hivyo,
ni kwanini vyama vya upinzani nchini haviaminiki kwa wananchi?🐒
 
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi?

Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je, ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

Au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe ndio unaona na familia yakoo
 
Gentleman,
uchaguzi wa Tanzania hautishwi na mtu kama inavyofanyika kwenye vyama vyenu vya siasa vya kitapeli huko mtaani.

Uchaguzi wa Tanzania unafanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi kila baada ya miaka mi5.

hata hivyo,
ni kwanini vyama vya upinzani nchini haviaminiki kwa wananchi?🐒

Sasa wakiitidha kwa mujibu wa sheria ndiyo kunakuwa hakuna Uhuni. Yaani huo uhuni wanaoufanya kila uchaguzi ndiyo sheria za nchi zinavyosema. Acheni kutanguliza Uchawa. Nchi ni yetu sote... ikiharibika inatuharibikia wote.
 
They don't feel safe, they lack freedom of speech. They are also full of fear and ignorance. That's why they decide to remain speechless as we say "if you can't fight your enemy join with him".
 
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi?

Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je, ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

Au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Watanzania wapo salama zaidi chini ya Utawala wa CCM?
Unajidanganya Sana. Hata Watawala wa nchi ya Shirikisho la Usovieti la Urusi ya zamani (USSR) kabla ya kuparaganyika kwa nchi hiyo walikuwa wakieneza Propaganda kwamba Raia wa nchi hiyo wapo salama zaidi chini ya Mawakala wa Idara ya Ujasusi ya nchi hiyo ya Urusi iitwayo KGB. Lakini uhalisia ulikuwa kinyume chake, wakati ulipofika Urusi iligawanyika vibaya sana tena kwa kasi kubwa ya ajabu kiasi Cha kuwashangaza hata wenyewe waliokuwa Watawala wa nchi hiyo ya Urusi m
 
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi?

Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je, ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

Au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Naomba no ya usajiri wa chama cha ccm, vinginevyo wenda tunaongozwa na viongozi batili kupitia chama batili
 
Naomba no ya usajiri wa chama cha ccm, vinginevyo wenda tunaongozwa na viongozi batili kupitia chama batili
nakufunmbua macho na kukusaidia usitapeliwe pesa, uhuru na haki yako ya kikatiba ya kupiga kura, unashupaza shingo,

shauri yako,
kibali na tapeli atapita na wewe vizuri hutosahau, utamsika tu yupo kwake ubelgijiiiiiii :pedroP:
 
Watanzania wapo salama zaidi chini ya Utawala wa CCM?
Unajidanganya Sana. Hata Watawala wa nchi ya Shirikisho la Usovieti la Urusi ya zamani (USSR) kabla ya kuparaganyika kwa nchi hiyo walikuwa wakieneza Propaganda kwamba Raia wa nchi hiyo wapo salama zaidi chini ya Mawakala wa Idara ya Ujasusi ya nchi hiyo ya Urusi iitwayo KGB. Lakini uhalisia ulikuwa kinyume chake, wakati ulipofika Urusi iligawanyika vibaya sana tena kwa kasi kubwa ya ajabu kiasi Cha kuwashangaza hata wenyewe waliokuwa Watawala wa nchi hiyo ya Urusi m
Ndiyo,
wananchi na waTanazania wote wapo salama na wana amani ya uhakika chini ya uongozi wa ccm, lakini zaidi sana chini ya kiongozi na kipenzi cha wananchi Dr.Samia Suluhu Hassan.

ushirikina na utapeli wa vyama vingine hasa vinavyoongozwa na vibaka, waTanzania hawataki hata kuuskia :NoGodNo:
 
Sasa wakiitidha kwa mujibu wa sheria ndiyo kunakuwa hakuna Uhuni. Yaani huo uhuni wanaoufanya kila uchaguzi ndiyo sheria za nchi zinavyosema. Acheni kutanguliza Uchawa. Nchi ni yetu sote... ikiharibika inatuharibikia wote.
Gentleman,
hakuna kelele ya kibaka yoyote itazuia uchaguzi wa Tanzania.
lakini pia hayupo atakaebembelezwa kwenda kupiga kura.

infact,
uchaguzi wa kura za maoni CCM ndio haswa uchaguzi wenyewe wananchi wanapaswa kuufuatilia kwa karibu,
ule mwingine ni katika kutimiza matakwa ya kikatiba tu :NoGodNo:
 
Binafsi naona ccm inashinda kihali kabisa hata kama ni kuiba inajazia tu ili kushinda kwa kishindo na sababu kuu ni kwamba bado wapo wananchi wengi hawajaamka kwenye usingizi wa pono.
 
Binafsi naona ccm inashinda kihali kabisa hata kama ni kuiba inajazia tu ili kushinda kwa kishindo na sababu kuu ni kwamba bado wapo wananchi wengi hawajaamka kwenye usingizi wa pono.
Gentleman,
angalau una point zenye mantiki za kutafakari ndani ya koment yako,
ambayo pia inahitaji kufanya kautafiti kidogo kujiridhisha kwanza ili kuthibitisha kasoro na dosari za uchaguzi na uelewa wa wananchi uloibua :NoGodNo:
 
Gentleman,
hakuna kelele ya kibaka yoyote itazuia uchaguzi wa Tanzania.
lakini pia hayupo atakaebembelezwa kwenda kupiga kura.

infact,
uchaguzi wa kura za maoni CCM ndio haswa uchaguzi wenyewe wananchi wanapaswa kuufuatilia kwa karibu,
ule mwingine ni katika kutimiza matakwa ya kikatiba tu :NoGodNo:

Hakuna kitu ni mfumo wa wizi tu ndiyo unaoibeba CCM. Wananchi wameichola na wao wanajua hilo. Ndiyo sababu hawataki mabadiliko.

Muulize ni jindi gani JK alivyopelekeshwa na Slaa 2010. Au Lowasa 2015.

Lissu mwenyewe alimpelekesha JPM mpaka akashindwa kurecovery kwa homa ya uchaguzi. Wote tunajua mwisho wake ulikuwaje.
 
Hakuna kitu ni mfumo wa wizi tu ndiyo unaoibeba CCM. Wananchi wameichola na wao wanajua hilo. Ndiyo sababu hawataki mabadiliko.

Muulize ni jindi gani JK alivyopelekeshwa na Slaa 2010. Au Lowasa 2015.

Lissu mwenyewe alimpelekesha JPM mpaka akashindwa kurecovery kwa homa ya uchaguzi. Wote tunajua mwisho wake ulikuwaje.
Gentleman,
huenda umechoka wewe na uvivu wako,

huna haja ya kumuuliza mtu binafsi mambo haya,
kwasababu ni wazi waTanzania waote wanaiamini na kuikubali CCM pekee, kama ndicho haswa chama mbadala kwa mustakabali mwema wa maendeleo, amani, umoja na utulivu wao, katika kazi na majukumu yao.

wengine ni matapeli na vibaka wa siasa tu :NoGodNo:
 
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi?

Nini hasa kinafanya hata baadhi ya vyama vya upinzani kuonekana kama ni makundi ya kukinufaisha kiuchumi na viongozi wao kuonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa tu?

Je, ni kwasababu hawana uongozi madhubuti wenye maono na ushawishi wenye tija?

Ni kwasababu hawana vision, hawana sera, hawana mipango mikakati ya maana ya maendeleo yenye vipaumbele vya mahitaji na changamoto za wananchi?

Ni kwasababu hawafahamu wala kuelewa mahitaji muhimu ya msingi ya wananchi, na kwahivyo hawaeleweki kwa waTanzania kwasababu ya dhamira na agenda zao binafsi ni kutafuta nafasi za uongozi, vyeo na madaraka na nafasi kwa maslahi yao binafsi na familia zao?

Au hawana uwezo wa kimiundombinu hususani fedha za kuwafikia wananchi wengi katika maeneo mengi nchini na kujaribi?

Ndugu mdau,
unadhani ni kwanini hasa wapinzani hawaaminiki kabisa nchini, na badala yake wananchi wote wanamuamini Samia Suluhu Hassan pekeyake, hususan katika azma yake ya kuongoza nchi katika awamu yake ya pili na ya mwisho kikatiba?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wajinga ndiyo wanaona hivyo. Unaweza chagua mtu ambaye hata hotuba hajui kutoa. Halivutii hata huwezi sema nitafute hotuba moja nisikilize.
 
Wajinga ndiyo wanaona hivyo. Unaweza chagua mtu ambaye hata hotuba hajui kutoa. Halivutii hata huwezi sema nitafute hotuba moja nisikilize.
uongozi ni kuonyesha njia gentleman,
sio hotuba, makelele na kupiga mdomo tu :NoGodNo:
 
Kwa mujibu wa huu uzi ni yeye kasema si watanzania
 
Back
Top Bottom