Gentleman,
huenda umechoka wewe na uvivu wako,
huna haja ya kumuuliza mtu binafsi mambo haya,
kwasababu ni wazi waTanzania waote wanaiamini na kuikubali CCM pekee, kama ndicho haswa chama mbadala kwa mustakabali mwema wa maendeleo, amani, umoja na utulivu wao, katika kazi na majukumu yao.
wengine ni matapeli na vibaka wa siasa tu