Kila ikifika siku ya kutoa ushahidi unaumwa na kulazwa, ugonjwa hauonekani na muda wa mahakama ukiisha unapona.Kwa kutoa tu ushahidi?
Yesu wangusita sahau mwaka 2010 nilitoa msaada polisi na mwisho wasiku mimi ndio nikawa mwenye kesi baada ya muhusika kukosekana
yesu wangu! Polesita sahau mwaka 2010 nilitoa msaada polisi na mwisho wasiku mimi ndio nikawa mwenye kesi baada ya muhusika kukosekana
Haha kuna kesi hapa natakiwa nitoe ushahidi mi ndo shahidi wa mwisho hii kesi imehairishwa Mara nyingi sana kila nikiitwa kwenye ushahidi nakuta hakimu anaesikiliza kesi ni mgonjwa naishia kuonywa na kupangiwa tarehe nyingine sijui anapigwa misumari.Kila ikifika siku ya kutoa ushahidi unaumwa na kulazwa, ugonjwa hauonekani na muda wa mahakama ukiisha unapona.