Unadhani ni nini kimesababisha mpaka dereva wa semi trela kuchora?

Unadhani ni nini kimesababisha mpaka dereva wa semi trela kuchora?

Hii inairwa jacknife , na hapo bahati nzuri haijamaliza , worst case scenario ni kuwa hicho kichwa huwa kinazunguka na kujibamiza kwenye trailer , mara nyingi haponi mtu
Hutokea kwenye gari ambazo hazina Abs, na husababishwa na breki kali wakati matairi hayapo kwenye surface moja , kama hapo huyo wa semi alimpisha basi ,tairi za kushoto zikawa nje ya lami , alipokuja kukanyaga breki hizi za kwenye lami zika lock wakati zile za kushoto zinasota , ndo lori ikazunguka.
Gari zenye Abs huwezi kuta zinafanya hivyo
Unataka kuniambia ABS ingekuwepo isingetokea hivyo?
 
Ongezea maelezo zaidi
Huku kwetu hata ukute brand new truck ,itakuwa ni euro,3, the last time euro 3 iliruhusiwa kuwa barabarani europe nadhani ni mwaka 2006.
London low emmission zone (Lez)kwa mfano watakudai euro 100 kwa siku kuendesha lori ya euto 3 ,
Lori likisha fail emmissiin standards linakuwa very expensive ,ndo sababu yanakuja Afrika
 
Huku kwetu hata ukute brand new truck ,itakuwa ni euro,3, the last time euro 3 iliruhusiwa kuwa barabarani europe nadhani ni mwaka 2006.
London low emmission zone (Lez)kwa mfano watakudai euro 100 kwa siku kuendesha lori ya euto 3 ,
Lori likisha fail emmissiin standards linakuwa very expensive ,ndo sababu yanakuja Afrika
Na huku bongo wapige marufuku gari za chini ya mwaka 2013... au ukitaka kununua gari la chini ya hapo garama iwe kubwa mno kuzid toleo la hivi karibuni.. ili kisaidia kupunguza magari yaliopitwa na muda.
 
Never!!
isingetokea Kilichotokea, ukishapata tyre lock , the first thing unapoteza ni steering control , ndo mana nikasema huyo dereva pia ana bahati yake !
Asnt sana mtaalam kwa kututoa tongotongo juu ya hili
 
Back
Top Bottom