Unadhani ni umri gani kwa mwanasiasa haufai kugombea nafasi za kisiasa Tanzania?

Unadhani ni umri gani kwa mwanasiasa haufai kugombea nafasi za kisiasa Tanzania?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna hoja huwa inakuja mara kwa mara kwamba "fulani ni mzee sasa anafaa apumzike siasa". hivi kwa Tanzania mtu akifikisha miaka mingapi ndipo ahesabiwe kwamba umri wake haufai kugombea nafasi za kisiasa??

Rais wa sasa wa Marekani Joe Biden ana miaka 80 na kuna uelekeo kwamba anaweza kugombea tena nafasi hiyo ya Urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2024. Mpinzani wake wa Karibu Donald Trump ana miaka 76.

Umri kikomo kwa kuwa mwanasiasa Tanzania uwe miaka mingapi?
 
Kuna hoja huwa inakuja mara kwa mara kwamba "fulani ni mzee sasa anafaa apumzike siasa". hivi kwa Tanzania mtu akifikisha miaka mingapi ndipo ahesabiwe kwamba umri wake haufai kugombea nafasi za kisiasa??

Rais wa sasa wa Marekani Joe Biden ana miaka 80 na kuna uelekeo kwamba anaweza kugombea tena nafasi hiyo ya Urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2024. Mpinzani wake wa Karibu Donald Trump ana miaka 76.

Umri kikomo kwa kuwa mwanasiasa Tanzania uwe miaka mingapi?
Majibu anayo lukuvi
 
Mtu akifika miaka 65 anapaswa asigombee. Wazee huwa hawana mipango ya muda mrefu. Na mtu mwenye miaka 18 aruhusiwe kugombea hata urais.
 
Tatizo wanatuambia tujiajiri ila wao kila siku wanatafuta nafasi za juu serikalini
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila ni "immigrant" kwenye kizazi hiki cha teknolojia ya habari na mawasiliano. Hapo alipo anachat kavaa miwani na Glass yake ya Whisky pembeni. Shida tunazo sisi siyo wao.
 
Kuna hoja huwa inakuja mara kwa mara kwamba "fulani ni mzee sasa anafaa apumzike siasa". hivi kwa Tanzania mtu akifikisha miaka mingapi ndipo ahesabiwe kwamba umri wake haufai kugombea nafasi za kisiasa??

Rais wa sasa wa Marekani Joe Biden ana miaka 80 na kuna uelekeo kwamba anaweza kugombea tena nafasi hiyo ya Urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2024. Mpinzani wake wa Karibu Donald Trump ana miaka 76.

Umri kikomo kwa kuwa mwanasiasa Tanzania uwe miaka mingapi?
100
 
Ila kwa umri kikomo tarajiwa kwa watanzania (Life expectancy) sidhani kama tumeshafikia kwenye miaka 70, maana kwa takwimu za mwisho ilikuwa ni miaka 65. Tatizo hatuli vyakula vyenye lishe bora na maisha yetu tunaishi kwenye mazingira yenye vurugu na hatarishi.
 
Back
Top Bottom