Kolomijeni mbunge wa jimbo gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolomijeni mbunge wa jimbo gani ?
Uyo msenge jimbo tu limemshinda.mzalendo John Mnyika anaweza kufanya vizuri akiwa PM. Huyu jamaa asipofuta nyayo za akina ZZK atakuja kuwa hazina kubwa kwa taifa hili.
Itunzeni hii na Mimi leo nimetabiri.
Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi ndani ya Chadema. Ingekuwa vizuri kama ungetaka maoni ya nani anaweza kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa chama. Kutaka mbadala wa Waziri Mkuu kwa Serikali ambayo hamuitambui ni ujuha mkubwa!!Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.
Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .
Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.
Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.
Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
Mwaka wa uchaguzi kwa katiba ipi ?Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi ndani ya Chadema. Ingekuwa vizuri kama ungetaka maoni ya nani anaweza kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa chama. Kutaka mbadala wa Waziri Mkuu kwa Serikali ambayo hamuitambui ni ujuha mkubwa!!