Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Sasa upike na ulie humo humo unakuwa kama homosepeansi;πWe hakikisha una sufuria zako 2 tu.
Moja ya mboga moja ya ugali. Ukinaliza kupika unakula humo humo.
Kwaio ukitaka kupika tena lazma uyaoshe. Automatically unakua umeondoa jam ya kuosha vyombo.
Sufuria la ugali ndo litatumika kuchemsha hadi chai. Unaacha ipoe unainywa from sufuria kistaarabu kabisa.
Unamshauri mtu gadgets za jikoni za 150,000 wakati chakula cha 2,500/- anajifikiria?Nunua vitu digitali ambavyo vinaweza kukurahisishia kupika.
Mfano kuna ma-pressure cooker ya auto ambayo unaweza hadi kuya set muda gani yaanze kupika
Badala ya kuset kiwango cha moto kuivisha wali kwenye gesi ukiwa na pressure cooker maana yake hiyo kazi inafanyika automatiki.
Swala la kuosha vyombo zipo dish washer ambazo ni portable zinauzwa around 150K
Haya maisha niliyaishi mwaka 2013-2016 nilisave sana hela πππWe hakikisha una sufuria zako 2 tu.
Moja ya mboga moja ya ugali. Ukinaliza kupika unakula humo humo.
Kwaio ukitaka kupika tena lazma uyaoshe. Automatically unakua umeondoa jam ya kuosha vyombo.
Sufuria la ugali ndo litatumika kuchemsha hadi chai. Unaacha ipoe unainywa from sufuria kistaarabu kabisa.
Hii mbona wengi wangetajirika ππ kama unakula mlo mmoja unakazia na maji siku 3 ππππWee bwana lunch ya serena moja husikii njaa siku tatu...wee ni kunywa maji tuu.
Mnaposema ukipika mwenyewe gharama haipungui muweke wazi mnakula migahawa ya chakula cha 1500-2500. Nikupe mfano mgahawa ninanokula wali au ugali nyama maharage na mbogamboga ni 5,000 jumatatu hadi jumatano, alhamisi kuna pilau 7,000 na ijumaa kuna biriani 8,000 hapo hujaongeza na maji au pepsi baridi.Ukipika mwenyewe siyo kwamba gharama inapungua hata uwe unakula vitu basic tu ila kama wengine walivyosema kwa kiasi kikubwa utakuwa unakula vyakula fresh. Huko migahawani mazingira siyo safi na wapikaji siyo wasafi ni kwamba huwa tunafumba macho tu vyakula vipite kwenye koo.
Kuhusu kuosha vyombo, anza kuosha wakati unapika. Chakula kikiiva hakikisha vyombo vyote ulivyotumia kupika tayari ni safi inakupunguzia mzigo baadae. Ukimaliza kula utajikuja umebaki kuosha vitu vichache sana ulivyotumia kama sahani, vijiko na vikombe. Osha hivyo fasta kabla uvivu haujakuingia.
Wewe ndio unakula sasa acha mimi nalalamika kisa 2,000 π€π€Mnaposema ukipika mwenyewe gharama haipungui muweke wazi mnakula migahawa ya chakula cha 1500-2500. Nikupe mfano mgahawa ninanokula wali au ugali nyama maharage na mbogamboga ni 5,000 jumatatu hadi jumatano, alhamisi kuna pilau 7,000 na ijumaa kuna biriani 8,000 hapo hujaongeza na maji au pepsi baridi.
Hayo mengine utayafanyaje unanjaa πAcha kula,fanya mambo mengine.
2013 kabla sijaanza kujipikia nilikuwa natumia kwa mwezi 30,000 nampa mama lishe hiyo hela nakula asubuhi mchana na jioni sasa hivi hii hela hata chai tu haitoshi kwa mwezi maisha yamebadilika sana kiasi kwamba pesa kwa sasa haina thamani tena.Nilikuwaga na Chimbo langu Sumbawanga, Tulizoea kupaita Mboga Saba, yule sister alikuwa anapikia Nyumbani kwao. Kwa Tsh 3000/= tu unapata Ugali au Wali na Mboga na Kutosha. Kama ni ugali Nyama, basi utapewa na Maharage, Kisamvu, Na Dagaa. Nilipenda kulq pale milo yote Miwili. Maana ki geto geto kupika mboga zote hzo nisingeweza kutokana na ufinyu wa Muda
Hayo maisha ya levo hiyo wanaishi majambazi maana hata masela hawaishi hivoWe hakikisha una sufuria zako 2 tu.
Moja ya mboga moja ya ugali. Ukinaliza kupika unakula humo humo.
Kwaio ukitaka kupika tena lazma uyaoshe. Automatically unakua umeondoa jam ya kuosha vyombo.
Sufuria la ugali ndo litatumika kuchemsha hadi chai. Unaacha ipoe unainywa from sufuria kistaarabu kabisa.
Umegoma kupokea ushauri mkuu ππHayo maisha ya levo hiyo wanaishi majambazi maana hata masela hawaishi hivo
Sio kweli bana ulikua hosteli nn? Uaan kupika na kununua vikae sawa we bado ulikua na helaNa mwambie asidhani kupika mwenyewe ndio gharama zitapungua... Tena gharama inaweza kuwa juu zaidi..
Uzuri wa kupika mwenyewe ni ile kupata chakula chenye ladha nzuri na salama bila uchakachuzi... Ila gharama iko pale palee
Sawa ila mpaka ule moyo unashangilia, kumbuka hapo lazima itumie si chini ya bajeti ya mboga 8,000 na zaidi hapo utakuwa umeokoa matumizi au umeongeza tumizi
Sio kweli bana ulikua hosteli nn? Uaan kupika na kununua vikae sawa we bado ulikua na hela
Nimegundua hata watoa comment wanahela haha et geto kula 8000 kwa kupika siukajenge tuKwa miaka 4 sasa na mwezi mmoja nimeishi bila kujipikia nikila kwa migahawa nfanya hivi kwa maisha haya ya kutojipikia kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa sehemu moja nikatulia hii ni sababu ya mazingira yangu ya utafutaji nakaa sehemu kwa muda mfupi baadae naenda eneo jingine nikiridishe kwenye mada leo bhana nimeona naumia kwa siku natumia chai 1,000 hadi 1500 inategemea nimepita wapi siku hiyo maana sina kasumba ya kula sehemu moja nikazoeleka.
Mfano: Chakula cha mchana natumia 2,000 hadi 2500 nikijilipua sana labda 3000 siku zingine.
Sasa leo nikaenda nilikozoea wanasema chakula nilichokuwa nakula 2,000 leo wamepandisha ni elf 2500 hivyo hivyo hadi chai mpaka vyakula vingine!
Imebidi niulize hivi nyie kwanini imekuwa ghafla sana na hizi bei za vyakula wanasema vitu vimepanda bei na wanasema hata bajeti imekuja na mabadiliko ya vitu kupanda hivyo tuzoee!
Nimeishiwa nguvu ya kuendelea kusema chochote imebidi nilipie tu nijipange kununua vitu na mimi nianze kujipikilisha, na kupika ndio mvivu wa kwanza katika sekta hii ya kijipikia hasa kuosha vyombo ni mtihani kwangu siyo kwamba najiona hapana, sijui wengine wasema wanaona "aibu" hapana kitu nachokuwa nazembea nipale nimekula nimeshiba nikimaliza vyombo vinaniangalia tena yaani kikifikia hatua hii ndio naona kupika kazi bwana.
Kwa wenzangu ambao mnaishi maisha ya kigeto geto bila kupika, mna ushauri gani juu ya hili? Je, kuna njia rahisi za kupika ambazo hazihitaji jitihada kubwa au muda mwingi? Na je, ni vipi mnavyopambana na gharama hizi za juu za chakula nazungumzia wewe kwa wale ambao hampiki huku mkiendelea kuishi bila kujipikia? Naomba uzoefu na mawazo yenu.
Karibuni kwa mjadala!
Babu kwan mchele kg 5 ni bei gani? Na utatumia siku ngap haya kg 5 tuseme ni 10k kwa 2k 2k haya upo single kg 5 za 10k utakula mda gn? Nunua mafuta hata nusu lita, okay wenye friji sijui sisi machoko tunanunua vitunguu kwa jumla tunajaza unabaki unasaka hio 200 za nyanya per day maharage umenunua makavu yapo ndani kg zako za dagaa unga kg 5 1200 kg wakati huko kwa mama ntilie ugali 2000 una presha cooker yako yakuchemshia maji maharage gesi isiishe na vitu ka hizo na jiko la gesi, babu cost zitakua mwanzo tu ila huwezi compare na misosi ya kununua we unacheza labda kama unakula kg kwa siku hapo sawaNipe gharama za kupika wali, kuanzia mchele na mazaga zagaa Yote... Halafu jiko ni umeme rice cooker au gesi. Plate moja na mboga yake utatumia gharama kiasi gani!?
Ukifanya tu chai asubui 1000 mchana 2000 jioni 2000 kununua kwa mama ntilie kama unapika geto, hizo vitu umenunua unakula siku 3 hadi 4Nimegundua hata watoa comment wanahela haha et geto kula 8000 kwa kupika siukajenge tu
π bado hatujasemaKwa tunaojitafuta hivi vitu tunavisikia tu sema ikitokea nikapata pesa nitafanya hivyo π€π€
Acha ushamba siku hizi kuna vifaa vingi vinarahisisha kupika mf pressure cookerKwa miaka 4 sasa na mwezi mmoja nimeishi bila kujipikia nikila kwa migahawa nfanya hivi kwa maisha haya ya kutojipikia kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa sehemu moja nikatulia hii ni sababu ya mazingira yangu ya utafutaji nakaa sehemu kwa muda mfupi baadae naenda eneo jingine nikiridishe kwenye mada leo bhana nimeona naumia kwa siku natumia chai 1,000 hadi 1500 inategemea nimepita wapi siku hiyo maana sina kasumba ya kula sehemu moja nikazoeleka.
Mfano: Chakula cha mchana natumia 2,000 hadi 2500 nikijilipua sana labda 3000 siku zingine.
Sasa leo nikaenda nilikozoea wanasema chakula nilichokuwa nakula 2,000 leo wamepandisha ni elf 2500 hivyo hivyo hadi chai mpaka vyakula vingine!
Imebidi niulize hivi nyie kwanini imekuwa ghafla sana na hizi bei za vyakula wanasema vitu vimepanda bei na wanasema hata bajeti imekuja na mabadiliko ya vitu kupanda hivyo tuzoee!
Nimeishiwa nguvu ya kuendelea kusema chochote imebidi nilipie tu nijipange kununua vitu na mimi nianze kujipikilisha, na kupika ndio mvivu wa kwanza katika sekta hii ya kijipikia hasa kuosha vyombo ni mtihani kwangu siyo kwamba najiona hapana, sijui wengine wasema wanaona "aibu" hapana kitu nachokuwa nazembea nipale nimekula nimeshiba nikimaliza vyombo vinaniangalia tena yaani kikifikia hatua hii ndio naona kupika kazi bwana.
Kwa wenzangu ambao mnaishi maisha ya kigeto geto bila kupika, mna ushauri gani juu ya hili? Je, kuna njia rahisi za kupika ambazo hazihitaji jitihada kubwa au muda mwingi? Na je, ni vipi mnavyopambana na gharama hizi za juu za chakula nazungumzia wewe kwa wale ambao hampiki huku mkiendelea kuishi bila kujipikia? Naomba uzoefu na mawazo yenu.
Karibuni kwa mjadala!