Daaaah nikisikiaga hizi mada za Ukimwi sijui kwenda kupima huwa nakosa amani kabisa...njia nilizopita huko nyuma tena bila ndom nikienda kupima sikosi isee....bora nijikalie tu hadi hapo nitakapoanza kukonda
Sikuchukua wala kumuaga nesi aliyenipimaDuuh! Ata hiyo PEP hukuchukua? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikuchukua wala kumuaga nesi aliyenipima
Pole sana ndugu.. Itabidi urudi kupima baada ya miezi mitatu.. So far we chill kwanza .. Ukipata leo huwez pima vikaonekana leo leo..Kichwa cha habari chajieleza, kuna jamaa yetu apa ofisini juzi kati kama wiki tatu hivi zmepita kamgegeda mwanamke muathrika, sasa ameenda kupima kaambiwa yu salama, sasa hivi ni kweli eti anaeza kutoka salama?
Hzo PEP hawatoi kama peremendi mkuu,mpaka uende na uliedinyana nae na wajiridhishe ni muathirika ndowanakuanzishia hyo doziArudi kupima tena after 3 months,though im strongly conviced wewe ndo huyo jamaa wa ofisini.Kapime tena after three months ,pia ulitakiwa baada ya masaa 72 ungeanza dozi ile ya kuzuia maambukizi kama umefanya ngono kwenye mazingira hatarishi
Sifanyi makosa tena na nimebadilika.Je kwa sasa bado unafanya hayo makosa?
Ni jamaa au ni wewe shekhe,manake uko detailed,..et juzi kat kama wik 3 hiv,..hahahah[emoji23][emoji23]Kichwa cha habari chajieleza, kuna jamaa yetu apa ofisini juzi kati kama wiki tatu hivi zmepita kamgegeda mwanamke muathrika, sasa ameenda kupima kaambiwa yu salama, sasa hivi ni kweli eti anaeza kutoka salama?
Kipimo kipi mkuuInategemea ametumia kipimo gan. Kuna vipomo vingine wiki tu kma umeambukizwa VVU vinaonekana
Nini hutokea wiki mbili -miezi miwili bada tu ya kuingiwa na HIVKichwa cha habari chajieleza, kuna jamaa yetu apa ofisini juzi kati kama wiki tatu hivi zmepita kamgegeda mwanamke muathrika, sasa ameenda kupima kaambiwa yu salama, sasa hivi ni kweli eti anaeza kutoka salama?
teh teh teh,twende tukapime tukiwa njiani tupeane moyo Tu hakuna namnaDaaaah nikisikiaga hizi mada za Ukimwi sijui kwenda kupima huwa nakosa amani kabisa...njia nilizopita huko nyuma tena bila ndom nikienda kupima sikosi isee....bora nijikalie tu hadi hapo nitakapoanza kukonda
Hivi mkuu we ni jinsia gani?Mwanaume anatoka salama kabisa, tena hata akifanya na muathirika mara kadhaa. Tatizo ni kwa wanawake, K hazichelewi kuchubuka.