Unadhani watani watadondosha point kwa timu zipi?

Unadhani watani watadondosha point kwa timu zipi?

Mpaka sasa mechi aliyopaswa kupoteza yanga ni Ile na namungo fc lakini bahati iliyoje muamala ulisoma kwa wakati, ile meseji ya "imethibitishwa" ilionekana kwa wakati na refa akafunika, tushukuru kwa hilo lasivyo lilikua linakufa jitu siku ile.
Mbona nyie hamkuwafunga mnataka Namungo awafanyie kazi
 
Unajua inakua ngumu kutabiri kutokana na namna ambavyo watu wamejizatiti kuchukua ubingwa hata kwa kukiuka miiko.

Mechi ya yanga kupoteza ilikua ni ile aliyocheza na Namungo ila kwakua wameweka nguvu nje ya uwanja unakuta inakuwa rahisi kwao kutofungwa.

Na bora wangeishia kujipambania wao lakini wana diriki hadi kuhonga timu pinzani zinazocheza na simba ilimradi tu kumdidimiza simba kwasababu ndio club inayowatishia kwenye kunyakua ubingwa.
Nadhan hata sura yako inafanana na kinyesi ulichokikunya hapa.. hv nyie mntaka hili kombe limekuwa la mamaenu..? Tulishawaambia mwsho ni msimu uliopita.. kolo nyie
 
Mimi ninachowapendea yanga Ni watu wa kujiamin Sana hasa mwanzo wa ligi ,wataongea kila neno kwamba hakuna wa kuwazuia.
Katikati ya msimu wakizidiwa point hata moja tu na Simba wanahamisha topic na mashambuliz yanahamia rasmi kwa karia na tff[emoji23][emoji23] Wana yanga Ni sawa na fans wa Chelsea wa msimu huu.

Siwabez Coz Yanga msimu huu Wana kikosi kizuri japo kipo finyu Sana ,wakat Simba Wana kikosi kipana lakin kisicho na wachezaji wakutisha Kama yanga.

Karata IPO hapa Nan anaweza beba ndoo Ni kwenye hili dirisha dogo , Yanga wakiongeza watu wa maana na kuproon wasio na umuhimu ili kuongeza rotation ya wachezaj ubingwa utanukia kwao lakin Kama wataendelea kuwategemea aucho ,bangala ,fei na moloko bac wanaweza kata upepo huko mbelen , Kwa upande wa Simba ili watetee ubingwa wao wanapaswa waproon wachezaj Kama watatu au wanne wa kimataifa na kuleta wenye makali kuliko hao watakaondoka maana kwasasa pale Simba hakuna mchezaj wa kuamua game ngumu wote wanabahatisha tu yaan kiwango Chao Ni average Sana , wasipofanya Ivo Sion ubingwa kwao mwaka huu.
Conclusion :Simba na yanga yoyote anaweza kuwa bingwa huu msimu .
 
Ivi Bado Simba Wanaamini Watakuwa Mabingwa Tena...Kuna Vitu Vingine Vinafurahisha Sana [emoji41]
 
Wanadanganyana Kwamba Yanga Atarudia Makosa Kama Ya Msimu Uliopita..Huu Moto Hakuna Kima Atakayeuzima Saiv Tutatembeza Vipigo Mpk Mwisho Maana Kuna Watu Wamepiga Sana Kelele Baada Ya Kupata Sare...
 
Wanadanganyana Kwamba Yanga Atarudia Makosa Kama Ya Msimu Uliopita..Huu Moto Hakuna Kima Atakayeuzima Saiv Tutatembeza Vipigo Mpk Mwisho Maana Kuna Watu Wamepiga Sana Kelele Baada Ya Kupata Sare...
Walikomaa kupata sare mpaka wameugua
 
Mimi ninachowapendea yanga Ni watu wa kujiamin Sana hasa mwanzo wa ligi ,wataongea kila neno kwamba hakuna wa kuwazuia.
Katikati ya msimu wakizidiwa point hata moja tu na Simba wanahamisha topic na mashambuliz yanahamia rasmi kwa karia na tff[emoji23][emoji23] Wana yanga Ni sawa na fans wa Chelsea wa msimu huu.

Siwabez Coz Yanga msimu huu Wana kikosi kizuri japo kipo finyu Sana ,wakat Simba Wana kikosi kipana lakin kisicho na wachezaji wakutisha Kama yanga.

Karata IPO hapa Nan anaweza beba ndoo Ni kwenye hili dirisha dogo , Yanga wakiongeza watu wa maana na kuproon wasio na umuhimu ili kuongeza rotation ya wachezaj ubingwa utanukia kwao lakin Kama wataendelea kuwategemea aucho ,bangala ,fei na moloko bac wanaweza kata upepo huko mbelen , Kwa upande wa Simba ili watetee ubingwa wao wanapaswa waproon wachezaj Kama watatu au wanne wa kimataifa na kuleta wenye makali kuliko hao watakaondoka maana kwasasa pale Simba hakuna mchezaj wa kuamua game ngumu wote wanabahatisha tu yaan kiwango Chao Ni average Sana , wasipofanya Ivo Sion ubingwa kwao mwaka huu.
Conclusion :Simba na yanga yoyote anaweza kuwa bingwa huu msimu .
kuna wewe shabiki wa mpira halafu kuna viazi wa mpira 😅😅
 
Wanadanganyana Kwamba Yanga Atarudia Makosa Kama Ya Msimu Uliopita..Huu Moto Hakuna Kima Atakayeuzima Saiv Tutatembeza Vipigo Mpk Mwisho Maana Kuna Watu Wamepiga Sana Kelele Baada Ya Kupata Sare...
Haya maneno ndio yanawafanya kila msimu muangukie pua, mpira hauchezwi mdomon ,alafu wewe sie unaecheza uwanjan Zaid Ni kelele tu.
Timu yoyote inaweza kuwa bingwa usijiamini Sana kuwa Yanga Ni Bingwa huu msimu ,vile vile Simba wasijiamin kuwa watakua mabingwa.

Ni Ajabu Sana shabik unaweka ulazima kuwa lazima iwe ,ndio nyie mnajiua au kufa kwa pressure za kujitakia kisa kuamin Sana Jambo fulani.

Mpira Ni dakika tisin tu na mahesab mwisho wa msimu ,kuongoza kwa muda lig isikufanye ujione umemaliza .
Nenda Epl Chelsea nao walikua na Tambo Kama hiz hiz saiz anaachwa point sita na man city mtaan kumepoa balaaa.
Arsenal alikua nafasi ya kumi saiz anacheza nafas ya nne .

Mpira hauko Ivo ,unapanga hili uwanjan linatokea hili,wale wachezaj sio majin Ni watu Kuna muda watafanya makosa na kuadhibiwa pia Kuna muda watakua fit.

Tambo Kama hiz zinafaa Sana pale ligi ikiwa angalau imebaki mech tano tano alafu mpinzan wako ukiwa umemwacha walau point hata 7, lakin michezo nane tu Kati ya 32 ndio uje kijiaminisha kias hiki kweli!!!

Mimi najipa muda Kwanza bingwa ataanza kuonekana walau mzunguko wa pil katikat huko yaan zikiwa zimepigwa hata mechi 25 huko hapo angalau tutaanza kuona dalili lakin kwasasa bado Sana kutamba Sana kias hicho maana yoyote anaweza kuwa bingwa na mechi zinaruhusu kwa idad kwa kila timu.
 
Mimi ninachowapendea yanga Ni watu wa kujiamin Sana hasa mwanzo wa ligi ,wataongea kila neno kwamba hakuna wa kuwazuia.
Katikati ya msimu wakizidiwa point hata moja tu na Simba wanahamisha topic na mashambuliz yanahamia rasmi kwa karia na tff[emoji23][emoji23] Wana yanga Ni sawa na fans wa Chelsea wa msimu huu.

Siwabez Coz Yanga msimu huu Wana kikosi kizuri japo kipo finyu Sana ,wakat Simba Wana kikosi kipana lakin kisicho na wachezaji wakutisha Kama yanga.

Karata IPO hapa Nan anaweza beba ndoo Ni kwenye hili dirisha dogo , Yanga wakiongeza watu wa maana na kuproon wasio na umuhimu ili kuongeza rotation ya wachezaj ubingwa utanukia kwao lakin Kama wataendelea kuwategemea aucho ,bangala ,fei na moloko bac wanaweza kata upepo huko mbelen , Kwa upande wa Simba ili watetee ubingwa wao wanapaswa waproon wachezaj Kama watatu au wanne wa kimataifa na kuleta wenye makali kuliko hao watakaondoka maana kwasasa pale Simba hakuna mchezaj wa kuamua game ngumu wote wanabahatisha tu yaan kiwango Chao Ni average Sana , wasipofanya Ivo Sion ubingwa kwao mwaka huu.
Conclusion :Simba na yanga yoyote anaweza kuwa bingwa huu msimu .
Umeeleza vizuri sana
 
Mimi ninachowapendea yanga Ni watu wa kujiamin Sana hasa mwanzo wa ligi ,wataongea kila neno kwamba hakuna wa kuwazuia.
Katikati ya msimu wakizidiwa point hata moja tu na Simba wanahamisha topic na mashambuliz yanahamia rasmi kwa karia na tff[emoji23][emoji23] Wana yanga Ni sawa na fans wa Chelsea wa msimu huu.

Siwabez Coz Yanga msimu huu Wana kikosi kizuri japo kipo finyu Sana ,wakat Simba Wana kikosi kipana lakin kisicho na wachezaji wakutisha Kama yanga.

Karata IPO hapa Nan anaweza beba ndoo Ni kwenye hili dirisha dogo , Yanga wakiongeza watu wa maana na kuproon wasio na umuhimu ili kuongeza rotation ya wachezaj ubingwa utanukia kwao lakin Kama wataendelea kuwategemea aucho ,bangala ,fei na moloko bac wanaweza kata upepo huko mbelen , Kwa upande wa Simba ili watetee ubingwa wao wanapaswa waproon wachezaj Kama watatu au wanne wa kimataifa na kuleta wenye makali kuliko hao watakaondoka maana kwasasa pale Simba hakuna mchezaj wa kuamua game ngumu wote wanabahatisha tu yaan kiwango Chao Ni average Sana , wasipofanya Ivo Sion ubingwa kwao mwaka huu.
Conclusion :Simba na yanga yoyote anaweza kuwa bingwa huu msimu .
Mkuu wewe ni shabiki wa mpira sio shabiki wa timu. Umeongea ukweli mtupu.
 
Mimi ninachowapendea yanga Ni watu wa kujiamin Sana hasa mwanzo wa ligi ,wataongea kila neno kwamba hakuna wa kuwazuia.
Katikati ya msimu wakizidiwa point hata moja tu na Simba wanahamisha topic na mashambuliz yanahamia rasmi kwa karia na tff[emoji23][emoji23] Wana yanga Ni sawa na fans wa Chelsea wa msimu huu.

Siwabez Coz Yanga msimu huu Wana kikosi kizuri japo kipo finyu Sana ,wakat Simba Wana kikosi kipana lakin kisicho na wachezaji wakutisha Kama yanga.

Karata IPO hapa Nan anaweza beba ndoo Ni kwenye hili dirisha dogo , Yanga wakiongeza watu wa maana na kuproon wasio na umuhimu ili kuongeza rotation ya wachezaj ubingwa utanukia kwao lakin Kama wataendelea kuwategemea aucho ,bangala ,fei na moloko bac wanaweza kata upepo huko mbelen , Kwa upande wa Simba ili watetee ubingwa wao wanapaswa waproon wachezaj Kama watatu au wanne wa kimataifa na kuleta wenye makali kuliko hao watakaondoka maana kwasasa pale Simba hakuna mchezaj wa kuamua game ngumu wote wanabahatisha tu yaan kiwango Chao Ni average Sana , wasipofanya Ivo Sion ubingwa kwao mwaka huu.
Conclusion :Simba na yanga yoyote anaweza kuwa bingwa huu msimu .
Nawakilisha,
 
Back
Top Bottom