Hussein Bashe anafaa kuwa waziri MkuuNachofahamu ni kuwa PM ajaye atatoka kanda ya ziwa-ni nani sijui!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hussein Bashe anafaa kuwa waziri MkuuNachofahamu ni kuwa PM ajaye atatoka kanda ya ziwa-ni nani sijui!!!
Kuteka wagombea wa upinzani jimbo la Rwanga ndio kuhusika pakubwa ?nidhamu serikalini kipindi cha JPM alihusika pakubwa
mi nazungumzia ujenzi wa miundo mbinu na nidhamu ya kazi kwenye taasisi za serikaliKuteka wagombea wa upinzani jimbo la Rwanga ndio kuhusika pakubwa ?
Mtu aliyehusika kuteka wengine ili apite bila kupingwa unaanzaje kumuamini ?mi nazungumzia ujenzi wa miundo mbinu na nidhamu ya kazi kwenye taasisi za serikali
Ummy mwalimu sionagi uwezo wake, kuongea tu ndo anaweza sana. Ile wizara bado inamhitaji Faustin Ndungulile, sema yule Faustine sijui ana shida gani kila Rais anamtoaUmmy Mwalimu
Ndungulile bogus kabisaUmmy mwalimu sionagi uwezo wake, kuongea tu ndo anaweza sana. Ile wizara bado inamhitaji Faustin Ndungulile, sema yule Faustine sijui ana shida gani kila Rais anamtoa
nani alitekwaMtu aliyehusika kuteka wengine ili apite bila kupingwa unaanzaje kumuamini ?
Uko nchi gani wewe , fuatilia walikokuwa wanaokotwa Wagombea wa Upinzani waliochukua fomu kugombea ubunge Rwangwanani alitekwa
katoka jimbo gani ?Msakila Kabende anafaa kuwa Waziri Mkuu
Hahaha!katoka jimbo gani ?
Anawakilisha jimbo gani ?Yule jamaa alikuwa RC Dodoma akahamishwa kwenda kuwa RC Nyanda za juu kusini kati ya Iringa au Njombe.
[emoji38][emoji38][emoji38]Lete Maneno...
Kama msomali mwenzake katolewa jalalani Hadi kileleni lolote lawezekana.Kwa ile kauli ya marope Kule geita kwenye uchaguzi ndani ya chama!
Nabashiri
1. Marope mwenye upara!
2. Msomali anaeogopa KUFUNGA mipaka ili wasomali wenzake wasife njaa!!
MKUU, kwani vipi!? Jamaa kesha andika barua ya kujiuzulu!?
Albert Bashite. Huyu mwamba nampa kura zote. Ni zaidi ya jiweHili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.
Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .
Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.
Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.
Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.
Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .
Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.
Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.
Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
Apewe chawa kibajajiHili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.
Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .
Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.
Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.
Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
ni mbunge wa jimbo gani ?Albert Bashite. Huyu mwamba nampa kura zote. Ni zaidi ya jiwe