Unadhani ni kwanini watanzania wanaona wako salama zaidi kuongozwa na CCM chini ya uongozi madhubuti wa Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu?


Umeshakuwa brainwashed huwezi kuelewa. CCM is CULT.
 
Umeshakuwa brainwashed huwezi kuelewa. CCM is CULT.
nachoelewa mimi,
ni kwamba, CCM pekee ndio inaaminika na kwakweli inakubalika sana kwa wananchi,

CCM ndio msingi wa maendeleo ya wananchi wa Tanzania kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa,

ushirikina mwingine sina haja nao
 
Upande wangu naona pengine watanzania wengi wamekwisha lizika na kuishi katika mazoea na chama tawala kwa muda mrefu kiasi kwamba wanafikiri ni salama zaidi chini ya uongozi huo wa chama tawala na hilo linapelekea kukosa kwa utayari katika kuruhusu mabadiliko zaidi
 
nachoelewa mimi,
ni kwamba, CCM pekee ndio inaaminika na kwakweli inakubalika sana kwa wananchi,

CCM ndio msingi wa maendeleo ya wananchi wa Tanzania kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa,

ushirikina mwingine sina haja nao
Yah right.. Unachokielewa wewe.

Nchi zenye misingi ya maendeleo zimeweza kuendelea ndaji ya miaka 60 ya Uhuru i.e. Singerpore, UAE, Qartar, South Korea.

We endelea tu kukaliliswa na hizo Propaganda zenu Uchwala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…