Unadhani siku 5 za Maombolezo Tanzania kwa kifo cha Malkia Uingereza zinatokana na nini hasa kati ya haya?

Unadhani siku 5 za Maombolezo Tanzania kwa kifo cha Malkia Uingereza zinatokana na nini hasa kati ya haya?

Ni kujipendekeza tu m, tuache kutoa kawana tuingie kati kupambana kubadilisha huu mfumo kwenye serikali yetu
 
Kuna watanzania wameenda kuomboleza???! Hii nchi hii sio ushamba wala nn hyo ni laana kwan alivyo kufa Mheshimiwa hapa nchin tofauti na tanzania kuna nchi ilitusaidia kuomboleza leo afe bibi huko na sisi tuhusike why au kisa wanatudai
Una uhakika hakuna nchi zilizoomboleza wakati wa kifo cha Jpm?muwe mnaandika vitu kwa uhalisia wake.Huo ndio ukweli na utaendelea kuwa hivyo kuwa familia ya kifalme ya uk, kwa nchi za jumuia ya madola, ina sauti kubwa sana.
 
jemedari alipofariki watanzania wengi walifanya sherehe kufurahia kifo cha kiongoz wao, waafrika ndio wanadamu tunaoongoza kwa ubaguzi duniani
Eti jemedari!! Hapo ndipo ujiulize ni kwanini wananchi wengi warifurahia, Yaani uwe muasisi wa ubaguzi halafu ufe na wewe usibaguliwe kweli?!!haiwezekani.
MUNGU FUNDI
 
1. Umbumbu
2. Ushamba
3. Uwoga wa Kunyimwa Misaada
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
5. Unafiki
6. Kuendelea Kuukumbatia Ukoloni
7. Kutafuta Sifa za Kipuuzi

Najiandaa sasa kusoma maoni yenu enyi Great Thinkers wa JamiiForums ambao nawakubali mno kwa usomi, uchakataji wa masuala na uelewa wenu mkubwa kuliko Watanzania wote.
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
Pia. Ni kawaida ya tamaduni za Kiafrika za kuonesha upendo bila kuwa na kinyongo na pia marehemu hahukumiwi maana kifo ni njia ya wote.
 
Acha uzwazwa kujumlisha upunguani sio watanzania wanaoombeleza ni taifa la Tanzania.
Ni kama tu Uk walivyoombeleza kufariki kwa Mwendakuzimu.

Isitoshe her highness was leader of Great Britain mtu kama wewe enzi za uhai wake usingeweza hata kumtizama usoni kwani her highness force zingesukuma msura huo.
 
1. Umbumbu
2. Ushamba
3. Uwoga wa Kunyimwa Misaada
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
5. Unafiki
6. Kuendelea Kuukumbatia Ukoloni
7. Kutafuta Sifa za Kipuuzi

Najiandaa sasa kusoma maoni yenu enyi Great Thinkers wa JamiiForums ambao nawakubali mno kwa usomi, uchakataji wa masuala na uelewa wenu mkubwa kuliko Watanzania wote.
Tanganyika iliwekwa chini ya Uingereza kwa ajili ya kuandaliwa kupata uhuru.
Kwahiyo, Uingereza ilifanya jitihada ya kutoa nafasi za kupata elimu itakayowawezesha watanganyika kujitawala, kwa kuweka mfumo wa demokrasia ulio huru na wa haki.
Na Tanganyika ilipopata uhuru Uingereza ilitoa fedha za kuendeshea nchi na Uingereza imeendelea kuisaidia Tanzania katika nyanja mbalimbali na pia Uingereza na Tanzania zinauhusiano wa kidiplomasia ,hivyo ni kama ndugu.
Katika historia hii ya mashirikiano mwenzako anapofiwa halafu wewe unaendelea kudunda tu, bila kuonesha kuguswa unaoneka wa ajabu.
KWAHIYO, maamuzi haya ya Tanzania yana malengo ya kukuza mahusiano mazuri yaliyoanza mwaka 1919.
NB
Kama Kuna mabaya Uingereza ilifanya kusameheana ni jambo zuri zaidi. Ingawa kwa mtazamo wangu ukoloni huu wa kibeberu(imperialism), ulikuwa una faida zake licha ya hasara zinazotajwa( HEBU FIKIRIA: Elimu ya kikoloni imetuwezesha sisi kupata madaktari, wahandisi, wanasheria, kwenda popote duniani, kukuza demokrasia,kukua kwa njia za usafirishaji,kuondoa uhasama wa makabila, haki za binadamu (kuepukana na mila potofu), kutaja chache.
 
Napendekeza pia haya yafuatayo

1.Kwa sababu kwa huyo marehemu Malkia Wana pesa waweke ubwabwa Kila sehemu tupige maombolezo yanoge
2.Wasafirishe baadhi ya watu kwenda kwao wakazike huko.

Nayeyuka!
 
Nadhani ni kwakua ni washirika wetu wa maendeleo na misaada
 
1. Umbumbu
2. Ushamba
3. Uwoga wa Kunyimwa Misaada
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
5. Unafiki
6. Kuendelea Kuukumbatia Ukoloni
7. Kutafuta Sifa za Kipuuzi

Najiandaa sasa kusoma maoni yenu enyi Great Thinkers wa JamiiForums ambao nawakubali mno kwa usomi, uchakataji wa masuala na uelewa wenu mkubwa kuliko Watanzania wote.
Yote ni majibu,hii ccm haijuhi Cha kufanya,wameishiwa kabisa,kinachowaweka Madarakani ni nguvu za jeshi tu,ukiona Raisi anafanya ziara za kuzindua kituo Cha polisi,au kinanda Cha walinzi kwenye chuo Cha veta,ujue nchi imeishiwa.
Gharama ya msafara wake mpaka hapo kwenye uzinduzi inazidi hicho anachokwenda kuzindua mara kumi!!ccm sasa hv wanatumia matumbo na makamasi kuwaza
 
1. Umbumbu
2. Ushamba
3. Uwoga wa Kunyimwa Misaada
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
5. Unafiki
6. Kuendelea Kuukumbatia Ukoloni
7. Kutafuta Sifa za Kipuuzi

Najiandaa sasa kusoma maoni yenu enyi Great Thinkers wa JamiiForums ambao nawakubali mno kwa usomi, uchakataji wa masuala na uelewa wenu mkubwa kuliko Watanzania wote.
Alituoa ,akatuacha na watoto na mimba juu,akaondoka na thaman zote za ndani ,hakuacha hata mia.leo hii kafiwa naomboleza,may be nataka kuolewa tena
 
1. Umbumbu
2. Ushamba
3. Uwoga wa Kunyimwa Misaada
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
5. Unafiki
6. Kuendelea Kuukumbatia Ukoloni
7. Kutafuta Sifa za Kipuuzi

Najiandaa sasa kusoma maoni yenu enyi Great Thinkers wa JamiiForums ambao nawakubali mno kwa usomi, uchakataji wa masuala na uelewa wenu mkubwa kuliko Watanzania wote.
Mwenyenguvu ungana naye..ukishupaza shingo utavunjika bure.

Pia bila huyo bibi uhuru wa kwenye meza msingeupata.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yote tajwa ni sahihi.
Zamani mwafrika alichukuliwa utumwani Ila Sasa mwafrika anajipeleka mwenyewe utumwani😆😆
 
ni upuuzi tu wa kiwango cha lami yani mtesi wako anakufa badala ya kufurahia we unaomboleza , colonial mentality hazijatoka kabisa katika mioyo ya watu, ndiomaana Malema kawachana live, ni uzwazwa na ulimbukeni kabisa , hata huku tunakobeba boksi wanatushangaa sana yaani wanatuona mafala sana jinsi tunavyowaza na kutenda
Nyerere alifia wapi vile,zile benz za ikulu made in wapi vile,simu yako imetengenezwa wapi.
Mwafrika ni mfugo wa mzungu tu huna tofauti na mbuzi
 
1. Umbumbu
2. Ushamba
3. Uwoga wa Kunyimwa Misaada
4. Kujipendekeza ili ukiwa na Shida usaidiwe
5. Unafiki
6. Kuendelea Kuukumbatia Ukoloni
7. Kutafuta Sifa za Kipuuzi

Najiandaa sasa kusoma maoni yenu enyi Great Thinkers wa JamiiForums ambao nawakubali mno kwa usomi, uchakataji wa masuala na uelewa wenu mkubwa kuliko Watanzania wote.
Tz ni Mwanachama wa jumuiya ya Madola na aliyekufa ndie kingunge wa hiyo jumuiya so lazima tuomboleze kifo cha Lady wetu.
Namba 6 inatuhusu
 
Back
Top Bottom