Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Naingia youtube music naweka playlist yangu then nasikiliza mdogo mdogo mpaka nasinzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nipeleke.Nikupeleke mahali!?
Sawa sawa.Why don't u give a try, instead of hesitation
Vichwa vilivyokomazwa na mirungi gomba kangeta vina tabu kwi kwi kwi kwi in BENARD Membe's voice.Mi huwa naweka earphone nakusikilizaga sauti ya Yule dada aitwae baby mama anapost you tube MAMBO ya kihasarahasara ya kitandani puu puu puuu puuu in Evarist Chahali's toneTangu saa tatu najigeuza geuza hapa. Hamna hata dalili ya usingizi. Nashuhudia masaa yanakata tuu na kusikilizia kelele za mbwa wakibweka nje.
Unapokosa usingizi unatumia mbinu gani kujibembeleza hadi usinzie? Nipeni mbinu.
Asante.
.....Tutarudi asubuhi!Ndio nipeleke.
[emoji3][emoji3][emoji3]. Naomba link.Vichwa vilivyokomazwa na mirungi gomba kangeta vina tabu kwi kwi kwi kwi in BENARD Membe's voice.Mi huwa naweka earphone nakusikilizaga sauti ya Yule dada aitwae baby mama anapost you tube MAMBO ya kihasarahasara ya kitandani puu puu puuu puuu in Evarist Chahali's tone
Hata tukishinda huko na kulala turudi kesho kutwa. Nipeleke......Tutarudi asubuhi!
[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Hata tukishinda huko na kulala turudi kesho kutwa. Nipeleke.
🤣 toka nje,Hata tukishinda huko na kulala turudi kesho kutwa. Nipeleke.
🤣 toka nje,Hata tukishinda huko na kulala turudi kesho kutwa. Nipeleke.
Nimepata wazo kama hilo lakini nimekishika nikaona uvivu[emoji3][emoji3][emoji3]Mbona rahisi tu. Chukua kitabu cha Dini yako anza kusoma ukifikisha nusu saa usingizi haujaja ninamtumbua shetani
Upo kwa wapi? Sogea sogea getini.[emoji1787] toka nje,
Naona uvivu eti kukifungua nisome[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Soma Biblia. Shetani hatakawia kukulaza .....
Halafu serous this works out, shetani hataki tuongee na Mungu kabisa, tukifanya hivyo usingizi chapuSoma Biblia. Shetani hatakawia kukulaza .....
hapa getin husikii mbwa wanabwekaUpo kwa wapi? Sogea sogea getini.
Hebu nipe mwongozo nisome mlango wangapi na mstari wa ngapi ambapo shetani atanipa usingizi haraka.Halafu serous this works out, shetani hataki tuongee na Mungu kabisa, tukifanya hivyo usingizi chapu
Afu wanabweka kweli[emoji3][emoji3][emoji3].hapa getin husikii mbwa wanabweka