Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Unaonekana mtamu sana, Mpaka unajua jamaa wanavyofeel wakipata utamu wako.Jamani kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana mtamu sana, Mpaka unajua jamaa wanavyofeel wakipata utamu wako.Jamani kwanini?
Kwasababu naionea wivu k yangu😂😂 hamna cha utamu ni km ukichapwa fimbo zile za kishule shule vile inafeel ndivyo mi nafeel nahisi inaonewaUnaonekana mtamu sana, Mpaka unajua jamaa wanavyofeel wakipata utamu wako.
Binafsi nikipatwa na hali kama hiyo huwa najitenga nasikiliza music kweny cm nikiwa kweny utulivu. Au nakaaga na wale watu waliotengwa na jamii na kuwaona si chochote kama Mateja au wale waokota makopo napiga nao stori sana, Nawanunulia Fegi wanani naanza kuwachimba sana kwa mambo mengii. Nikitoka hapo akili inakuwa sawa
Mkuu tunafanana kama nipo pahala huwa natembea umbali mrefu sana.Binafsi nikipatwa na hali kama hiyo huwa najitenga nasikiliza music kweny cm nikiwa kweny utulivu. Au nakaaga na wale watu waliotengwa na jamii na kuwaona si chochote kama Mateja au wale waokota makopo napiga nao stori sana, Nawanunulia Fegi wanani naanza kuwachimba sana kwa mambo mengii. Nikitoka hapo akili inakuwa sawa
Siitaki hiyo na imepita haitorudi tena,now days najiepusha kupatwa hasira ovyo ovyo na ikitokea natafuta kupunga upepo,, maisha yanakuwa mazuri na mepesiNdio inatokea ile kimasihara, Better ulikimbia iyo
Kama uko mkoa wenye baharia unaweza.kutembelea uko unasimama ule upepo na mawimbi unaweza piga kelele unavyotaka na kutoa hasira zoteSiitaki hiyo na imepita haitorudi tena,now days najiepusha kupatwa hasira ovyo ovyo na ikitokea natafuta kupunga upepo,, maisha yanakuwa mazuri na mepesi
Muhimu Ni kujua kutawala mihemko yako tu,Kama uko mkoa wenye baharia unaweza.kutembelea uko unasimama ule upepo na mawimbi unaweza piga kelele unavyotaka na kutoa hasira zote
Mara nyingine hasira zinatusababishia kufanya vitu vya ajabu sana.
Mimi nikitawadha na kuchukua udhu na kusali, hata ikiwa ninahasira ya kuuwa mtu huwa inashuka na ninapoa kabisaBinafsi Kama sina hela nasubirigi tu ziishe ila nikiwa na hela nanunua msosi mzuri nakula nashiba( ile shibe hadi ya kulala).