Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Kwa mtu ambaye hana familia; kujipikia ni gharama sana, gharama in terms of both monetary and time as well; contract hicho kitengo kwa watu wengine, keep on eating to those areas you eat. Bado hizo bei ulizo zitaja ni rafiki mno kuliko kupika. Unaijua bei ya gas wewe?