Unaeza fanya mapenzi na mtu mwenye V.V.U ukatoka salama?

Unaeza fanya mapenzi na mtu mwenye V.V.U ukatoka salama?

Mimi ndo nishaendaga kama mara mbili hivi na kupiga U-turn mlangoni [emoji41][emoji41][emoji41]
Tupo wengi, kuna siku nilichapa kazi Fulani kumbe kondom ishapasuka mda bolo limevaa ki top tuu tunasikilizia utamu. Kuja kumaliza nikakuta ime burst, kwanza pombe yote iliisha ikabaki harufu tuu niliyoenda nayo mwananyamala kufuata PEP asubuhi, kufika nikapima kwanza sasa wakati nnasubiria majibu nikawa nnakumbuka matukio mabaya zaidi yaliyowahi kutokea huko nyuma zaidi ya hili la kinga kupasuka, nilichofanya ni kunyanyuka, washa gari nikafuata supu nguruko na kwenda kulala nyumbani mpaka Leo nna amani ya roho
 
Tupo wengi, kuna siku nilichapa kazi Fulani kumbe kondom ishapasuka mda bolo limevaa ki top tuu tunasikilizia utamu. Kuja kumaliza nikakuta ime burst, kwanza pombe yote iliisha ikabaki harufu tuu niliyoenda nayo mwananyamala kufuata PEP asubuhi, kufika nikapima kwanza sasa wakati nnasubiria majibu nikawa nnakumbuka matukio mabaya zaidi yaliyowahi kutokea huko nyuma zaidi ya hili la kinga kupasuka, nilichofanya ni kunyanyuka, washa gari nikafuata supu nguruko na kwenda kulala nyumbani mpaka Leo nna amani ya roho
Duuh! Ata hiyo PEP hukuchukua? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kichwa cha habari chajieleza, kuna jamaa yetu apa ofisini juzi kati kama wiki tatu hivi zmepita kamgegeda mwanamke muathrika, sasa ameenda kupima kaambiwa yu salama, sasa hivi ni kweli eti anaeza kutoka salama?
Muulize Mungu wako
 
Ukimwi Ni Upungufu Wa kinga Mwilini (UKIMWI)....

Sasa wewe MTU Mwenye Upungufu wa kinga mwilini ukijamiana nae atakuathiri nini!!!... Vitu vingine tuwe tunatumia akili za asili na sio kutawaliwa na Mawazo ya wenye viwanda vya madawa duniani .....


Ukimwi Upo Tangu Enzi Za wakina Yesu sasa wewe unaogopa nini.... Kila binadamu ana ukimwi .. Teja wa madawa ya kulevya Ana Ukimwi Kwa kiasi kikubwa kwa sababu Madawa ya kulevya hudhoofisha sana Kinga Mwili.

MTU asiekula lishe nzuri hata kama ni mtoto mdogo Ukimwi kama kinga za Mwili huwa ni chini kwa kiasi kikubwa.

Sasa mtoto ambae Kinga zake za Mwili zipo chini kwa kukosa lishe yani Mwenye Upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) ukiwekewa damu yake itakuathiri nini!!!!!

Ubaya ni kwamba huu ugonjwa ni ugonjwa usiokuwepo Bali wamefanikiwa kuujengea Picha vichwani mwetu kwa sababu zao za kibiashara...


Kuna Tofauti ya Virusi Vinavyosabavisha ukimwi ( V.V.U) na Upungufu Wa kinga Mwilini (UKIMWI)..... Ukimwi kila MTU anao ila hakuna VVU .... So enjoy your life acha kuumiza kichwa chako kwa vitu visivyokuwepo
 
Bado mda asubilie mpaka miez mitatu ndiyo atajijuwa kama ni + au -
Sema akiona ndani ya mwez na nusu au miez miwili amepoteza uzto wake kwa 10% ujue hapo kuna dalili za yeye kuwa +
Sio dalili tosha. Jamaq mwenyewe mla kitimoto hawezi pungua huo uzito. Cha msingi akacheki tena after 3 months.
 
Kichwa cha habari chajieleza, kuna jamaa yetu apa ofisini juzi kati kama wiki tatu hivi zmepita kamgegeda mwanamke muathrika, sasa ameenda kupima kaambiwa yu salama, sasa hivi ni kweli eti anaeza kutoka salama?


!
!
Ndio Tena sana. Imenitokea na alikuwa kama mke wangu tu for two or three years alipopima akajikuta anao mimi kupima sina
 
Hivi yale majimaji hua yanakua na virus na yenyewe?
ukimwi unaambukizwa through blood only maji maji yale hayana virus labda mkisuguana vzr tu mpaka mkachubuka mkaruhusu contamination of blood
same kumla denda manz as long midomon hamna michubuko hamuez kuambukizana
 
Ukimwi Ni Upungufu Wa kinga Mwilini (UKIMWI)....

Sasa wewe MTU Mwenye Upungufu wa kinga mwilini ukijamiana nae atakuathiri nini!!!... Vitu vingine tuwe tunatumia akili za asili na sio kutawaliwa na Mawazo ya wenye viwanda vya madawa duniani .....


Ukimwi Upo Tangu Enzi Za wakina Yesu sasa wewe unaogopa nini.... Kila binadamu ana ukimwi .. Teja wa madawa ya kulevya Ana Ukimwi Kwa kiasi kikubwa kwa sababu Madawa ya kulevya hudhoofisha sana Kinga Mwili.

MTU asiekula lishe nzuri hata kama ni mtoto mdogo Ukimwi kama kinga za Mwili huwa ni chini kwa kiasi kikubwa.

Sasa mtoto ambae Kinga zake za Mwili zipo chini kwa kukosa lishe yani Mwenye Upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) ukiwekewa damu yake itakuathiri nini!!!!!

Ubaya ni kwamba huu ugonjwa ni ugonjwa usiokuwepo Bali wamefanikiwa kuujengea Picha vichwani mwetu kwa sababu zao za kibiashara...


Kuna Tofauti ya Virusi Vinavyosabavisha ukimwi ( V.V.U) na Upungufu Wa kinga Mwilini (UKIMWI)..... Ukimwi kila MTU anao ila hakuna VVU .... So enjoy your life acha kuumiza kichwa chako kwa vitu visivyokuwepo
Kwani muuliza swali aliuliza juu ya mtu aliefanya ngono na mtu mwenye UKIMWI au VVU?
 
Back
Top Bottom