Tz hamna witness protection unaweza kuwa shahidi wa kesi ngumu sana za kutisha ila hakuna kupewa ulinzi ndo maana kesi nyingi kubwa mahakamani watuhumiwa wanashinda kwa kukosekana mashahidiWatu wanaogopa usalama wao basi.kama mtoa ushahidi unahakikishiwa usalama wake,itakuwa ni rahisi kutoka ushahidi.
Hukana taasisi inaongoza kwa uzembe kama hii ya polisi. Wao hawaoni shida kumkamata aliyetoa taarifa za mauaji badala ya kutafuta muuaji.sita sahau mwaka 2010 nilitoa msaada polisi na mwisho wasiku mimi ndio nikawa mwenye kesi baada ya muhusika kukosekana
Kama tu mahakimu wanakimbia kesi sembuse shahidi?Haha kuna kesi hapa natakiwa nitoe ushahidi mi ndo shahidi wa mwisho hii kesi imehairishwa Mara nyingi sana kila nikiitwa kwenye ushahidi nakuta hakimu anaesikiliza kesi ni mgonjwa naishia kuonywa na kupangiwa tarehe nyingine sijui anapigwa misumari.
Kumanishaa hakuna HAKI yakumlinda shahidi baada yakutoa ushaidi wakee cyo ...hili nalo likatizamwee..Lakini baada ya kufanya utafuti wangu mdogo wengi wao wanasema wanaweza kupata matatizo endapo watu aliowatolea ushahidi watashinda kesi.
π΄ππππ ππ ππππππ π ππ ππππ πππ .......Kama ulishaangalia movies za kihindi jibu unalo ile miamba ukiitolea ushahidi ikitoka inatetekeza familia nzima
Na kabla haijateketeza inabaka kwanza female members wote kwenye famili
πHukana taasisi inaongoza kwa uzembe kama hii ya polisi. Wao hawaoni shida kumkamata aliyetoa taarifa za mauaji badala ya kutafuta muuaji.
Umempa majeruhi msaada akafia kwenye gari yako basi kesi yako.
Minguvu mingi akili ya kureason ndogo.
inabidi watoe ulinzi sasaTz hamna witness protection unaweza kuwa shahidi wa kesi ngumu sana za kutisha ila hakuna kupewa ulinzi ndo maana kesi nyingi kubwa mahakamani watuhumiwa wanashinda kwa kukosekana mashahidi