Unadhani ni nani anafaa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake?

Unadhani ni nani anafaa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake?

mzalendo John Mnyika anaweza kufanya vizuri akiwa PM. Huyu jamaa asipofuta nyayo za akina ZZK atakuja kuwa hazina kubwa kwa taifa hili.
Itunzeni hii na Mimi leo nimetabiri.
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu , leo huyu , kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi , aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake , ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria , Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele .

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba , Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote, Utalindwa.
Aliyepo anatolewa na nani kwa kosa gani?

Kwa hiyo siku hizi hao watu wa CCM ndio wanakutuma kuwasemea ni nani wanamtaka na kwa sababu zipi?

Inavyoonesha huyo waziri mkuu ni kaa lenu la moto hamtulii badala ya kushughulika na mwenye mamlaka ya ku 'hire and 'fire' mnahangaika na mtendaji asiye na maamuzi kwa kulingana na mfumo.

Kwa nini hamsemi makamu wa rais ambaye ndio msimamizi wake wakati raisi akiwa nje ya nchi?

Kama ni masuala ya majanga anayewajibika kuidhinisha fedha kununua vifaa na kutoa mafunzo stahiki ni yeye au mkuu wa nchi?

Kwa nini mnamsakama sana? Una maslahi gani ya kisiasa? Umelipwa bei gani inayotaka kukutoa hadi roho ukimsema waziri mkuu?

Mwanasiasa kama wewe ni sawa na shetani mnywa damu kwa ajili ya kutoa kafara kwa matumaini ya kuwea kuingia ngomeni!!!

Wewe utakuwa na mwisho mbaya sana..............................haya sasa aondolewe pendekeza mwenyewe na ni awe waziri mkuu.

Uchaguzi wa mwaka 2020 hauutambui lakini unakazana waziri mkuu abadilishwe hilo fukuto ulilopandikizwa litakutokea puani
 
PM Kwa Katiba hii Si issue Kwa sasa.

Freeman Aikael MBOWE ndiye PM wa Tanganyika ajaye ndani ya Serikali 3.

Rasimu alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo hatimaye tupate KATIBA mpya.

Ameeeen.
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu , leo huyu , kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi , aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake , ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria , Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele .

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba , Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote, Utalindwa.
Nilimsikia Mbowe akisema atakuwa waziri mkuu ndani ya masaaa 72 wakati ulee wa uchaguzi.
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu , leo huyu , kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi , aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake , ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria , Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele .

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba , Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote, Utalindwa.
Huyu aliyefanya uokoaji 👇
Screenshot_20221108-114000.png
 
Aliyepo anatolewa na nani kwa kosa gani?

Kwa hiyo siku hizi hao watu wa CCM ndio wanakutuma kuwasemea ni nani wanamtaka na kwa sababu zipi?

Inavyoonesha huyo waziri mkuu ni kaa lenu la moto hamtulii badala ya kushughulika na mwenye mamlaka ya ku 'hire and 'fire' mnahangaika na mtendaji asiye na maamuzi kwa kulingana na mfumo.

Kwa nini hamsemi makamu wa rais ambaye ndio msimamizi wake wakati raisi akiwa nje ya nchi?

Kama ni masuala ya majanga anayewajibika kuidhinisha fedha kununua vifaa na kutoa mafunzo stahiki ni yeye au mkuu wa nchi?

Kwa nini mnamsakama sana? Una maslahi gani ya kisiasa? Umelipwa bei gani inayotaka kukutoa hadi roho ukimsema waziri mkuu?

Mwanasiasa kama wewe ni sawa na shetani mnywa damu kwa ajili ya kutoa kafara kwa matumaini ya kuwea kuingia ngomeni!!!

Wewe utakuwa na mwisho mbaya sana..............................haya sasa aondolewe pendekeza mwenyewe na ni awe waziri mkuu.

Uchaguzi wa mwaka 2020 hauutambui lakini unakazana waziri mkuu abadilishwe hilo fukuto ulilopandikizwa litakutokea puani
Mkuu hakuna Waziri Mkuu wa Milele , mimi utaniloga bure tu .
 
PM Kwa Katiba hii Si issue Kwa sasa.

Freeman Aikael MBOWE ndiye PM/Rais wa Tanganyika ajaye ndani ya Serikali 3.

Rasimu alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo hatimaye tupate KATIBA mpya.

Ameeeen.
Mkuu

Unadhani Serikali tatu itakubalika!?

Maana T.A asema zibaki MBILI,Sasa watakubalie ziwe tatu!?

TUSUBIRI
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu , leo huyu , kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi , aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake , ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria , Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele .

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba , Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote, Utalindwa.

Sele man jafo
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu , leo huyu , kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi , aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake , ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria , Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele .

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba , Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote, Utalindwa.
Tunza comment hii kwa matumizi yajayo.

PM Ajae ni Innocent Bashungwa.
 
Back
Top Bottom