Unafanyaga nini kupunguza hasira zako?

Unafanyaga nini kupunguza hasira zako?

Binafsi nikipatwa na hali kama hiyo huwa najitenga nasikiliza music kweny cm nikiwa kweny utulivu. Au nakaaga na wale watu waliotengwa na jamii na kuwaona si chochote kama Mateja au wale waokota makopo napiga nao stori sana, Nawanunulia Fegi wanani naanza kuwachimba sana kwa mambo mengii. Nikitoka hapo akili inakuwa sawa

This works aisee
 
Hakuna kitu kinaniuma ktk mwili km k yangu, napenda kuliwa ila naona km inafaidiwa sana, Sasa ilikuwa hasira zikipanda maana yake mzengeaji aliye karibu anaokota dodo maniner
Ndio inatokea ile kimasihara, Better ulikimbia iyo
 
Binafsi nikipatwa na hali kama hiyo huwa najitenga nasikiliza music kweny cm nikiwa kweny utulivu. Au nakaaga na wale watu waliotengwa na jamii na kuwaona si chochote kama Mateja au wale waokota makopo napiga nao stori sana, Nawanunulia Fegi wanani naanza kuwachimba sana kwa mambo mengii. Nikitoka hapo akili inakuwa sawa
Mkuu tunafanana kama nipo pahala huwa natembea umbali mrefu sana.
Kuna kipindi nilikutana na kundi la watoto huko njiani aisee nilicheka sana na nikajifunza kitu kikubwa sana.
Imekuwa desturi sasa tena kubwa sana..Music plus walking..
 
Kwasababu naionea wivu k yangu[emoji23][emoji23] hamna cha utamu ni km ukichapwa fimbo zile za kishule shule vile inafeel ndivyo mi nafeel nahisi inaonewa
Na ukute mabazazi wanapaka mkongo, apo lazima uionee huruma aysee.
 
Ndio inatokea ile kimasihara, Better ulikimbia iyo
Siitaki hiyo na imepita haitorudi tena,now days najiepusha kupatwa hasira ovyo ovyo na ikitokea natafuta kupunga upepo,, maisha yanakuwa mazuri na mepesi
 
Siitaki hiyo na imepita haitorudi tena,now days najiepusha kupatwa hasira ovyo ovyo na ikitokea natafuta kupunga upepo,, maisha yanakuwa mazuri na mepesi
Kama uko mkoa wenye baharia unaweza.kutembelea uko unasimama ule upepo na mawimbi unaweza piga kelele unavyotaka na kutoa hasira zote

Mara nyingine hasira zinatusababishia kufanya vitu vya ajabu sana.
 
Muhinu
Kama uko mkoa wenye baharia unaweza.kutembelea uko unasimama ule upepo na mawimbi unaweza piga kelele unavyotaka na kutoa hasira zote

Mara nyingine hasira zinatusababishia kufanya vitu vya ajabu sana.
Muhimu Ni kujua kutawala mihemko yako tu,
 
Binafsi Kama sina hela nasubirigi tu ziishe ila nikiwa na hela nanunua msosi mzuri nakula nashiba( ile shibe hadi ya kulala).
Mimi nikitawadha na kuchukua udhu na kusali, hata ikiwa ninahasira ya kuuwa mtu huwa inashuka na ninapoa kabisa
 
Back
Top Bottom