Ni nani huyu?
Minyimbo yake yote ya kulialia ya aina 1 halafu analeta nyodo
Diamond yule Mwigizaji wa Ze Comedi?Bodigad wa Daimond
Diamond yule Mwigizaji wa Ze Comedi?
Minyimbo yake yote ya kulialia ya aina 1 halafu analeta nyodo
Bodigad wa Daimond
Ni nani huyu?
Asante kwa hilo, mkuu umewahi ona show za kidumu jama ni moto wa kuotea mbali anapiga vyombo karibia vyoteHuyo jamaa kwenye red siyo wa Kenya bali ni kutoka Burundi!
Staa wa muziki wa Kenya anaetajwa kuingia kwenye TOP 5 ya wasanii matajiri wa muziki wa kizazi kipya Afrika Mashariki huku orodha hiyo ikiwa nawatu wengine kama Jose Chameleone. Imefahamika kwamba Jaguar alikataa kujakwenye tuzo za Kili 2014 alizokua nominated baada ya waandaaji kushindwa kufikia masharti aliyowapa na badala yake akaamua kwenda kuhudhuria harusi ya producer wa DNA aitwae Refigah.
Jaguar alitaka atumiwe ticket ya ndege yabusiness class, alitaka achukuliwe chumba kwenye hoteli ya nyota tano, apewe ulinzi popote atakapokwenda na vilevile apewe gari zuri la kifahari la kutembelea. Kwenye sharti jingine Jaguar alitoa option kwa waandaaji na kuwaambia kama wangeshindwa kumpa ticket ya ndege basi walipaswa kuweka mafuta ili aje na ndege yake ndogo anayomiliki.
Alipohojiwa na ghafla .co.ke Jaguar alisema asingeweza kuhudhuria tukio ambalo asingepewa heshima aliyoitaka kama ambavyo huwa anaipata anapokwenda kwenye nchi nyingine katika matukio kama haya ndio maana ilikua bora ahudhurie harusi nakuongeza kwamba nitahudhuria iwapo wataanza kuwa-treat vizuri wasanii wa KenyaTuzo za KILI 2014 zilihudhuriwa na mastaa wawili wa Kenya ambao ni Wyre na Amani huku Uganda ikiwakilishwa na Jose Chameleone ambae ndio alitangazwa mshindi kwenye kipengele cha Afrika Mashariki.
Asante kwa hilo, mkuu umewahi ona show za kidumu jama ni moto wa kuotea mbali anapiga vyombo karibia vyote
Hata mimi huwa najiuliza? Halafu ndio mmoja kati ya wanamuziki matajiri wa East Africa, how did that happen?
Unga. Ni siri ya wazi huku Kenya
Mkuu inamaana anafanya biashara ya sembe?
Bado hajafika viwango vya Diamond.Nyimbo mbili tu ndo zinampa kiburi.