Unadhani ni nani anafaa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake?

Unadhani ni nani anafaa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake?

Ummy mwalimu sionagi uwezo wake, kuongea tu ndo anaweza sana. Ile wizara bado inamhitaji Faustin Ndungulile, sema yule Faustine sijui ana shida gani kila Rais anamtoa
Ndungulile bogus kabisa
 
Yule jamaa alikuwa RC Dodoma akahamishwa kwenda kuwa RC Nyanda za juu kusini kati ya Iringa au Njombe.
 
Kwa ile kauli ya marope Kule geita kwenye uchaguzi ndani ya chama!

Nabashiri

1. Marope mwenye upara!

2. Msomali anaeogopa KUFUNGA mipaka ili wasomali wenzake wasife njaa!!

MKUU, kwani vipi!? Jamaa kesha andika barua ya kujiuzulu!?
Kama msomali mwenzake katolewa jalalani Hadi kileleni lolote lawezekana.
 
Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
Albert Bashite. Huyu mwamba nampa kura zote. Ni zaidi ya jiwe
 
Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.

Mtapata tabu sana
 
Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
Apewe chawa kibajaji
 
Back
Top Bottom