Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda uachane na kazi ya hapo LumumbaTajiri wa 50, baada ya miaka 10 nitakua kwenye top 5.
Mkuu una hangover? Lumumba ndio wapi?Labda uachane na kazi ya hapo Lumumba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukitumia fact ya uchumi kwamba kwa average kila mtanzanja anaishi chini ya dolla na mimi kwa siku natumia average ya sh 5000 ambayo ni sawa na dolla 2 kwahio mimi nawazidi zaidi ya robo tatu ya watanzania .
Hapo nna weza kuwa tajiri wa milioni kumi nikiwazidi watu mil 40...
Mikono juu kwa tajiri wa mil 10 anaewazidi watu mil 40[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]