Mbwa ili wawe wakali fuga zaidi YA mmoja ILO ndilo suluhisho la mbwa wasio wakali... Mimi ninao watatu mmoja ni 8yrs, 4yrs na mwingine ni 4 monthly.... Huyu mkubwa abweki ovyo ni mzeee wa silent killer na akibweka sauti yake mzito na kuna jambo hapo... Huyu wa kati yeye ni kelele mingi akisikia geti limeguswa mtu kasema hodi yeye ni kubweka ni mkorofi by nature huyu hata akiona kunguru katua juu YA banda ni kubweka tu.... Huyu mdogo ni mzeee wa mishe mishe Usiku alali yeye ni kuzunguka akiona paka anabweka, upepo ukitingisha mauwa ni kubweka, mkisahau nguo viatu vya mgeni asubuhi mnakuta matambara... Ukali wa mbwa Mara nyingi ni nature wazazi wake na kujiamini kwa mbwa mwenyewe. Mm huyu mbwa wangu mkubw atishiki ukiinama uokote jiwe akimbii muda Wote mkia upo juuu ajui kufyta Sasa hole wako ukimbie.... Unapotaka kufuga mbwa usinunue mbw ni mbw uliza historia YA wazaz kama walikuw wakali wasikivu, awanyi kweny banda hovyo hovyo.Kuna mbwa wanatabia YA kulia wakiw Kwenye banda Mara nying hawa uwa mbwa Koko awa ndio inabidi muwaboost na bangi