Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka reply hv bahati nimekuta reply yako babe.Inaonekana mkeo anashinda nyumbani muda wote, jaribu kumtafutia kitu cha kumuweka busy
Soma uzi vizuri, [emoji3]
mke wake ana ujuzi wa umbea, kujikweza ,na kutoa simulizi za siri based on true story za maisha yao ...
Hziz tabia haukuziona wakati unamchumbia...?
Ofisi za hiyo App zimevunjwa, labda a work from home?Amtaftie kazi mange kimambi app
Uhusiano wa muda mfupi hafi mdoa , ndio inakuwa vigumu kujua tabia za mtu, magokea yake una ingia kwenye ndoa na mtu anayepretendMkiwa kwenye uchumba wanaficha makucha hata kujamba mbele yako hawezi, mkishaoana unashangaa mmejifunika shuka hadi kichwani mara kajamba halafu anacheka ni watu basi
Na ni Ex wangu pia huyu. Hafainahisi kama vile umemuoa Ex wangu.
Kama anaitwa Aisha basi ndiye huyo!!.
Ni kama kumuomba unyumba tu.Unambembeleza huku shida ipo kwake.Unajua kumkalisha mtu mzima na kumuonya mambo ya kitoto hii kitu inahitaji uwe na kipaji maalum [emoji1][emoji1][emoji1]
Ni kama kumuomba unyumba tu.Unambembeleza huku shida ipo kwakeUnajua kumkalisha mtu mzima na kumuonya mambo ya kitoto hii kitu inahitaji uwe na kipaji maalum [emoji1][emoji1][emoji1]
Kuishi na mtu mwenye magego yake yote yahitaji akili za ziada.Laa sivyo unaweza kuonekana una gubu tu.Wangu yeye tukirudi nyumbani jioni kila siku ana habari za watu mpya, sijui huko kazini hua anafanya kazi sangapi? Unaangalia mpira yupo pembeni mara zinaanza story za mama nani kafanya hiki yan mpaka game iishe bahati mbaya umefungwa unakua hoi kweri kweri
Duh! Ampige chini Mkewe,alafu hilo pengo utaliziba wwe!?piga chini huyo....
Ofisi za hiyo App zimevunjwa, labda a work from home?
Mkeo lazma awe anashabikia Yanga tu 😅 pole sana mkuu ndio tabia zao hao mashabiki wa utopolo😅!Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani
hata mimi fresh tu, wanawake mbona tupo wengi....Duh! Ampige chini Mkewe,alafu hilo pengo utaliziba wwe!?
Hahahahahahaha.Mtafutie kikundi cha ngoma uwalipe pesa halafu waje hapo kwako siku moja ili kumsuta.
Mtafutie kikundi cha ngoma uwalipe pesa halafu waje hapo kwako siku moja ili kumsuta.
Sawa Wanawake mko wengi,sema Wanawake wenye akili wako wachache sana,tena hata kwa tochi bado unaweza usiwaone hadi umshirikishe Mungu wako!!hata mimi fresh tu, wanawake mbona tupo wengi....